Makutano Show: Exclusive Interview na Mhe. John Mnyika - Oct 06, 2012

Makutano Show: Exclusive Interview na Mhe. John Mnyika - Oct 06, 2012

Ubunge wenyewe 2015 hana ndo awaze Urais One term member of parliament bye bye.Ukipata ubunge 2015 nakunya hapa sitanii
 
Wakati muafaka utakapofika ni sisi wanachama tutakwambia kama tunakuhitaji kwa nafasi ipi. Big up, that is wisdom. Hata Dr Slaa alifuatwa na alikataa, alikubali baada ya kuombwa sana.
 
Wakati muafaka utakapofika ni sisi wanachama tutakwambia kama tunakuhitaji kwa nafasi ipi. Big up, that is wisdom. Hata Dr Slaa alifuatwa na alikataa, alikubali baada ya kuombwa sana.

Mnyika ameonyesha hekima na busara ya hali ya juu.Nimeipenda kauli yake kwamba huu ni wakati wa kuwaunganisha wanachama.
 
Jembeeeeeeee...Hilo ndilo Jembe la CDM bwana.Nakumbuka CCM walikuwa wanasema Malecela ni tingatinga la CCM lakini mimi nasema Mnyika ni Kifaru cha CDM
Mfupa wa maji ya Goba unamshinda, afanye juhudi sana asipoteze umaarufu.
 
Mkuu Lole kwa Goba Mnyika ni hero. Mfupa uliomshinda CCM for 50 yrs kijana anautafuna taratiibu
Aendelee kutafuna huo mfupa taratibu asije pata ukibogoyo,
na kwa taarifa yako Goba ina sana sana 15-20 years kama kitongoji, palikuwa kijiji kisichojulikana hadi baada ya barabara kwenda Mbezi( up stream na down stream) zilipojengwa na "wakubwa" kuanza kuhamia.

Hata hivyo Kuna tanki kwa wanakijiji pale liliojengwa na serikali ya Mwalimu, mpaka leo lipo na maji wakati huo yaliwatosheleza wanakijiji.
 
Back
Top Bottom