Interested Observer
Platinum Member
- Mar 27, 2006
- 4,818
- 7,459
Unajuaje kaMa yeye siyo kigogo?Mkuu ungekiri basi kuwa hili andiko umekopi na kupesti kitoka kwa Kigogo !
Unajuaje kaMa yeye siyo kigogo?Mkuu ungekiri basi kuwa hili andiko umekopi na kupesti kitoka kwa Kigogo !
Ikishathibitika atagombea ndo kumtaka kutakuwa na impact.Aende apumzike tunamtaka lissu
Ikishathibitika anagombea ndo kumtaka kutakuwa na maana mkuu.
kivipi? inawezekana hata iyo dini ya kwako mimi au mwingine anaiona ni ya kitapeli. nakushauri jifunze kuco-exist na watu wasio wa aina yako, itakusaidia sana kwenye maisha. kile ulichokaririshwa unapokuwa kuwa kibaya, wengine wanajua kizuri na kuna siku ukija kufumbuliwa macho na kujiona kilikuwa chema tu utafanya nini? na tayari umeshapercecute watu kwa mtazamo wako. hapa duniani hauishi peke yako,hivyo jifunze kuishi kwa uvumilivu na watu wasio na imani kama za kwako.Tapeli wa dini
Hata mm Nimewaza na ule ufisadi wote kwenye lile Jimbo lake anakuaje mzalendo?Hata Majaliwa hana uzalendo wowote, jiwe alimteua tu kuwa Waziri Mkuu sababu alikuwa tu lipoyoyo LA ndio mzee, kama Nyerere na Kawawa vile, lisiloweza kung'ara na kumzidi nyota
Maneno mengi ya nini wakati huyo ni tapeli?kivipi? inawezekana hata iyo dini ya kwako mimi au mwingine anaiona ni ya kitapeli. nakushauri jifunze kuco-exist na watu wasio wa aina yako, itakusaidia sana kwenye maisha. kile ulichokaririshwa unapokuwa kuwa kibaya, wengine wanajua kizuri na kuna siku ukija kufumbuliwa macho na kujiona kilikuwa chema tu utafanya nini? na tayari umeshapercecute watu kwa mtazamo wako. hapa duniani hauishi peke yako,hivyo jifunze kuishi kwa uvumilivu na watu wasio na imani kama za kwako.
sasa kama haufafanui kua ni tapeni namna gani, unaonekana wewe ni mpumbavu. huna akili.Maneno mengi ya nini wakati huyo ni tapeli?
Mfuasi wa tapeli shida nini mbona unatukana hovyo?sasa kama haufafanui kua ni tapeni namna gani, unaonekana wewe ni mpumbavu. huna akili.