Makosa 10 aliyotenda Mungu

Hayo ni makubaliano ya muhammad na watu waanzishe taeehe zao

Mfano leo ni al hamisi lakini wewe unao uhakika gani kama leo al hamisi

Embu nipe alama za siku ya al hamisi ili nijue kama leo al hamisi

Ukisema leo al himisi maana yake kuna sifa zimefanya mpaka iwe al hamisi nipe hizo sifa ili nijue al hamisi ina sifa hizi

Nikisema leo ijumaa utaweza nipinga?

Utatumia logic gani kunipinga mm kama leo nikiuambia ijumaa?


Bro nimeiona comment yako hii muda mrefu sana,nikawa najishauri nikujibu au nisikujibu,maana unaonekana hufikiri mambo vile inavyotakiwa na unajidai unajua hali ya kuwa hujui. Tunapoelekea nitakuuza kama nilivyo mpuuza mwenzako Kiranga kwa kujidai mjuaji wakati hajui chochote zaidi ya kutupotezea muda tu.


Nakujibu sasa swali lako kama ifuatavyo. Historia ya kalenda ya kiislamu inafahamika wazi,kalenda ya kiislamu ilikuja baada mtume kufariki. Yalipita makubaliano kadhaa. Maswahaba wa mtume Allah awaridhie walitoa maoni kadha wa kadha,wapo waliosema kalenda ya kiislamu ianze pindi pale mtume alipopewa utume,wengine wakasema ianze pale mtume tu alipozaliwa,wengine wakasema ianze baada ya kifo cha mtume,lakini makibaliano ya mwisho kufikiwa ni kwamba ianze ile siku ambayo mtume alifanya hijira kutoka Makka kwenda Madina.

Hapa unatakiwa utulize akili mzee,siku hazikubadilia wala masaa kadhalika,bali namba tu za tarehe ndio zilibadilika.

Allah aliye juu anasema katika Qur'an "Hakika idadi ya miezi ni kumi na mbili tangu alipo umba mbingu na ardhi..."

Kaka hauwi mwezi bila masiku,aidha uwe mwezi wenye siku 29 au siku 30.

Siku ya sabato ilikuwa inajulikana tangu na tangu.

Mabadiliko ya siku yanajulikana tangu na tangu,huu wote ni muda.


Sasa nataka uniambie wewe bro,ni lini mtume Muhammad amani ya Allah iwe juu yake alifanya makubaliano ya kubadili siku au jina la siku na muda wake ?


Unajua kazi za Nyota ? Huu wote ni muda tu bro.

Sasa ukitaka ukitaka nikueleze siku ya alhamisi ina sifa gani,hili ni swali la kijinga lenye kudhihirisha ujinga wako. Sawa sawa uniambie njaa ina muonekano gani.

Sifa za siku zinajulikana. Kwetu sisi waislamu siku mpya ina badilika pindi jua linapo zama.

Sasa ukija uje na hoja na maswali ya maana si maswali ya kitoto.

Bado nipo........
 
Kama ile ilikua ni ajali basi ujue hata binadamu naye alitokea tu kama ajali hakuumbwa.
Ajali zina sababu zenye kusababisha hizo ajali,hata hiyo Mv nyerere kuna mambo yaliyofanyika ndio yakaleta matokeo ya kupinduka kwa hicho kivuko na ndio tukio hilo tunaita ajali.
 
Ajali zina sababu zenye kusababisha hizo ajali,hata hiyo Mv nyerere kuna mambo yaliyofanyika ndio yakaleta matokeo ya kupinduka kwa hicho kivuko na ndio tukio hilo tunaita ajali.
Hata binadamu kuna mambo yalifanyika ndio binadamu akatokea. Ila binadamu hakuumbwa kwa maneno kama jinsi vitabu vya dini vinavyo danganya.
 
Bro nimeiona comment yako hii muda mrefu sana,nikawa najishauri nikujibu au nisikujibu,maana unaonekana hufikiri mambo vile inavyotakiwa na unajidai unajua hali ya kuwa hujui. Tunapoelekea nitakuuza kama nilivyo mpuuza mwenzako Kiranga kwa kujidai mjuaji wakati hajui chochote zaidi ya kutupotezea muda tu.


Nakujibu sasa swali lako kama ifuatavyo. Historia ya kalenda ya kiislamu inafahamika wazi,kalenda ya kiislamu ilikuja baada mtume kufariki. Yalipita makubaliano kadhaa. Maswahaba wa mtume Allah awaridhie walitoa maoni kadha wa kadha,wapo waliosema kalenda ya kiislamu ianze pindi pale mtume alipopewa utume,wengine wakasema ianze pale mtume tu alipozaliwa,wengine wakasema ianze baada ya kifo cha mtume,lakini makibaliano ya mwisho kufikiwa ni kwamba ianze ile siku ambayo mtume alifanya hijira kutoka Makka kwenda Madina.

