Makundi ya kumsafisa RC Dar!

Makundi ya kumsafisa RC Dar!

Kundi pekee linaloweza kumsafisha Daud Albert BASHITE akatakata kabisa ni MAKAMANDA a.k.a pipooooozzzz!!! powerrrr! wale hawashindwi kitu. Akitaka kuwa safi ahamie huko then akiona mambo yamekaa sawa arudi kwa baba yake... otherwise hata steel wire haimtoi huo ukurutu!
HUYU HASAFISHIKI HATA UKIMLOWEKA KWENYE JIK!!!! MCHAFU ANANUKA VIBAYA JAMANI MBONA HAMUELEWI UKIENDA MBALI ZAIDI UTAWEZA HATA KUZIMIA BADO HUJAGUSA AKINA DADA HUKO NDIYO USISEME!!!! HAFAI KUONGOZA HATA SISIMIZI!!!!
 
Kuhusu madawa RC kafeli,hakuna alilofanya zaid ya kutaja listi ya watumiaji tu,
Mbona wahusika wakuu kashindwa kuwataja,unamkamata mtu anaetumia ka tid,nyandu tozi,wakati wapo miungu wa madawa ambao anakula nao bata kila siku.
 
Kundi pekee linaloweza kumsafisha Daud Albert BASHITE akatakata kabisa ni MAKAMANDA a.k.a pipooooozzzz!!! powerrrr! wale hawashindwi kitu. Akitaka kuwa safi ahamie huko then akiona mambo yamekaa sawa arudi kwa baba yake... otherwise hata steel wire haimtoi huo ukurutu!
Akasafishwe kama Mpendazoe ambaye alifikiri kwenda huko atapokelewa kama mtukufu. Watu makini wamempokea akaa bench yeye kaondoka mwenyewe kwa raha zake. Juzi alikuwa anamtetea mtoto wa baba sasa leo arudi na stori mpya.
 
AWAONYESHE VYETI NYIE NDO MMEMUAJIRI?
HAWEZI KUACHA KUFANYA KAZI ZAKE NA KUANZA KUJIBU HOJA ZA KIPUUZI.
MTAMALIZA LA VYETI MTAKUJA LA CHETI CHA NDOA NALO MTATAKA AJE APPROVE.
DUH WATANZANIA TUBADILIKE OTHERWISE FURAHA TUISAHAU NA KWA STLYE HII TUTAENDELEA KUSHIKA MKIA.

Swali za kizushi

Hivi RC akindolewa cheo chake wewe inakusaidia nini?kitu gani kitabadilika kwenye maisha yako???

TUTUMIENI AKILI KIDOGO BASI KWENYE KUWAZA TUSIWE WASIKILIZAJI TU.
wewe kweli maharo.
unaandika vitu kama jina lako lilivyo.
 
AWAONYESHE VYETI NYIE NDO MMEMUAJIRI?
HAWEZI KUACHA KUFANYA KAZI ZAKE NA KUANZA KUJIBU HOJA ZA KIPUUZI.
MTAMALIZA LA VYETI MTAKUJA LA CHETI CHA NDOA NALO MTATAKA AJE APPROVE.
DUH WATANZANIA TUBADILIKE OTHERWISE FURAHA TUISAHAU NA KWA STLYE HII TUTAENDELEA KUSHIKA MKIA.

Swali za kizushi

Hivi RC akindolewa cheo chake wewe inakusaidia nini?kitu gani kitabadilika kwenye maisha yako???

TUTUMIENI AKILI KIDOGO BASI KWENYE KUWAZA TUSIWE WASIKILIZAJI TU.
Acheni upumbavu, hili Sio suala LA maisha ya MTU binafsi..ni suala LA matumizi mabaya ya ofisi ya uma! It ain't personal, kuna watumishi wako jela kwa kufoji vyeti je nao familia zao hazitamani kua na wapendwa wao? Ni sheria zimewekwa lazima zifuatwe! Kuvamia kituo cha habari na mitutu sio kitu personal its public issue.. Tusiongee eti kwa sababu hainisaidiii? Nalipa kodi na in haki yangu kuhoji kodi yangu inatumiwaje, hatuwezi kukaa kimya nchi ikipelekwa kwa double standards! Wengine wanatumbuliwa majukwaani huku wahalifu wengine wakipambwa huko huko majukwaani
 
AWAONYESHE VYETI NYIE NDO MMEMUAJIRI?
HAWEZI KUACHA KUFANYA KAZI ZAKE NA KUANZA KUJIBU HOJA ZA KIPUUZI.
MTAMALIZA LA VYETI MTAKUJA LA CHETI CHA NDOA NALO MTATAKA AJE APPROVE.
DUH WATANZANIA TUBADILIKE OTHERWISE FURAHA TUISAHAU NA KWA STLYE HII TUTAENDELEA KUSHIKA MKIA.

Swali za kizushi

Hivi RC akindolewa cheo chake wewe inakusaidia nini?kitu gani kitabadilika kwenye maisha yako???

