Makundi saba Gaza bado yaendeleza vita. Israel yajikuta ikilazimika kurudia kupigana maeneo yale yale iliyoyabomoa mwanzo

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,195
10,929
Makombora kadhaa yamerushwa nchini Israel kutoka Gaza katika namna inayoiumiza kichwa mbabe huyo wa dunia.

Maeneo yaliyopigwa ikiwa ni karibu ya mwezi wa sita tangu vita vianze ni pamoja na Ashdod na Isderot. Habari hizo kutoka kwa kundi la Alqassam zimethibitishwa na Israel yenyewe pamoja na kukiri kupoteza askari zaidi kwenye mapigano yanayoendelea kaskazini ya Gaza.

Ni ukweli kuwa Israel imetumia nguvu kubwa sana na kufanikiwa kuuwa watu wengi Gaza yote pamoja na kujitangazia ushindi kwenye maeneo yote isipokuwa Rafah.

Hata hivyo kuzuka kwa vita tena maeneo ilimopita na kuyabomoa ndiko kunakoichosha Israel na kutoa picha ya ugumu wa vita inavyopigana.

Pamoja na kutumia chakula kama silaha ya vita lakini bado Israel imeshindwa kufikia malengo yote iliyojiwekea mwanzoni mwa vita hivyo.

Israel continues weeks of ‘re-clearing’ operations in north Gaza: Monitors

 
Waache vita,binadamu tunekuwa,zaidi ya wanyama kwa kuuana.
Kinachotakiwa kila mmoja amuheshimu mwenzake sio kufanyiana ubabe na kujitukuza kwa kumiliki silaha.
Binadamu hashindwi kwa kumpiga ovyo bila haki.Atanywea halafu atazunguka aje akushambulie hata kwenye mguu na atakuumiza.
 
Kwa hiyo kumbe hakuna haja ya cease fire? Hamas bado wako vzr tu
Ceasefire ni kwa faida ya wote.
Si umeona hapo kuwa Israel wamechanganyikiwa na uchumi wao bila wapelestina hauwezi kukua.
 
Makombora kadhaa yamerushwa nchini Israel kutoka Gaza katika namna inayoiumiza kichwa mbabe huyo wa dunia.

Maeneo yaliyopigwa ikiwa ni karibu ya mwezi wa sita tangu vita vianze ni pamoja na Ashdod na Isderot. Habari hizo kutoka kwa kundi la Alqassam zimethibitishwa na Israel yenyewe pamoja na kukiri kupoteza askari zaidi kwenye mapigano yanayoendelea kaskazini ya Gaza.

Ni ukweli kuwa Israel imetumia nguvu kubwa sana na kufanikiwa kuuwa watu wengi Gaza yote pamoja na kujitangazia ushindi kwenye maeneo yote isipokuwa Rafah.

Hata hivyo kuzuka kwa vita tena maeneo ilimopita na kuyabomoa ndiko kunakoichosha Israel na kutoa picha ya ugumu wa vita inavyopigana.

Pamoja na kutumia chakula kama silaha ya vita lakini bado Israel imeshindwa kufikia malengo yote iliyojiwekea mwanzoni mwa vita hivyo.

Israel continues weeks of ‘re-clearing’ operations in north Gaza: Monitors

Baada ya kugunduwa mashambulizi ya Moscow yamefanywa ña magaidi wa kiislamu umekimbia kumshabikia kafir Putin ambaye anawapa dozi ya uhakika wale magaidi wa kiislamu.
 
Kinachotakiwa kila mmoja amuheshimu mwenzake sio kufanyiana ubabe na kujitukuza kwa kumiliki silaha.
Binadamu hashindwi kwa kumpiga ovyo bila haki.Atanywea halafu atazunguka aje akushambulie hata kwenye mguu na atakuumiza.
Yaan we mjomba unashadadia vita unajua madhara wanayopitia watu hapo gaza wewe.
 
Wapo vijana wanyaaanzi duniani kote wanaongeza nguvu, hivyo vifusi ukifungua utakuta ndevu za kumwaga
 
Yaan we mjomba unashadadia vita unajua madhara wanayopitia watu hapo gaza wewe.
Wewe ndio hujui madhara ya vita na kutawaliwa.
Watu wa Gaza wanajua sana na wanakufa kila siku na bado hawajachagua kukaliwa na mayahudi
Wameamua wapigane wote waishe au wapate uhuru wao.
 
Wewe ndio hujui madhara ya vita na kutawaliwa.
Watu wa Gaza wanajua sana na wanakufa kila siku na bado hawajachagua kukaliwa na mayahudi
Wameamua wapigane wote waishe au wapate uhuru wao.
Kwa taarifa yako myahud ndio anayeigania maisha yake pale maana akikosa hana nchi ya kiyahud pa kwenda so pale ni do or die. Ndio maana huo mfupa umewashinda waarabu.
 
Makombora kadhaa yamerushwa nchini Israel kutoka Gaza katika namna inayoiumiza kichwa mbabe huyo wa dunia.

Maeneo yaliyopigwa ikiwa ni karibu ya mwezi wa sita tangu vita vianze ni pamoja na Ashdod na Isderot. Habari hizo kutoka kwa kundi la Alqassam zimethibitishwa na Israel yenyewe pamoja na kukiri kupoteza askari zaidi kwenye mapigano yanayoendelea kaskazini ya Gaza.

Ni ukweli kuwa Israel imetumia nguvu kubwa sana na kufanikiwa kuuwa watu wengi Gaza yote pamoja na kujitangazia ushindi kwenye maeneo yote isipokuwa Rafah.

Hata hivyo kuzuka kwa vita tena maeneo ilimopita na kuyabomoa ndiko kunakoichosha Israel na kutoa picha ya ugumu wa vita inavyopigana.

Pamoja na kutumia chakula kama silaha ya vita lakini bado Israel imeshindwa kufikia malengo yote iliyojiwekea mwanzoni mwa vita hivyo.

Israel continues weeks of ‘re-clearing’ operations in north Gaza: Monitors

kama mlimkatisha uhai Mollel bas msimpangie myaudi namna ya kuwadeak
 
Kinachotakiwa kila mmoja amuheshimu mwenzake sio kufanyiana ubabe na kujitukuza kwa kumiliki silaha.
Binadamu hashindwi kwa kumpiga ovyo bila haki.Atanywea halafu atazunguka aje akushambulie hata kwenye mguu na atakuumiza.
nan alianza mshambulia mwenzie ?
 
Back
Top Bottom