Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,308
- 5,275
huyo atakuwa fa fa fa fa fa naeWale walio tumbuliwa kwa ajili ya vyet na ukashangilia ulifaidika nn au we ndo uliwaajir
huyo atakuwa fa fa fa fa fa naeWale walio tumbuliwa kwa ajili ya vyet na ukashangilia ulifaidika nn au we ndo uliwaajir
Hivi RC akindolewa cheo chake wewe inakusaidia nini?kitu gani kitabadilika kwenye maisha yako??
kabisaToo late hasafishiki tena hata mkuu amfute vipi
Akiondolewa kwenye cheo chake ataajiliwa mwingine mwenye qualification elewa elewa bita iliyopo no us watumishi hewa no watumishi hewa ni hao wanaogushi/wanaotumia vyeti visivyo vyao.Kwa hiyo wanatakiwa wafanyakazi wenye vigezo.AWAONYESHE VYETI NYIE NDO MMEMUAJIRI?
HAWEZI KUACHA KUFANYA KAZI ZAKE NA KUANZA KUJIBU HOJA ZA KIPUUZI.
MTAMALIZA LA VYETI MTAKUJA LA CHETI CHA NDOA NALO MTATAKA AJE APPROVE.
DUH WATANZANIA TUBADILIKE OTHERWISE FURAHA TUISAHAU NA KWA STLYE HII TUTAENDELEA KUSHIKA MKIA.
Swali za kizushi
Hivi RC akindolewa cheo chake wewe inakusaidia nini?kitu gani kitabadilika kwenye maisha yako???
TUTUMIENI AKILI KIDOGO BASI KWENYE KUWAZA TUSIWE WASIKILIZAJI TU.
Inategemea Mkuu. ! Sio Rahisi kihivyoooKundi pekee linaloweza kumsafisha Daud Albert BASHITE akatakata kabisa ni MAKAMANDA a.k.a pipooooozzzz!!! powerrrr! wale hawashindwi kitu. Akitaka kuwa safi ahamie huko then akiona mambo yamekaa sawa arudi kwa baba yake... otherwise hata steel wire haimtoi huo ukurutu!
Jibu la kizushiAWAONYESHE VYETI NYIE NDO MMEMUAJIRI?
HAWEZI KUACHA KUFANYA KAZI ZAKE NA KUANZA KUJIBU HOJA ZA KIPUUZI.
MTAMALIZA LA VYETI MTAKUJA LA CHETI CHA NDOA NALO MTATAKA AJE APPROVE.
DUH WATANZANIA TUBADILIKE OTHERWISE FURAHA TUISAHAU NA KWA STLYE HII TUTAENDELEA KUSHIKA MKIA.
Swali za kizushi
Hivi RC akindolewa cheo chake wewe inakusaidia nini?kitu gani kitabadilika kwenye maisha yako???
TUTUMIENI AKILI KIDOGO BASI KWENYE KUWAZA TUSIWE WASIKILIZAJI TU.
Ili iweje?Kazi tunafanya na kodi tunalipa hamna mtu alishakuja kuomba chakula kwako hapa cha msingi ni VYETI VIWEPO MEZANI TU , jua kuwa huu mchezo hauhitaji hasira mwambie aweke maganda mezani aendelee na URC wake hata akitaka URAIS atapewa
Tumia akili kidogo je ni wauza unga ndioONGEZEA NA HII HAPA:
Umuhimu, uhitaji wa utendaji na faida za RC wa Dar essalaam kwa jamii ya Tanzania kwasasa ni mkubwa zaidi kuliko hasara
Chama tulichokitegemea labda kinaweza kusaidia kuchochea maadili mema katika jamii yetu na kuleta maendeleo na labda kuwa mbadala wa chama tawala siku za usoni kinaendeleza mtiririko wa kwenda na matukio kila kukicha na kuzidi kupoteza muelekeo.