Hapa unatakiwa utulize akili mzee,siku hazikubadilia wala masaa kadhalika,bali namba tu za tarehe ndio zilibadilika.

Allah aliye juu anasema katika Qur'an "Hakika idadi ya miezi ni kumi na mbili tangu alipo umba mbingu na ardhi..."

Kaka hauwi mwezi bila masiku,aidha uwe mwezi wenye siku 29 au siku 30.

Siku ya sabato ilikuwa inajulikana tangu na tangu.

Mabadiliko ya siku yanajulikana tangu na tangu,huu wote ni muda.


Sasa nataka uniambie wewe bro,ni lini mtume Muhammad amani ya Allah iwe juu yake alifanya makubaliano ya kubadili siku au jina la siku na muda wake ?


Unajua kazi za Nyota ? Huu wote ni muda tu bro.

Sasa ukitaka ukitaka nikueleze siku ya alhamisi ina sifa gani,hili ni swali la kijinga lenye kudhihirisha ujinga wako. Sawa sawa uniambie njaa ina muonekano gani.

Sifa za siku zinajulikana. Kwetu sisi waislamu siku mpya ina badilika pindi jua linapo zama.

Sasa ukija uje na hoja na maswali ya maana si maswali ya kitoto.

Bado nipo........

Nikisema hawa ni reptlia nitatoa sifa zao kuwatofautisha na mamalia

Toa sifa ya al hamisi ili itofautiane na ijumaa vinginevyo nikikuambia leo ijumaa usinibishie

Naomba kujua wewe umejuaje kama leo al hamisi?
 
Nikisema hawa ni reptlia nitatoa sifa zao kuwatofautisha na mamalia

Toa sifa ya al hamisi ili itofautiane na ijumaa vinginevyo nikikuambia leo ijumaa usinibishie

Naomba kujua wewe umejuaje kama leo al hamisi?
Kaka ukipenda kusikilizwa na wewe upende kuwasikiliza wenzako.

Kwanza mpaka hapa nina uhakika umeshakiri ya kuwa muda upo na kuna watu wanaujua muda kinyume na wewe unavyoamini.

Mpaka hapa tayari umeshakubali ya kuwa idadi ya miezi ni kumi na mbili.

Sasa narudi kwenye swali lako. Tangu Mola anaomba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo alituwekea usiku na mchana kutambua idadi ya miaka,mabadiliko ya siku na kudhibiti mahesabu. Nukta hii iweke akilini vyema,ili nikikujibu swali hili usirudie tena kuuliza swali hili uje na swali lingine.

Unapo ambiwa kudhibiti mahesabu na idadi ya miaka ujue kuna mwanzo wa mwaka na mwisho wa mwaka. Huu ni mzunguko wa kukamilisha jambo na kuendelea kwa kuanza upya. Katika juma kuna siku saba,ili kutimia mwezi kuna siku 29 au 30. Mwezi ukamilike unahitaji majuma kadhaa ya kuendelea kwa kukamilisha masiku.

Masiku haya yalitofautishwa kwa kupewa majina ya kuwa,siku ya kwanza katika juma,kuna siku ya pili katika juma na kuna ya mwisho katika juma.

Masiku haya yamepewa majina kutokana na mwanzo wake.

Sasa tukirudi katika swali lako,ni kuwa leo ni alhamisi kwa sababu alhamisi ni siku ya sita katika juma. Sasa kwanini nimejua siku hii ya leo ni siku ya sita katika juma,sababu ya mzunguko wake wenye kuendelea katika utimilifu.

Narudi kuendelea na hapa nilipoishia baada ya wewe kusema chochote.
 
Kaka ukipenda kusikilizwa na wewe upende kuwasikiliza wenzako.

Kwanza mpaka hapa nina uhakika umeshakiri ya kuwa muda upo na kuna watu wanaujua muda kinyume na wewe unavyoamini.

Mpaka hapa tayari umeshakubali ya kuwa idadi ya miezi ni kumi na mbili.

Sasa narudi kwenye swali lako. Tangu Mola anaomba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo alituwekea usiku na mchana kutambua idadi ya miaka,mabadiliko ya siku na kudhibiti mahesabu. Nukta hii iweke akilini vyema,ili nikikujibu swali hili usirudie tena kuuliza swali hili uje na swali lingine.

