MNYAMAKAZI
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 2,118
- 2,198
Makonda
Duh!!!Numuonea huruma sana @W.J.Malecela Le Mutuz...
Naona amejiamulia kuwa na rafiki mmoja tu hapa duniani.
Sasa watu wanaanza kuelewa kwanini Mzee Malecela alim dump baada ya kuzaliwa..
Aliona mbali.
Kweli, by the way it's ok.Ngoja na Mimi nijaribu Kama kutatokea nyota
*******
makondaKweli, by the way it's ok.
Mchafu hachafuliwiItakuwa vema ukitaja na makundi yanayomchafua *******. Naamini kuwa unayajua.
TAHADHARIToo late hasafishiki tena hata mkuu amfute vipi

Ngoja nifungue PM yangu mnitumie link za kujiunga huko huko
Napenda kusoma habari zake
Ha ha haaaaaa
Maneno kuntu kanywe soda bili nitakulipiaKumeibuka makundi ambayo kwa namna yeyote ile ndiyo yameandaliwa kwa makusudi kabisa mahsusi kwa ajili ya kuhakikisha jina la mtu linarejea katika hali yake ya awali pamoja na kua na ugumu na kwake.Makundi haya yako katika nyanja tatu ambayo yanafanya kazi hiyo usiku na mchana.
1.Kolomije team,hili ni kundi ambalo inaelezwa kua kazi yake ni kwenda kule kijijini alikozaliwa ******* kutengeneza ushahidi opposite na ule uliokua ukitumiwa na Askofu Dr Gwajima, kundi hili limegharamiwa kwa kila kitu safari nzima kama alivyokua akijinasibu kiongozi wa kundi hilo "Lemutuz" kua wako site kutengeneza vyeti.
1.Team Rais kasema nini, hili ni kundi ambalo lenyewe ni fuata upepo halijui linaelekea wapi,kazi yake ni kujipendekeza kwa Rais ili waonekane,wanavizia vizia vyeo ili kujikwamua na ugumu wa maisha ulivyo hivi sasa, hili kundi lina watu vigeugeu! Wanahisi kwakua jamaa anaongea na mkuu muda wote kwahiyo wakifanikisha harakati zao ataweza hata kuwaombea vinafasi flani hivi ili nao mikono iende vinywani. Watu wa aina hii ukimkita mahali flani hujifanya kua ni mzalendo wa hali ya juu lakini hakuna kitu.
3.Team tatizo ni Madawa ya kulevya, hili ni kundi la watu ambao kwa namna moja au nyingine wameamua kwa makusudi mazima kutotaka kufikiria sana juu ya undani wa tuhuma za *******,Wao wanaamini kua haya yote haya yamekuja kuja tu kwa sababu wahusika wa Madawa ya kulevya wameguswa! Hili kundi nalo linajitahidi kwa nguvu zote kumtetea kijana lakini hawataki kabisa kusikia tuhuma dhidi yake hata kama zina ukweli.Wenyewe hawajui kua wenzao wako kwenye kazi zaidi, hawajui kua kuna watu wananeemeka na kazi hii.
My take,
Hawa watu wamejaribu angalau kua na mishipa ya aibu kujiuliza Je, huyu jamaa vyeti viko wapi mbona havitio? Hata picha zinazoonekana mitandaoni kuvamiawa kwa kituo cha Runinga na Redio cha Clouds hawazioni?
Itoshe basi kusikia tu yaliyosemwa na Wakurugenzi wa Clouds media groups juu ya uvamizi huo ili kuamini na si kuambiwa! , Ruge na Kusaga ni marafiki wa muda mrefu wa RC *******,wanawezaje kumsingzia?
Mnaoratibu kazi hii mtambue kua kama kama vyeti havitawekwa hadharani inyeshe mvua liwake jua tayari kiongozi wa aina hii atasimama kusema kitu gani mbele ya kadamnasi? Je, zoezi la kuendelea kutimua wafanyakazi wasio na vyeti likiendelea wapinzani wakasimama na kusema haki itendeke kwa watanzania wote mnafikiri taswira ya chama na serikali itaonekana vipi?
Hivi bado mnafikiri kiongozi mwenyewe mali zote hizi anazotuhumiwa nazo atasimama mbele ya umma kujinasibu kua yeye ni mzalendo? Nafsi yake haiwezi kusuta?
Kumeibuka makundi ambayo kwa namna yeyote ile ndiyo yameandaliwa kwa makusudi kabisa mahsusi kwa ajili ya kuhakikisha jina la mtu linarejea katika hali yake ya awali pamoja na kua na ugumu na kwake.Makundi haya yako katika nyanja tatu ambayo yanafanya kazi hiyo usiku na mchana.
1.Kolomije team,hili ni kundi ambalo inaelezwa kua kazi yake ni kwenda kule kijijini alikozaliwa ******* kutengeneza ushahidi opposite na ule uliokua ukitumiwa na Askofu Dr Gwajima, kundi hili limegharamiwa kwa kila kitu safari nzima kama alivyokua akijinasibu kiongozi wa kundi hilo "Lemutuz" kua wako site kutengeneza vyeti.
1.Team Rais kasema nini, hili ni kundi ambalo lenyewe ni fuata upepo halijui linaelekea wapi,kazi yake ni kujipendekeza kwa Rais ili waonekane,wanavizia vizia vyeo ili kujikwamua na ugumu wa maisha ulivyo hivi sasa, hili kundi lina watu vigeugeu! Wanahisi kwakua jamaa anaongea na mkuu muda wote kwahiyo wakifanikisha harakati zao ataweza hata kuwaombea vinafasi flani hivi ili nao mikono iende vinywani. Watu wa aina hii ukimkita mahali flani hujifanya kua ni mzalendo wa hali ya juu lakini hakuna kitu.
