The Bleiz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2012
- 5,062
- 13,462
Ndio chief imefungwa kabisa yaani kwa sababu ya pigo hizi hizi za kishamba.Ina maana ile club imekufa mkuu?
Ndio chief imefungwa kabisa yaani kwa sababu ya pigo hizi hizi za kishamba.Ina maana ile club imekufa mkuu?
Pameshafungwa kitambo Sana na jamaa alikua anapauza bil 1.2 lkn hata mil 600 hakuna wa kuitoa.Ina maana ile club imekufa mkuu?
Hahahaha maisha haya... jamaa alikamata hela bila shule kichwani. Nasikia hata wakati wa ujenzi wajanja walimpiga mbayaPameshafungwa kitambo Sana na jamaa alikua anapauza bil 1.2 lkn hata mil 600 hakuna wa kuitoa.
Walimtandika haswaa. Ila tujifunze sana kuwa na marafiki i mean wale ambao wapo real sio Chawa. Jamaa alikuwa amezungukwa na machawa.Hahahaha maisha haya... jamaa alikamata hela bila shule kichwani. Nasikia hata wakati wa ujenzi wajanja walimpiga mbaya
Hivi na yule mwenzie wa ile ice club chizi mwenzie yupogoWalimtandika haswaa. Ila tujifunze sana kuwa na marafiki i mean wale ambao wapo real sio Chawa. Jamaa alikuwa amezungukwa na machawa.
The Ice Age Club. Yeah yupo nae.Hivi na yule mwenzie wa ile ice club chizi mwenzie yupogo
Nae alikuaga na ujinga wa kunyanyasa wateja watu wakasepaThe Ice Age Club. Yeah yupo nae.
Yeah naye anadema dema hivyo hivyo. Kuna kipindi alikuwa anatafuta wawekezaji wafungue kituo cha afya pale.Nae alikuaga na ujinga wa kunyanyasa wateja watu wakasepa
Ni mbili tofautiSi ndo Pestana hyo? Hizo mambo sio nzuri
Dah ila jamaa wa Njerees hela aliyopigwa pale angekua na akili angweza fanya uwekezaji mkubwa mno zaidi ya uleYeah naye anadema dema hivyo hivyo. Kuna kipindi alikuwa anatafuta wawekezaji wafungue kituo cha afya pale.
Ameshika kibunda kirefu akiwa bado chalii mdogo akakosa akili na watu wa kumshauri vyema.Dah ila jamaa wa Njerees hela aliyopigwa pale angekua na akili angweza fanya uwekezaji mkubwa mno zaidi ya ule
Ni tofauti ila mmiliki mmojaSi ndo Pestana hyo? Hizo mambo sio nzuri
Kwa nani hapoYeah naye anadema dema hivyo hivyo. Kuna kipindi alikuwa anatafuta wawekezaji wafungue kituo cha afya pale.
Hahahaha maisha haya... jamaa alikamata hela bila shule kichwani. Nasikia hata wakati wa ujenzi wajanja walimpiga mbaya