Unapo ambiwa kudhibiti mahesabu na idadi ya miaka ujue kuna mwanzo wa mwaka na mwisho wa mwaka. Huu ni mzunguko wa kukamilisha jambo na kuendelea kwa kuanza upya. Katika juma kuna siku saba,ili kutimia mwezi kuna siku 29 au 30. Mwezi ukamilike unahitaji majuma kadhaa ya kuendelea kwa kukamilisha masiku.

Masiku haya yalitofautishwa kwa kupewa majina ya kuwa,siku ya kwanza katika juma,kuna siku ya pili katika juma na kuna ya mwisho katika juma.

Masiku haya yamepewa majina kutokana na mwanzo wake.

Sasa tukirudi katika swali lako,ni kuwa leo ni alhamisi kwa sababu alhamisi ni siku ya sita katika juma. Sasa kwanini nimejua siku hii ya leo ni siku ya sita katika juma,sababu ya mzunguko wake wenye kuendelea katika utimilifu.

Narudi kuendelea na hapa nilipoishia baada ya wewe kusema chochote.

Sijakubali kama miezi ipo 12 ukifatilia historia ya kalenda utakuja kuona miezi ya katika kalenda ta warumi ilikuwa 10

Aliyekuja kuweka iwe 12 ni Julio Cesar ambaye alitengeneza kalenda ya hivi leo

Mimi nachotaka kujua wewe umejuaje kama leo al hamisi?
 
Sijakubali kama miezi ipo 12 ukifatilia historia ya kalenda utakuja kuona miezi ya katika kalenda ta warumi ilikuwa 10

Aliyekuja kuweka iwe 12 ni Julio Cesar ambaye alitengeneza kalenda ya hivi leo

Mimi nachotaka kujua wewe umejuaje kama leo al hamisi?
Kaka warumi wamekuja waikuta miezi ipo na masiku yapo.

Mimi nimekunukulia aya wewe unaniletea dibaji za warumi.

Ama kuhusu siku ya alhamisi soma tena majibu yangu hapo nyuma.
 
Kwahiyo unachomaanisha ni kwamba duniani hata shetani hayupo. Ila mungu yeye ndio shetani mwenyewe amesimama katika nafasi mbili ktk wakati mmoja. Kwamaana mungu yeye ndio mtenda mema na mabaya



Hilo swali la shetani kama yupo duniani hebu muulize "Atheist" mwenzako anaitwa Iblis bin Shetani bila shaka atakujibu tu.😁😁
 
Jina lake iblisi unashangaa nini?

Mbona haya ushangai

Abuu Jahal baba la ujinga,si bora yeye iblis ni mjanja anashindana na mungu

Abuu huraira baba la mapaka yaan huyu mpaka hadithi kapokea yaan ana tofauti na bi nyau wa tandale kwa mapaka



Unajua maana ya Ibilis ??
 
Tena kamtunga muhamad kuwakomoa wayahudi maana katika taurati mungu wanamwita yehova huku allah
Aliwaonea wivu wao wana kitabu, Wwaarabu hawakuwa na kitabu.

Mpaka alikuwa anawaita "watu wa kitabu".

Ikabidi na yeye atunge kitabu ili Wwarabu nao wawe na kitabu.

Hapo ndipo uongo wote wa Quran ulipoanzia.

Ukiisoma unaona kabisa imeandikwa na ngumbaru asiyejua kuandika mambo kwa logical consistency, si kitabu cha Mungu.
 
Aliwaonea wivu wao wana kitabu, Wwaarabu hawakuwa na kitabu.

Mpaka alikuwa anawaita "watu wa kitabu".

Ikabidi na yeye atunge kitabu ili Wwarabu nao wawe na kitabu.

Hapo ndipo uongo wote wa Quran ulipoanzia.

Ukiisoma unaona kabisa imeandikwa na ngumbaru asiyejua kuandika mambo kwa logical consistency, si kitabu cha Mungu.



Kaka naona umeamua kuongea UONGO wa wazi.

Naomba uniambie mtume Muhammad aliwezaje kutunga kitabu hali ya kuwa alikuwa hajui kusoma na kuandika ?

Kama Qur'an imetungwa na binadamu,je unaweza kuleta mfano wa mstari mmoja au chini ya mstari mmoja mfano wa Qur'an ?

Huwa nacheka unavyohitimisha mambo ya kielimu kijinga jinga. Angalia ulicho kiandika mwishoni hapo.

Ama kuhusu Manaswara na Wayahudi kuitwa Ahlul Kitab (Watu wa Kitabu) hu ni utambulisho tu mzee.

Kaka unajua kuisoma Qur'an ?

