Malaysia Airlines passenger jet reportedly shot down in Ukraine

Malaysia Airlines passenger jet reportedly shot down in Ukraine

Leo Kilio hakipo GHAZA tu! Leo MATAIFA mengi Yamepoteza watoto na Wapenzi wao humo ndani ya hio ndege.

Sasa tuone hao Wamarekani wanaojifanya WABABE na Waisraeli wao Watafanya nini kwa Russians ambao WAMETUNGUA ndege Kusudi? Na kuuwa Zaidi ya WAMAREKANI 23! na WENGINEO 295.

Mungu Awarehemu wenye kustahili kurehemewa.
Amiin

Hao waliotungua ni wakristo wenzao haoo.

Huwez kuskia wakiitwa magaidi.

Sijui hii definition ugaidi ina mantiki gani hasa.

Wakiona uchungu wa kuuwa wasio na hatia basi wajue ni kweli inaumiza.

Na waache kumwaga damu huko gaza.

Laana hiyo inawapata.
 
inaonekana wewe ni mkiristo wa kukaririshwa usiejua historia....tukupe data za wakiristo ndio wa kubwa wa ugaidi?....ila nakuomba usijeingia mitini.....
 
Who started the first world war ? Muslims ? Who started the second world war ? Muslims ? Who killed about 20 millions of Aborigines in Australia ? Muslims ?? Who sent the nuclear bombs of Hiroshima and Nagasaki ? Muslims ?? Who killed more than 100 millions of Indians in North America ? Muslims ?? Who killed more than 50 millions of Indians in south America ? Muslims ?? Who took about 180 millions of African people as slaves and 88% of them died and was thrown in Atlantic ocean ? Muslims ?? No , They weren't Muslims!!! First of all, You have to define terrorism properly... If a non-Muslim do something bad..it is crime. But if a Muslim commit same..he is terrorist... So first remove this double standard...then come to the point!!!
 
Hao waliotungua ni wakristo wenzao haoo.

Huwez kuskia wakiitwa magaidi.

Sijui hii definition ugaidi ina mantiki gani hasa.

Wakiona uchungu wa kuuwa wasio na hatia basi wajue ni kweli inaumiza.

Na waache kumwaga damu huko gaza.

Laana hiyo inawapata.

huu mchezo umechezwa na Us ili kUPOtOshA UeLeKeo wa duniA dhidi ya iSraEl anaeua kila siku hadi leo wapalestine 300 waMESHaUAwa Dunia kimYa i
 
Ugaidi ni kuua watu kwa mgongo wa dini au kwa niaba ya dini/mungu unaemwabudu.

Mtu yoyote anaeua watu kwa mgongo wa dini,awe mkristo/muislam ni ugaidi.

Tofauti ya tukio la kuangushwa ndege ya malezia na ugaidi ni kwamba waasi hawakufanya vile kwa jina la mungu.
 
Exactly mkuu, this plane was downed by mistake!! These guys guys wameangusha ndege kama mbili last from Ukraine so I think they though that was a cargo plane wakaipiga kombola only later to realize it was a commercial plane. Hata ukiwaskiliza kwenye maongezi yao after the plane went down!

PAle kunavita na ninachoweza kuona Huu mchezo umechezwa ni kwamba pale karibu kunaKambi ya nAto ktk bahar sasa watakuwa walimdirect rubanI APIte Wrong way ili yatokee hayo bila rubani kujua swali ni kwamba ilipokua inapita haikujua hapo kunavita?pia sikuzote zilikua zinapita wapi kabla?
 
Nyie mtapiga kelele hapa. Hamtajua kinachoendelea chini ya kapeti. Kwa taarifa zenu ni kwamba hii kitu ilipangwa. Ukiniuliza walikuwa wanaatka nini sijui. Ila ndio hvyo.


The king.
 
Putin na serikali yake wana akili sana labda kuliko hata hao wawili wakichanganywa. Hawezi kufanya huu upuuzi asilani
 
Si hasira mkuu...ila anaogopa kuitwa lege lege...hizo ndio siasa za US...rais unatakiwa uonyeshe kuwa US ni super power...ila kuna siku wataja jua kuwa power yao kwishney maana huwezi jua uwezo wa mwenzio mpaka mzichape...(e.g. Germany)


Obama amefoka sana kuhusu hiyo mambo, ni hatari mno. Ukikumbuka Lockerbie of Scotland bomber ilichukua more 20 years kulipiza kisasi kwa kuua rais wa libya, hawa jamaa wana hasira sana, hapo itazuka vita mbaya mno na kulifutilia mbali taifa la Ukrain
 
Ila kwa jicho la pili nadhani ndio inatafutwa na ndo maana Marekani ikawa ya kwanza kuhusisha Urusi kutokana na kudunguliwa kwa ndege
 
Ugaidi ni kuua watu kwa mgongo wa dini au kwa niaba ya dini/mungu unaemwabudu.

