Leo Kilio hakipo GHAZA tu! Leo MATAIFA mengi Yamepoteza watoto na Wapenzi wao humo ndani ya hio ndege.
Sasa tuone hao Wamarekani wanaojifanya WABABE na Waisraeli wao Watafanya nini kwa Russians ambao WAMETUNGUA ndege Kusudi? Na kuuwa Zaidi ya WAMAREKANI 23! na WENGINEO 295.
Mungu Awarehemu wenye kustahili kurehemewa.
Amiin
Shekh Mahmood mbona kwenye list hakuna wamarekani 23 kama ulivyoonyesha kwenye kichwa cha habari ? Au wamo kwenye wasiojulikana uraia wao kama 65 hivi..?
Shekh Mahmood mbona kwenye list hakuna wamarekani 23 kama ulivyoonyesha kwenye kichwa cha habari ? Au wamo kwenye wasiojulikana uraia wao kama 65 hivi..?
A Malaysia Airlines official at Schiphol airport in Amsterdam said the passengers had included 154 Dutch, 27 Australian, 23 Malaysian, 11 Indonesian, six UK, four German, four Belgian, three Filipino and one Canadian nationals, with the nationalities of the remainder not yet identified. All of the 15 crew were Malaysians, he said....No Americans in the list ...
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hio list ya WAMAREKANI 23 hii hapa kwenye Daily star la jana la ENGLAND.
Vita vya Gaza sasa hivi vitasimamishwa, ili Polisi wa dunia aanze mchakato wa kumshughulikia Kamanda Putin..What a nice movie to watch..!
USA sio Polisi wa Dunia (Siasa za USA ni za kijambazi jambazi tu).
mkiristo hawezi kuwa gaidi ni bahati mbaya tu,na kwakuwa mtunguaji ni mkirsto na asilimia 95 ya watunguliwa ni wakristo watayamaliza kinyumbani.Leo Kilio hakipo GHAZA tu! Leo MATAIFA mengi Yamepoteza watoto na Wapenzi wao humo ndani ya hio ndege.
Sasa tuone hao Wamarekani wanaojifanya WABABE na Waisraeli wao Watafanya nini kwa Russians ambao WAMETUNGUA ndege Kusudi? Na kuuwa Zaidi ya WAMAREKANI 23! na WENGINEO 295.
Mungu Awarehemu wenye kustahili kurehemewa.
Amiin
Vita vya Gaza sasa hivi vitasimamishwa, ili Polisi wa dunia aanze mchakato wa kumshughulikia Kamanda Putin..What a nice movie to watch..!
thubutu,putin amejipanga.
mkiristo hawezi kuwa gaidi ni bahati mbaya tu,na kwakuwa mtunguaji ni mkirsto na asilimia 95 ya watunguliwa ni wakristo watayamaliza kinyumbani.
Kwani huwezi jua pengine ni mipango y sir god anajaribu kubalance na yanayotokea gaza.
Ole wake angedungua mhindu moto ungewaka.
Anamzidi kikwete kweli? lol.
Hahahaaa! kikwete wetu hawezi hata kutunisha msuli kwa rwanda wala malawi!We sa unaleta utani. Lol