EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Mwandishi wa habari wa Malawi Justice Mponda amefikishwa mahakamani kwa kufungua "kiwanda cha kutunga uongo" kuwa Serikali ya Malawi imemwamuru Balozi wa Tanzania nchini Malawi kuondoka nchini humo ndani ya masaa 48.
Inasemekana mwandishi huyo alikamatwa nyumbani kwake na polisi wenyewe silaha mida saa kumi leo alfajiri na kupelekwa kwenye kituo cha polisi cha Blantyre kwa mahojiano kabla ya kufikishwa mahakamani.
Dogo mwenyewe huyo hapo chini. Ana miaka 27.
Inasemekana mwandishi huyo alikamatwa nyumbani kwake na polisi wenyewe silaha mida saa kumi leo alfajiri na kupelekwa kwenye kituo cha polisi cha Blantyre kwa mahojiano kabla ya kufikishwa mahakamani.
Dogo mwenyewe huyo hapo chini. Ana miaka 27.