Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,345
- 17,849
Hii ndiyo Afrika......
Trump akimpa kazi Ivanka binti yake kuwa mshauri wake hakuna tatizo kwa vile si mwafrika?Jamani sijui sisi waafrika tuna akili gani......yani umeingia kwa nguvu ya umma alafu unaanza kufanya upuuzi
maana huyo binti yumo kwenye watumishi wa Ikulu ya Marekani.
Magufuli akimpa kazi ndugu Dotto inakuwa Afrika ni tatizo ...!!!