Kwa sasa kimeungana na kujikita kutetea washukiwa wa uhalifu na biashara ya madawa ya kulevya kwa ujumla wake - Matumaini ni muelekeo uleule kushindwa tena. Cha kusikitisha zaidi – ni kuelekeza nguvu zote za chama na rasilimali huku wakisaidiana na wazee wa Ngada kutaka kumuangamiza RC kwa maslahi binafsi - Wenye akili tumeshaona ila yatapita tu
Sahihisha kwanza hapo una haraka sana - Inawezekana una sifa zote za kukurupukaTumia akili kidogo je ni wauza unga ndio
Waliotuma Ku forge chetu
Walimtuma kuandaa uongo kwa Gwajima
Walimtuma kuhongwa magari na watuhumiwa wa ngada
Walomtumia kuendesha uvamizi Clouds
Acha utoto
Lowasa alijisafisha baada ya kujiuzulu mwambien ndugu yenu nae ajiuzulu atasafishika
Na baraza la mitihan washitakiwe kwa kuweka online matokeo ya waliopata ziroKama Gwajima alitoa cheti feki, mimi nadhani kazi ni ndogo sana tu, YAANI KUMSHTAKI coz ni kosa kisheria.!
They are fighting an already lost battle,it's too late.Kumeibuka makundi ambayo kwa namna yeyote ile ndiyo yameandaliwa kwa makusudi kabisa mahsusi kwa ajili ya kuhakikisha jina la mtu linarejea katika hali yake ya awali pamoja na kua na ugumu na kwake.Makundi haya yako katika nyanja tatu ambayo yanafanya kazi hiyo usiku na mchana.
1.Kolomije team,hili ni kundi ambalo inaelezwa kua kazi yake ni kwenda kule kijijini alikozaliwa Bashite kutengeneza ushahidi opposite na ule uliokua ukitumiwa na Askofu Dr Gwajima, kundi hili limegharamiwa kwa kila kitu safari nzima kama alivyokua akijinasibu kiongozi wa kundi hilo "Lemutuz" kua wako site kutengeneza vyeti.
1.Team Rais kasema nini, hili ni kundi ambalo lenyewe ni fuata upepo halijui linaelekea wapi,kazi yake ni kujipendekeza kwa Rais ili waonekane,wanavizia vizia vyeo ili kujikwamua na ugumu wa maisha ulivyo hivi sasa, hili kundi lina watu vigeugeu! Wanahisi kwakua jamaa anaongea na mkuu muda wote kwahiyo wakifanikisha harakati zao ataweza hata kuwaombea vinafasi flani hivi ili nao mikono iende vinywani. Watu wa aina hii ukimkita mahali flani hujifanya kua ni mzalendo wa hali ya juu lakini hakuna kitu.
3.Team tatizo ni Madawa ya kulevya, hili ni kundi la watu ambao kwa namna moja au nyingine wameamua kwa makusudi mazima kutotaka kufikiria sana juu ya undani wa tuhuma za Bashite,Wao wanaamini kua haya yote haya yamekuja kuja tu kwa sababu wahusika wa Madawa ya kulevya wameguswa! Hili kundi nalo linajitahidi kwa nguvu zote kumtetea kijana lakini hawataki kabisa kusikia tuhuma dhidi yake hata kama zina ukweli.Wenyewe hawajui kua wenzao wako kwenye kazi zaidi, hawajui kua kuna watu wananeemeka na kazi hii.
My take,
Hawa watu wamejaribu angalau kua na mishipa ya aibu kujiuliza Je, huyu jamaa vyeti viko wapi mbona havitio? Hata picha zinazoonekana mitandaoni kuvamiawa kwa kituo cha Runinga na Redio cha Clouds hawazioni?
Itoshe basi kusikia tu yaliyosemwa na Wakurugenzi wa Clouds media groups juu ya uvamizi huo ili kuamini na si kuambiwa! , Ruge na Kusaga ni marafiki wa muda mrefu wa RC Makonda,wanawezaje kumsingzia?
