Makutano Show
Member
- Aug 3, 2012
- 21
- 65
Wana-JF
Jumamosi hii katika Makutano nitakuwa na Mbunge wa Ubungo kupitia CHADEMA, Mheshimiwa John Mnyika. Na kama kawaida ya kipindi tutagusa kuanzia maisha yake ya kawaida mpaka kwenye siasa. Kama ada, kipindi kinaendeshwa na maswali mengi kutoka kwa wananchi hivyo napenda kuchukua fursa hii kuomba kama una swali liweke hapa na Mhe Mnyika atajibu katika kipindi Jumamosi kuanzia saa tisa mchana hadi kumi na mbili jioni katika 92.9FM Dar, 93.3FM Dodoma, 98.6FM Arusha/Moshi, 101.7FM Mwanza na pia online kupitia www.ustream.tv/channel/makutanoshow
Natanguliza shukrani.
Karibu.
Jumamosi hii katika Makutano nitakuwa na Mbunge wa Ubungo kupitia CHADEMA, Mheshimiwa John Mnyika. Na kama kawaida ya kipindi tutagusa kuanzia maisha yake ya kawaida mpaka kwenye siasa. Kama ada, kipindi kinaendeshwa na maswali mengi kutoka kwa wananchi hivyo napenda kuchukua fursa hii kuomba kama una swali liweke hapa na Mhe Mnyika atajibu katika kipindi Jumamosi kuanzia saa tisa mchana hadi kumi na mbili jioni katika 92.9FM Dar, 93.3FM Dodoma, 98.6FM Arusha/Moshi, 101.7FM Mwanza na pia online kupitia www.ustream.tv/channel/makutanoshow
Natanguliza shukrani.
Karibu.