Griss
JF-Expert Member
- Jun 26, 2025
- 337
- 1,945
Wasalaam!!
1: Kundi la kwanza ni kundi la pure wazalendo wa nchini lenye ushawishi ni kundi linaloongozwa na Tundu Lissu,John Heche, Lema na umma wa wapenda mabadiliko ya kweli, Hawa ni wale ambao hawajawai kuwa serikalini lakini serikali wanaijua nje ndani na uozo wao wote na wakiingia wataleta mabadiliko ya kweli ya kikatiba na kisheria na kujenga uchumi shirikishi.
2: Kundi la Pili ni linalo-ongozwa na wazalendo ndani ya CCM waliochoshwa na kuporwa kwa rasilimali za Taifa ambao ni Warioba, Butiku, Mwinyi, Polepole, Dr bashiru, Majaliwa, Pinda,Mpango, Mpina na Gwajima.
3.Kundi la tatu ni CCM maslahi ya ambao ni Rostam Azziz, Nchimbi, Kigwangala, Makamba,Bashe na Nape, Ndungai, Kinana. Hawa ni masalia ya wanamtandao na watumishi wa mtu sio wananchi.
4. Kundi la nne kundi maslahi pia, ndio kundi la wanamtandao JK,Samia,Riz, Muchengerwa, Rajabu, Abood, Msukuma, Shabibi, Mavunde,Mwigulu, Zitto na Mbowe hili ndio kundi hatari zaidi kuwai kuwepo nchi hii.
Namba moja na namba mbili wanaongea lugha moja ingawa wapo pande mbili tofauti.
Namba nne ni matokeo ya ugomvi wa kimaslahi na namba tatu.
Wazalendo tupambane baada ya Reform mpaka kieleweke ili namba 1 na 2 waingie kwenye uchaguzi ili akishinda yeyote nchi inakuwa imeshinda.
Mungu ibariki TANZANIA.
1: Kundi la kwanza ni kundi la pure wazalendo wa nchini lenye ushawishi ni kundi linaloongozwa na Tundu Lissu,John Heche, Lema na umma wa wapenda mabadiliko ya kweli, Hawa ni wale ambao hawajawai kuwa serikalini lakini serikali wanaijua nje ndani na uozo wao wote na wakiingia wataleta mabadiliko ya kweli ya kikatiba na kisheria na kujenga uchumi shirikishi.
2: Kundi la Pili ni linalo-ongozwa na wazalendo ndani ya CCM waliochoshwa na kuporwa kwa rasilimali za Taifa ambao ni Warioba, Butiku, Mwinyi, Polepole, Dr bashiru, Majaliwa, Pinda,Mpango, Mpina na Gwajima.
3.Kundi la tatu ni CCM maslahi ya ambao ni Rostam Azziz, Nchimbi, Kigwangala, Makamba,Bashe na Nape, Ndungai, Kinana. Hawa ni masalia ya wanamtandao na watumishi wa mtu sio wananchi.
4. Kundi la nne kundi maslahi pia, ndio kundi la wanamtandao JK,Samia,Riz, Muchengerwa, Rajabu, Abood, Msukuma, Shabibi, Mavunde,Mwigulu, Zitto na Mbowe hili ndio kundi hatari zaidi kuwai kuwepo nchi hii.
Namba moja na namba mbili wanaongea lugha moja ingawa wapo pande mbili tofauti.
Namba nne ni matokeo ya ugomvi wa kimaslahi na namba tatu.
Wazalendo tupambane baada ya Reform mpaka kieleweke ili namba 1 na 2 waingie kwenye uchaguzi ili akishinda yeyote nchi inakuwa imeshinda.
Mungu ibariki TANZANIA.