Makundi ya mamluki wenye silaha yanaua watanganyika mitaani

Makundi ya mamluki wenye silaha yanaua watanganyika mitaani

pulex

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2023
Posts
513
Reaction score
2,038
Makundi ya mamluki yenye silaha za moto Dar es salaam, Arusha, Tunduma n.k (mfano Janjawed, waganda n.k) yanaendeleza mauaji mitaani na barabarani mitaa ya sinza, ilala n.k. Ni wazi Samia ameamua kuongoza kwa kumwaga Damu za watanganyika.

Angalizo: Akiachwa aendelee hii miaka mitano, anaenda tengeneza jeshi lake la mamluki litakalo mlinda, na kuendelea kuua wale wote watakao msumbua, maana ni wazi sasa hana ile trust na JWTZ maana haliwezi kuua Raia.

JWTZ mkichelewa mdhibiti uyu mama, atakuwa very powerful kupitia jeshi binafsi, na ataanza kuwa target baadhi ya wanajeshi kwnye vikosi wenye misimamo au kuwatetea wananchi.

It’s now or never.
 
Hao Mamluki inatakiwa wanyag'anywe silaha mara moja halafu wawekwe chini ya ulinzi.
 
Sasa watu wafanyeje? Wafe tu kinyonge?
hawakupi muda huo, wanakuja kwa kustukiza, wana shoot na kuondoka, nasikia mama ameagiza kikosi kingine from UG baada ya kuapishwa, sijui tutaishije hii nchi
 
Aisee
Baada ya kusikia hawa JW kuwa bunduki zao ziko Lugalo lakini risasi ziko Mahenge, nilichoka kabisa.....
Ina maana Polisi na TISS wana nguvu kuliko wao ndio maana walirekodiwa wakisema wamekamata JW mbili....
 
Ikifika wiki ijayo itakuwa ngumu watu wengine kuendelea kukaa ndani sababu ya njaa, sidhani kama asilimia kubwa ya familia zina uwezo wa kuwa na akiba ya chakula cha zaidi ya wiki…the hell is about to break loose
 
hawakupi muda huo, wanakuja kwa kustukiza, wana shoot na kuondoka, nasikia mama ameagiza kikosi kingine from UG baada ya kuapishwa, sijui tutaishije hii nchi
Kuna kitu kinaitwa keeping your head on a swivel!

Anyway, acha wauliwe tu sasa. Who cares….
 
wavamiwe wanyanganywe silaha wagongwe za uso, kwani hao vijana hawakupita jkt? mbona mna shangaza na malalamiko ya kisenge mna tegemea jeshi la kimaku kazi kutembea na bunduki wame zagaa zagaa tu
 
Makundi ya mamluki yenye silaha za moto Dar es salaam, Arusha, Tunduma n.k (mfano Janjawed, waganda n.k) yanaendeleza mauaji mitaani na barabarani mitaa ya sinza, ilala n.k. Ni wazi Samia ameamua kuongoza kwa kumwaga Damu za watanganyika.

Angalizo: Akiachwa aendelee hii miaka mitano, anaenda tengeneza jeshi lake la mamluki litakalo mlinda, na kuendelea kuua wale wote watakao msumbua, maana ni wazi sasa hana ile trust na JWTZ maana haliwezi kuua Raia.

JWTZ mkichelewa mdhibiti uyu mama, atakuwa very powerful kupitia jeshi binafsi, na ataanza kuwa target baadhi ya wanajeshi kwnye vikosi wenye misimamo au kuwatetea wananchi.

It’s now or never.
na mpaka miaka 5 iishe mtakua mmenyooka kwa mikodi na huduma mbovu kwenye ofisi za umaa
 
hawakupi muda huo, wanakuja kwa kustukiza, wana shoot na kuondoka, nasikia mama ameagiza kikosi kingine from UG baada ya kuapishwa, sijui tutaishije hii nchi
toa upumbavu wako wako, peleka kwa ndugu zako hizi habari..mtu mpumbavu mwenye lengo ovu huleta taarifa km huyu anavyofanya, lengo ni kutaka kujenga hofu kwa vijana na watu ili wasitoke wabaki ndani..!
 
Watu na wao si wajipange tu na mapanga yao….

Huu unyonge wa Watanzania ni wa kicenge sana wakati mwingine.
Unakosa reality iliyopo nadhani haupo Tanzania,wanafika dukani mko watatu wanaanza kushuti risasi na kumbuka sisi raia hatuna hata pisto...wamemuua shemeji yangu (mwanamke) akiwa dukani kwake Duka la mtaani kabisa,wamefika wakamfyatulia risasi wakaondoka,ukitaka details zaidi naweza kukupa jina na eneo
 
Back
Top Bottom