Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,835
NdioUlikua na mkopo wa bank?
NdioUlikua na mkopo wa bank?
HhahahahaMbona salary slip ya june kwenye mfumo wanasema haipo wewe umeionea wap ndug?naomb unielekeze..
Hizi huwa haipatikani
DodomaSalary slip Kuna shida, baada ya kukuona uzi huu, deni la mwezi Mei na juni tofauti ni Sh.19 tu, licha ya salary slip kuonesha nimekatwa kama kawaida. In short mwezi huu nimekatwa sh.19 na takehome imebaki ileile kama ya mwezi Mei. Hivi Hazina imehamia Dodoma au ipo Dar?