Mtu yoyote anaeua watu kwa mgongo wa dini,awe mkristo/muislam ni ugaidi.

Tofauti ya tukio la kuangushwa ndege ya malezia na ugaidi ni kwamba waasi hawakufanya vile kwa jina la mungu.

Akili mbovu hiyo??

Lwakatare wenu alipofikishwa mahakamani kwa kosa la ugaidi alihusisha dini??

Ugaidi limetoka kwenye neno la kiingereza likiwa na maana Ya 'Terror'...Terrorism.

Kuasisi vitendo vya vitisho na kumwaga damu kwa viumbe visivyo na hatia.

Hakuna sehemu inayooanishwa na iman hiyo mmeweka nyinyi makafiri.

Hao Waasi wa Russia ni magaidi kama walivyo israel.

Hangaikeni nao sasa.

Mnao haoo safari hii.

Si mmezoea kumwaga damu??zamu yenu sasa.

Atleast uislam utakaa nje ya propaganda mufilisi hizo.
 
Who started the first world war ? Muslims ? Who started the second world war ? Muslims ? Who killed about 20 millions of Aborigines in Australia ? Muslims ?? Who sent the nuclear bombs of Hiroshima and Nagasaki ? Muslims ?? Who killed more than 100 millions of Indians in North America ? Muslims ?? Who killed more than 50 millions of Indians in south America ? Muslims ?? Who took about 180 millions of African people as slaves and 88% of them died and was thrown in Atlantic ocean ? Muslims ?? No , They weren't Muslims!!! First of all, You have to define terrorism properly... If a non-Muslim do something bad..it is crime. But if a Muslim commit same..he is terrorist... So first remove this double standard...then come to the point!!!
Thank you.

Magaidi sasa wataanza kuonekana wazi wazi.

Aibu tele juu yao hawa wanywa damu za watu.

Laanatullah hawa.
 
Leo Kilio hakipo GHAZA tu! Leo MATAIFA mengi Yamepoteza watoto na Wapenzi wao humo ndani ya hio ndege.

Sasa tuone hao Wamarekani wanaojifanya WABABE na Waisraeli wao Watafanya nini kwa Russians ambao WAMETUNGUA ndege Kusudi? Na kuuwa Zaidi ya WAMAREKANI 23! na WENGINEO 295.

Mungu Awarehemu wenye kustahili kurehemewa.
Amiin
Who tells you russia wanahusika na kulipua ndege, stay quite usirupoke
 
Mtaona matokeo ya hii kitu baadae ila tu hii kitu imepangwa na mpaka sasa wanaelekea kufaulu ila sio russia wala pro-russia wala ukraine. Kazi kwenu kufikiria
 
Putin na serikali yake wana akili sana labda kuliko hata hao wawili wakichanganywa. Hawezi kufanya huu upuuzi asilani

Nikweli ila huu unachochewa sana na Us maana kwnn juhudi ya kufaNYa uchunguzi unafanywa ktk ndege hii tu je ile iliyopotea mbona us haijafanya juhuudi kama hiz?
 
Nikweli ila huu unachochewa sana na Us maana kwnn juhudi ya kufaNYa uchunguzi unafanywa ktk ndege hii tu je ile iliyopotea mbona us haijafanya juhuudi kama hiz?
Upuuzi wao wa middle east na Gaza huko hautafanikiwa.
 
Mtaona matokeo ya hii kitu baadae ila tu hii kitu imepangwa na mpaka sasa wanaelekea kufaulu ila sio russia wala pro-russia wala ukraine. Kazi kwenu kufikiria

Unaakili sana wewe..huu ni mpango wa marekani kuingia rasmi kijeshi hili eneo.
 
Mtaona matokeo ya hii kitu baadae ila tu hii kitu imepangwa na mpaka sasa wanaelekea kufaulu ila sio russia wala pro-russia wala ukraine. Kazi kwenu kufikiria

Usituandikie utumbo wako hapa.
Nini ukijuacho wewe mshamba tu!

We unadhani mechi ya mpira wa soksi huu.

Mnfnssssss!
Nyambafff kabisa.
 
Back
Top Bottom