TUTUMIENI AKILI KIDOGO BASI KWENYE KUWAZA TUSIWE WASIKILIZAJI TU.
Hivyo wewe ni wale wa bora liende siyo? Lolote utakalofanyiwa unaona sawa? Wewe ndo wale ambao hamna hata haja ya kupiga kura kuchagua mtu mnayemwona atawafaa maana yeyote mtakayeletewa bora liende. Pole. Akiondolewa akaletwa mwingine kama yeye, yatakuwa yale yale, hapo ndo utajua hii nchi siyo ile uliyoizoea. Watu wanatambua haki zao sasa. Siasa iende na haki na utu na uwajibikaji. Huwezi kutegemea haki na heshima bila wajibu. Vyeti ni muhimu sababu amesimamisha wangapi wakati akiwa DC wa kino, aliowasimamisha wengine wamefaulu with flying colours yeye mwenzetu na koooo chake anaona kawini Gawiza. Think twice before you write. This country is not for certain citizen, it is for of us. Tutabanana humuhumu na sasa mapambano yataanza bila vyama wala itikadi.
 
Itakuwa vema ukitaja na makundi yanayomchafua Makonda. Naamini kuwa unayajua.




Anachafuliwaje mtu ambaye keshachafuka tayari...!!??
Athibitishe jina lake na vyeti vyake, ndipo atakapokuwa safi...!!
Kwenda Clouds ndiyo kajichafua zaidi...!!







Tafakari...!!
 
ndugu bashite kajitia kidole mwenyewe halafu kakinusa....mwache aonje joto ya harufu mbaya ili ajifunze.
 
CC Maharo:-
Usiwe na hasira wala kisirani bali busara na hekima.
Hakuna mwenye kupata manufaa iwapo huyo MTU wako ataachishwa kazi ambayo si halali kwake kwani hakuipata kihalali.
Pia hakuna atakayeumia wala kulala njaa kama atatimiza matakwa ya msingi yanayodaiwa na jamii kwa sasa.
Liko wapi tatizo la kukichukua Cheti na kukiweka hadharani? Au tatizo lipo wapi akisema kuwa yeye ndiye aliyedaiwa kuwa na vyeti vya mtu?
Na au ni kweli Nina Magari niliyopewa zawadi na mapesa mengi nje ya nchi kwa kadili flank tu ka kuwapakazia watu kuuza ngada? Veri simpo indiid! Kanisa anakwenda kumlaghai Mungu! Asimtaje tena kwa namna yoyote kwani kachukizwa sana naye na huenda adhabu yake ikawa kubwa mno!
 
AWAONYESHE VYETI NYIE NDO MMEMUAJIRI?
HAWEZI KUACHA KUFANYA KAZI ZAKE NA KUANZA KUJIBU HOJA ZA KIPUUZI.
MTAMALIZA LA VYETI MTAKUJA LA CHETI CHA NDOA NALO MTATAKA AJE APPROVE.
DUH WATANZANIA TUBADILIKE OTHERWISE FURAHA TUISAHAU NA KWA STLYE HII TUTAENDELEA KUSHIKA MKIA.

Swali za kizushi

Hivi RC akindolewa cheo chake wewe inakusaidia nini?kitu gani kitabadilika kwenye maisha yako???

TUTUMIENI AKILI KIDOGO BASI KWENYE KUWAZA TUSIWE WASIKILIZAJI TU.
akili zako chenga kweli wewe. je, mbona hujiuilizi wafanyakazi wengine walioondolewa kwenye nafasi zao kwa kumiliki vyeti feki wewe umenufiaka nini? we kilaza kweli!
 
Wee uliyeandika sijui unaupeo gani wa kufikiri, mm niko kijijini kabisa lakini bado sioni kosa la Makonda, hivi unafikiri kazi anayofanya Makonda si lolote. Unadai haki itendeke kwa wote hivi unafikiri maskini walio wengi wanatendewa haki na hawa unaoonyesha kuwatetea.Tena binafsi sijisikii kabisa unapotetea mwanasiasa hasa hawa wabunge hakuna kitu wanawaza kupiga kodi za wananchi tu kwa kufanya hata biashara haramu na matendo yanayomchukiza Mungu.Ukitaka kujua kama wanasiasa ni watu wa ajabu gombea nafasi ya uongozi kwenye eneo moja na hawa watu akiweza atafanya hataushirikina akuondoe ili apate nafasi hiyo, fikiria unamuua mtu upate nafasi ya kuongoza ili iweje hiyo ndo hekima na busara. Mwisho acha wasagane tu, wewe kama raia tetea tu yule unahisi anafanya vizuri na anachopigania kina manufaa kwa kizazi kijacho achana na mambo ya vyeti haki sijui nini.Hao wanaosema kwa wananchi kwamba wananyanyaswa ni watu wakubwa kama hawatendewi haki waende mahakamani wakishindwa watulie kama wengine wanaotulia na kuwekwa ndani na haohao wenye uwezo kwa jeuri ya fedha. Shida yetu nikukomesha biashara ya madawa ya kulevya ambayo mlalahoi hawezi kufanya zaidi anauziwa kuathirika na pia shida yetu ni kukomesha watumishi wazembe, walarushwa na wakwepa kodi huku muuza mihogo akilipa kodi. Fuuuulstooop.
 
Kwa kinyesi kile alichojipaka ngumu kusafishika hatawatumie perfume ya maiti
 
Huu nao ni umbea tuu, kuvamia maana yake nn? Gwajima alionyesha cheti, je kile ndicho cheti kweli? kama mtu alipata ziro kuanzia lini Necta wakatoa cheti cha mtu aliyefeli? huu ni upunguani.
 
Dah..heading ingekuwa ''Makundi ya wapinga ngada'' ingekuwa poa sana 🙂🙂🙂
 
Back
Top Bottom