Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Malawi imesitisha shughuli za kutafuta mafuta na gas kwenye eneo la ziwa Nyasa lenye utata. Tanzania ilionekana kuchachamaa na kutaka kupigana vita. Je, aliyetaka kupigana na ambaye ameamua kufuata njia zinazofaa kimataifa ni yupi amekomaa kisiasa na kidiplomasia? Malawi haikuwa na option ya vita on the table lakini Tanzania ilionesha kuwa na option hiyo on the table, je haikuwa tayari deals za kununua silaha na matumizi mabovu katika vita zimechongwa? Thanks Malawi for the wisest decision!!
Source: Mwananchi 10/08/2012
Source: Mwananchi 10/08/2012