hata South kwa Ramaphosa kichefu chefuNimezunguka sana Nchi nyingi Za Africa , nimegundua kwamba, wanawake wa Malawi na Zambia hawana mvuto kabisa. Hawako romantic kabisa, sijui kwanini. Na sijui ni Mimi tu huwa naionaga hii hali au kuna wengine?
Hata chura hawanaNimezunguka sana Nchi nyingi Za Africa , nimegundua kwamba, wanawake wa Malawi na Zambia hawana mvuto kabisa. Hawako romantic kabisa, sijui kwanini. Na sijui ni Mimi tu huwa naionaga hii hali au kuna wengine?
hata South kwa Ramaphosa kichefu chefu
mkuu naomba nikuongezee ufahamu, mtu unayemuona sura na umbo lake just an illusion mtu halisi ni brain(mind) usidanganywe na chochote what worth kwa binadamu ni energy yake tu, binadamu wote ni sawa siyo sura au umbo.Na sijui ni Mimi tu huwa naionaga hii hali
SA kuna miji mizuri ndio wazungu, wapo na colored na weusi kama sis, OG ni bongo watoto wa kisambaa na kipare na wanyaturu , wachaga enda kusini huko mbeya iringa , wazaramo ndio balaa utakuta mtoto hajijui kama yeye mkali dizain tofauti kibao ladha yako tu tumefika huko mjomba tusiongopeane , labda kule kuuza papuchi kama imehalalishwa vile ndio imeharibu kabisa.Unasemaje weweee
Kichwa chako cha habari ni moja ya vitu vinavyoitwa: blanket statements or sweeping generalisations. Unazungumzia wanawake wangapi uliokutana nao kati ya idadi gani ya wanawake wote wa Malawi na Zambia na ukakuta hawana 'mvuto kabisa' na kwa criteria zipi? Labda tuanzie hapo.Nimezunguka sana Nchi nyingi Za Africa , nimegundua kwamba, wanawake wa Malawi na Zambia hawana mvuto kabisa. Hawako romantic kabisa, sijui kwanini. Na sijui ni Mimi tu huwa naionaga hii hali au kuna wengine?
hawana mvuto full stop.Kichwa chako cha habari ni moja ya vitu vinavyoitwa: blanket statements or sweeping generalisations. Unazungumzia wanawake wangapi uliokutana nao kati ya idadi gani ya wanawake wote wa Malawi na Zambia na ukakuta hawana 'mvuto kabisa' na kwa criteria zipi? Labda tuanzie hapo.
Hujamuelewa au uko off-topic kwani yeye anao ngelea mvuto sio masuala ya kua na brains....kitandani hatuhitaji brain tunahitaji mvuto na hisiamkuu naomba nikuongezee ufahamu, mtu unayemuona sura na umbo lake just an illusion mtu halisi ni brain(mind) usidanganywe na chochote what worth kwa binadamu ni energy yake tu, binadamu wote ni sawa siyo sura au umbo.
Fikiria whats behind an ugly man can marry any woman of his choice????!!!
Thanks
Huwezi kusema tu 'hawana mvuto full stop' na kuwafanya wao wasiwe na mvuto maana si wewe unayewapa wanawake mvuto.hawana mvuto full stop.
Beauty belongs to the eye of beholderHujamuelewa au uko off-topic kwani yeye anao ngelea mvuto sio masuala ya kua na brains....kitandani hatuhitaji brain tunahitaji mvuto na hisia
Kabisa Mkuu, kuna Siku nilijaribu nikaingia naye ndani. Duh. Nilimpa dola 20 nikamwambia aondoke nimeumwa kichwa ghafla. Sikupata Muzak naye kabisaWana sura kama za wanaume na maumbo shupavu