Mnaoratibu kazi hii mtambue kua kama kama vyeti havitawekwa hadharani inyeshe mvua liwake jua tayari kiongozi wa aina hii atasimama kusema kitu gani mbele ya kadamnasi? Je, zoezi la kuendelea kutimua wafanyakazi wasio na vyeti likiendelea wapinzani wakasimama na kusema haki itendeke kwa watanzania wote mnafikiri taswira ya chama na serikali itaonekana vipi?
Hivi bado mnafikiri kiongozi mwenyewe mali zote hizi anazotuhumiwa nazo atasimama mbele ya umma kujinasibu kua yeye ni mzalendo? Nafsi yake haiwezi kusuta?
Hivi kazi inayompatia hela ya kula huyu mchumia tumbo aitwaye Le Mutuz ni ipi , mbona anatumikishwa kirahisi sana ?Kumeibuka makundi ambayo kwa namna yeyote ile ndiyo yameandaliwa kwa makusudi kabisa mahsusi kwa ajili ya kuhakikisha jina la mtu linarejea katika hali yake ya awali pamoja na kua na ugumu na kwake.Makundi haya yako katika nyanja tatu ambayo yanafanya kazi hiyo usiku na mchana.
1.Kolomije team,hili ni kundi ambalo inaelezwa kua kazi yake ni kwenda kule kijijini alikozaliwa Bashite kutengeneza ushahidi opposite na ule uliokua ukitumiwa na Askofu Dr Gwajima, kundi hili limegharamiwa kwa kila kitu safari nzima kama alivyokua akijinasibu kiongozi wa kundi hilo "Lemutuz" kua wako site kutengeneza vyeti.
1.Team Rais kasema nini, hili ni kundi ambalo lenyewe ni fuata upepo halijui linaelekea wapi,kazi yake ni kujipendekeza kwa Rais ili waonekane,wanavizia vizia vyeo ili kujikwamua na ugumu wa maisha ulivyo hivi sasa, hili kundi lina watu vigeugeu! Wanahisi kwakua jamaa anaongea na mkuu muda wote kwahiyo wakifanikisha harakati zao ataweza hata kuwaombea vinafasi flani hivi ili nao mikono iende vinywani. Watu wa aina hii ukimkita mahali flani hujifanya kua ni mzalendo wa hali ya juu lakini hakuna kitu.
3.Team tatizo ni Madawa ya kulevya, hili ni kundi la watu ambao kwa namna moja au nyingine wameamua kwa makusudi mazima kutotaka kufikiria sana juu ya undani wa tuhuma za Bashite,Wao wanaamini kua haya yote haya yamekuja kuja tu kwa sababu wahusika wa Madawa ya kulevya wameguswa! Hili kundi nalo linajitahidi kwa nguvu zote kumtetea kijana lakini hawataki kabisa kusikia tuhuma dhidi yake hata kama zina ukweli.Wenyewe hawajui kua wenzao wako kwenye kazi zaidi, hawajui kua kuna watu wananeemeka na kazi hii.
My take,
Hawa watu wamejaribu angalau kua na mishipa ya aibu kujiuliza Je, huyu jamaa vyeti viko wapi mbona havitio? Hata picha zinazoonekana mitandaoni kuvamiawa kwa kituo cha Runinga na Redio cha Clouds hawazioni?
Itoshe basi kusikia tu yaliyosemwa na Wakurugenzi wa Clouds media groups juu ya uvamizi huo ili kuamini na si kuambiwa! , Ruge na Kusaga ni marafiki wa muda mrefu wa RC Makonda,wanawezaje kumsingzia?
Mnaoratibu kazi hii mtambue kua kama kama vyeti havitawekwa hadharani inyeshe mvua liwake jua tayari kiongozi wa aina hii atasimama kusema kitu gani mbele ya kadamnasi? Je, zoezi la kuendelea kutimua wafanyakazi wasio na vyeti likiendelea wapinzani wakasimama na kusema haki itendeke kwa watanzania wote mnafikiri taswira ya chama na serikali itaonekana vipi?
Hivi bado mnafikiri kiongozi mwenyewe mali zote hizi anazotuhumiwa nazo atasimama mbele ya umma kujinasibu kua yeye ni mzalendo? Nafsi yake haiwezi kusuta?