Quran imetungwa na watu tu, tena ngumbaru kamaulivyosema wasiojua kusoma.
Ndiyo maana imejaa contradiction.
Hapa unaambiwa Allah ana rehema zote na ni Mungu wa haki.
Pale unaambiwa kuna watu Allah anawafunga mioyo, macho na masikio, wasimjue. Kisha anawahukumu kwa adhabu kubwa sana, kwa sababu hawakumjua.
Sasa mtu hujiulizi, huyu Allah mwenye rehema kubwa sana, mwenye upendo mkubwa sana, mwenye haki kuu, kwa nini anawafunga macho, masikio na mioyo viumbe wake?
Allah akiwafunga macho, masikio na mioyo viumbe hao, maana yake hata wajitahidi vipi kumjua Allah, hawatamjua.
Sasa anawafunga macho, masikio na mioyo, wasimjue. Halafu, wasipomjua, anawaadhibu kwa kutomjua.
Huyo Allah ni Mungu au kichaa?
Yupo kweli? Au hadithi za kutungwa na watu tu?