Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
Hana tofauti na Jiwe maana kule Hazina, UVCCM,Makatibu Wakuu kote kaweka ndugu
Je, na hawa Wapinzani Wetu hapa Tanzania ambao kila Uchao tunataka Watutawale hawawezi nao kuwa na huu Upuuzi wa huyu Rais Chikwera?