Umelewa wewe, unawayawaya wewe, umekula maharage unahara ndani ya pampers wewe, huna akili wewe, umejiabisha wewe, umeaibisha familia yako wewe, umemuaibisha mumeo wewe, umeiabisha dini yako wewe, hufai wewe, nimekudharau na watu wote wenye akili timamu wakudharau wewe, umechoka wewe, malaika wakupige mpaka urudi kwenye mstari wewe, pengo wewe, ... wewe, nani aliyekurogaaaaaaaaaaa!
Ahahahahahahaaaaaaaaaa, JF burudani toshaAcha uchizi. Umewekewa source ya habari bado unatokwa povu tu!
Mpuuzi wewe, mjinga wewe, hufai wewe, nimekudharau wewe, sikuheshimu wewe, pampers wewe, Pengo wewe ... ni nani aliyekuroga!
Umecopy ba kupaste post yangu kama ilivyo!!! Ulitaka kucomment nini?Acha uchizi. Umewekewa source ya habari bado unatokwa povu tu!
Mpuuzi wewe, mjinga wewe, hufai wewe, nimekudharau wewe, sikuheshimu wewe, pampers wewe, Pengo wewe ... ni nani aliyekuroga!
Umesahau kundi la majoka yenye makengeza yanayosaka pesa popote kwa njia yoyote ile akina Chenge Vijisenti!Lowassa anakubalika na makundi yoote ya wananchi...
1: Walimu + wafanyakazi...ni EL
2: Wafugaji + wakulima....ni EL
3: Maaskofu + wakristo wote...EL
4: Masheikh + waislamu....EL
5: Boda boda + Machinga wote...EL
6: Wafanyabiashara wakubwa wote....EL
7: Wazee wastaafu wa ngazi za juu CCM, Mkapa, Karume, Kingunge, Warioba, Sumaye, etc.....ni EL
8: CCM...NEC members....90% ....EL hii ni uhakika
9: Ukawa...65% EL....Mbowe, Dr. Slaa,...ACT- Zitto....EL
10: Wana vyuo....80% EL....
Matokea ya utafiti mpya yatakuja very soon, within 2 days...
EL....Safari ya Matumaini inasonga mbele...!!!
wengi wanamtaka lowasa awe rais ..mm hatopata kula yangu..
Kumbe Mama yako huwa ana tabia hizo?acha tabia za kike ww umeon wap
Ha ha haaaa JF raha sana. .
Hatutaki kura za wanafiki na haina effect yoyote,Lowasa for president
wengi wanamtaka lowasa awe rais ..mm hatopata kula yangu..
kula au kura......duuuu
Acha uchizi. Umewekewa source ya habari bado unatokwa povu tu!
Mpuuzi wewe, mjinga wewe, hufai wewe, nimekudharau wewe, sikuheshimu wewe, pampers wewe, Pengo wewe ... ni nani aliyekuroga!
Lowasa MTU wa watu mwacheni apasue anga
Licha ya Lowassa kutoa taarifa ya kusitisha makundi kwenda kwake kumshawishi kugombea urais hadi muda wa kampeni ukitangazwa na chama, makundi hayo yamebadili mtindo na kwenda usiku bila mbwembwe wala vyombo vya habari.
Source: Tanzania Daima
mtu wa watu hata usiku wa manane ?
Kwani nyie kinawauma nini ?mwacheni mzee wa watu apasue njia