3.Team tatizo ni Madawa ya kulevya, hili ni kundi la watu ambao kwa namna moja au nyingine wameamua kwa makusudi mazima kutotaka kufikiria sana juu ya undani wa tuhuma za *******,Wao wanaamini kua haya yote haya yamekuja kuja tu kwa sababu wahusika wa Madawa ya kulevya wameguswa! Hili kundi nalo linajitahidi kwa nguvu zote kumtetea kijana lakini hawataki kabisa kusikia tuhuma dhidi yake hata kama zina ukweli.Wenyewe hawajui kua wenzao wako kwenye kazi zaidi, hawajui kua kuna watu wananeemeka na kazi hii.
My take,
Hawa watu wamejaribu angalau kua na mishipa ya aibu kujiuliza Je, huyu jamaa vyeti viko wapi mbona havitio? Hata picha zinazoonekana mitandaoni kuvamiawa kwa kituo cha Runinga na Redio cha Clouds hawazioni?
Itoshe basi kusikia tu yaliyosemwa na Wakurugenzi wa Clouds media groups juu ya uvamizi huo ili kuamini na si kuambiwa! , Ruge na Kusaga ni marafiki wa muda mrefu wa RC *******,wanawezaje kumsingzia?
Mnaoratibu kazi hii mtambue kua kama kama vyeti havitawekwa hadharani inyeshe mvua liwake jua tayari kiongozi wa aina hii atasimama kusema kitu gani mbele ya kadamnasi? Je, zoezi la kuendelea kutimua wafanyakazi wasio na vyeti likiendelea wapinzani wakasimama na kusema haki itendeke kwa watanzania wote mnafikiri taswira ya chama na serikali itaonekana vipi?
Hivi bado mnafikiri kiongozi mwenyewe mali zote hizi anazotuhumiwa nazo atasimama mbele ya umma kujinasibu kua yeye ni mzalendo? Nafsi yake haiwezi kusuta?
Wewe na wenzako mlipwa kazi ya kusafisha Fisha Fisadi maMvi na mmeshindwa. ******* mambo aliyofanya hayawezi kukaa muda mrefu yakiongelewa kwakuwa hayana msingi.
Kumeibuka makundi ambayo kwa namna yeyote ile ndiyo yameandaliwa kwa makusudi kabisa mahsusi kwa ajili ya kuhakikisha jina la mtu linarejea katika hali yake ya awali pamoja na kua na ugumu na kwake.Makundi haya yako katika nyanja tatu ambayo yanafanya kazi hiyo usiku na mchana.
1.Kolomije team,hili ni kundi ambalo inaelezwa kua kazi yake ni kwenda kule kijijini alikozaliwa ******* kutengeneza ushahidi opposite na ule uliokua ukitumiwa na Askofu Dr Gwajima, kundi hili limegharamiwa kwa kila kitu safari nzima kama alivyokua akijinasibu kiongozi wa kundi hilo "Lemutuz" kua wako site kutengeneza vyeti.
1.Team Rais kasema nini, hili ni kundi ambalo lenyewe ni fuata upepo halijui linaelekea wapi,kazi yake ni kujipendekeza kwa Rais ili waonekane,wanavizia vizia vyeo ili kujikwamua na ugumu wa maisha ulivyo hivi sasa, hili kundi lina watu vigeugeu! Wanahisi kwakua jamaa anaongea na mkuu muda wote kwahiyo wakifanikisha harakati zao ataweza hata kuwaombea vinafasi flani hivi ili nao mikono iende vinywani. Watu wa aina hii ukimkita mahali flani hujifanya kua ni mzalendo wa hali ya juu lakini hakuna kitu.
3.Team tatizo ni Madawa ya kulevya, hili ni kundi la watu ambao kwa namna moja au nyingine wameamua kwa makusudi mazima kutotaka kufikiria sana juu ya undani wa tuhuma za *******,Wao wanaamini kua haya yote haya yamekuja kuja tu kwa sababu wahusika wa Madawa ya kulevya wameguswa! Hili kundi nalo linajitahidi kwa nguvu zote kumtetea kijana lakini hawataki kabisa kusikia tuhuma dhidi yake hata kama zina ukweli.Wenyewe hawajui kua wenzao wako kwenye kazi zaidi, hawajui kua kuna watu wananeemeka na kazi hii.
My take,
Hawa watu wamejaribu angalau kua na mishipa ya aibu kujiuliza Je, huyu jamaa vyeti viko wapi mbona havitio? Hata picha zinazoonekana mitandaoni kuvamiawa kwa kituo cha Runinga na Redio cha Clouds hawazioni?
Itoshe basi kusikia tu yaliyosemwa na Wakurugenzi wa Clouds media groups juu ya uvamizi huo ili kuamini na si kuambiwa! , Ruge na Kusaga ni marafiki wa muda mrefu wa RC *******,wanawezaje kumsingzia?
Mnaoratibu kazi hii mtambue kua kama kama vyeti havitawekwa hadharani inyeshe mvua liwake jua tayari kiongozi wa aina hii atasimama kusema kitu gani mbele ya kadamnasi? Je, zoezi la kuendelea kutimua wafanyakazi wasio na vyeti likiendelea wapinzani wakasimama na kusema haki itendeke kwa watanzania wote mnafikiri taswira ya chama na serikali itaonekana vipi?
Hivi bado mnafikiri kiongozi mwenyewe mali zote hizi anazotuhumiwa nazo atasimama mbele ya umma kujinasibu kua yeye ni mzalendo? Nafsi yake haiwezi kusuta?