TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari wadau!
Kuna malalamiko yameibuka siku za karibuni kwamba serikali inawabania wahitimu wa vyuo wanagawa ajira kwa form 4 na Diploma watu wenye digrii wanatoswa, sababu kibao zimeelezwa moja wapo ni kuogopa gharama za kulipa mishahara ya wenye digrii.
Naomba rais wa JMT swala ili asilipuuze maana malalamiko yanazidi kuongezeka.
PM majaliwa ongea na mama ripoti ya hii asiipuuze,mwambie mama ikiwezekana aweke 50 kwa 50 kwa level zote.
Tusisahau swala la machinga, na vijana wengi kuunga mkono upinzani ni matokeo ya digrii kukosa ajira.
Ushauri serikali iweke usawa kwenye kuajiri .
Kuna malalamiko yameibuka siku za karibuni kwamba serikali inawabania wahitimu wa vyuo wanagawa ajira kwa form 4 na Diploma watu wenye digrii wanatoswa, sababu kibao zimeelezwa moja wapo ni kuogopa gharama za kulipa mishahara ya wenye digrii.
Naomba rais wa JMT swala ili asilipuuze maana malalamiko yanazidi kuongezeka.
PM majaliwa ongea na mama ripoti ya hii asiipuuze,mwambie mama ikiwezekana aweke 50 kwa 50 kwa level zote.
Tusisahau swala la machinga, na vijana wengi kuunga mkono upinzani ni matokeo ya digrii kukosa ajira.
Ushauri serikali iweke usawa kwenye kuajiri .