Malawi na Zambia Wanawake hawana mvuto kabisa

Malawi na Zambia Wanawake hawana mvuto kabisa

Hujamuelewa au uko off-topic kwani yeye anao ngelea mvuto sio masuala ya kua na brains....kitandani hatuhitaji brain tunahitaji mvuto na hisia
Uko sawa kabisa bro.
 
SA kuna miji mizuri ndio wazungu, wapo na colored na weusi kama sis, OG ni bongo watoto wa kisambaa na kipare na wanyaturu , wachaga enda kusini huko mbeya iringa , wazaramo ndio balaa utakuta mtoto hajijui kama yeye mkali dizain tofauti kibao ladha yako tu tumefika huko mjomba tusiongopeane , labda kule kuuza papuchi kama imehalalishwa vile ndio imeharibu kabisa.
Truth 100% kote nimepita mkuu! ila ktk huo ukanda wa south Msumbiji ndiyo inaongoza kwa kuwa na mademu romantic
 
Nimezunguka sana Nchi nyingi Za Africa , nimegundua kwamba, wanawake wa Malawi na Zambia hawana mvuto kabisa. Hawako romantic kabisa, sijui kwanini. Na sijui ni Mimi tu huwa naionaga hii hali au kuna wengine?
Ghana, Nigeria pia sio waziri wanayemsema ni mrembo kwao utashangaa kafupi halafu hana shepu ya kuvutia
 
mkuu naomba nikuongezee ufahamu, mtu unayemuona sura na umbo lake just an illusion mtu halisi ni brain(mind) usidanganywe na chochote what worth kwa binadamu ni energy yake tu, binadamu wote ni sawa siyo sura au umbo.
Fikiria whats behind an ugly man can marry any woman of his choice????!!!
Thanks
Thats what ugly people say
 
Ni kweli, Kenya kuna Madem wazuri sana halafu wengi ni waelewa sana. Hata ukipewa unapewa kisomi. Kuna kabila moja tu huwa hawawagi wazuri sijui kwanini, Wajaluo.ukiwa Kisumu utafikiri wote wa baba mmoja
Kenya kuna wazuri???????? My lord ,Kenya wazuri ni mixer za msomari ila ntajie nzuri afu pure kamba ,Kikuyu ,kisii,kidogo wameru wa Kenya ,hata sasa Niko nairobi
 
Ni wivu tuu
Nimezunguka sana Nchi nyingi Za Africa , nimegundua kwamba, wanawake wa Malawi na Zambia hawana mvuto kabisa. Hawako romantic kabisa, sijui kwanini. Na sijui ni Mimi tu huwa naionaga hii hali au kuna wengine?
 
Kichwa chako cha habari ni moja ya vitu vinavyoitwa: blanket statements or sweeping generalisations. Unazungumzia wanawake wangapi uliokutana nao kati ya idadi gani ya wanawake wote wa Malawi na Zambia na ukakuta hawana 'mvuto kabisa' na kwa criteria zipi? Labda tuanzie hapo.
Labda ni kupe mfano wa sehemu ilio na rutba huonekana hata bila mazao -mwanamke ni mtu wa kujipenda mda wowote na kutaka kua mzuri utembeapo masaa 3 mpaka 4 na kuona vioja jiby kamili sehemu hio hamna kitu
 
Msumbiji pale pemba nilipata shombe la kireno, nilijikuta naahirisha safari wiki nzima, zambia na hapo malawi nyapu ni za kubangaiza hasa hasa labda Lusaka, Lilongwe, na miji yao mingine lkn vijijini ni hakuna kitu
 
Back
Top Bottom