Ajabu nyingine ninayo ishangaa kwako ni kujifaragua kwa msamiati wa elimu ya mantiki,halafu huijui elimu hiyo.

Kaka ukiamua kusoma,soma kweli uyaelewe mambo.

Unakumbuka jana nilikupa marejeo ya vitabu vya tafsiri ya Qur'an ? Je ulivitafuta ukavisoma ?
 
Kaka warumi wamekuja waikuta miezi ipo na masiku yapo.

Mimi nimekunukulia aya wewe unaniletea dibaji za warumi.

Ama kuhusu siku ya alhamisi soma tena majibu yangu hapo nyuma.

Huwezi kuonyesha kama leo ni alhamisi kwa hiyo mm nikisema leo ijumaa usinipinge

Kama unakubali leo alhamisi nitajie sifa za alhamisi

Kuhusu siku na tareh watu walikaa na kukubaliana ndio maana kuna kalenda ya kichina na kuna kalenga ya kihindi au kuna kalenda ya kislam na kuna kalenda ya georgian

Je kalenda hizo zote zinafanana siku?

Jibu kalenda hizo zote hazifanani siku,

Kama zinafanana mbona miaka kila mtu anasherehekea mwaka mpya siku yake?
 
Huwezi kuonyesha kama leo ni alhamisi kwa hiyo mm nikisema leo ijumaa usinipinge

Kama unakubali leo alhamisi nitajie sifa za alhamisi

Kuhusu siku na tareh watu walikaa na kukubaliana ndio maana kuna kalenda ya kichina na kuna kalenga ya kihindi au kuna kalenda ya kislam na kuna kalenda ya georgian

Je kalenda hizo zote zinafanana siku?

Jibu kalenda hizo zote hazifanani siku,

Kama zinafanana mbona miaka kila mtu anasherehekea siku yake?
Kaka ungekuwa umesoma maelezo yangu hapo juu na uka yaelewa nina uhakika usingeuliza swali la kitoto namna hii.

Kutofautiana miaka kwa maana idadi hilo sio jambo la ajabu,bali ndio iko hivyo,lakini siku na urefu wa siku uko vile vile.

Mathalani Mashia wa Irani wana mwaka wao hii lazima itofautiane kutokana na wao lini walikubaliana kuanza kuhesabu mwaka wao.

Hivi kuna mwezi una masiku arobaini hapa duniani au masiku 35 au masiku 50 ?
 
Kaka ungekuwa umesoma maelezo yangu hapo juu na uka yaelewa nina uhakika usingeuliza swali la kitoto namna hii.

Kutofautiana miaka kwa maana idadi hilo sio jambo la ajabu,bali ndio iko hivyo,lakini siku na urefu wa siku uko vile vile.

Mathalani Mashia wa Irani wana mwaka wao hii lazima itofautiane kutokana na wao lini walikubaliana kuanza kuhesabu mwaka wao.

Hivi kuna mwezi una masiku arobaini hapa duniani au masiku 35 au masiku 50 ?

Ndio maana nikakumbia hakuna anayejua muda na siku ktk dunia ya leo

Kinchobaki ni kukaa na kukubaliana ktk jamii husika mpange na kutumia kalenda yenu husika mfano waislam walikaa na kukubaliana kalenda yao ianze baada ya hijiria

Kama muda na tarehe na masiku yangekuwa sawa duniani kungekuwa na kalenda moja tu duniani

Kitendo cha kuwepo kalenda nyingi duniani kunathibitisha hakuna anayejua muda kila mtu anapanga muda kutokana na kalenda yake kulingana na mazingira yake
 
Kaka naona umeamua kuongea UONGO wa wazi.

Naomba uniambie mtume Muhammad aliwezaje kutunga kitabu hali ya kuwa alikuwa hajui kusoma na kuandika ?

Kama Qur'an imetungwa na binadamu,je unaweza kuleta mfano wa mstari mmoja au chini ya mstari mmoja mfano wa Qur'an ?

Huwa nacheka unavyohitimisha mambo ya kielimu kijinga jinga. Angalia ulicho kiandika mwishoni hapo.

Ama kuhusu Manaswara na Wayahudi kuitwa Ahlul Kitab (Watu wa Kitabu) hu ni utambulisho tu mzee.

Kaka unajua kuisoma Qur'an ?

Ajabu nyingine ninayo ishangaa kwako ni kujifaragua kwa msamiati wa elimu ya mantiki,halafu huijui elimu hiyo.

Kaka ukiamua kusoma,soma kweli uyaelewe mambo.

Unakumbuka jana nilikupa marejeo ya vitabu vya tafsiri ya Qur'an ? Je ulivitafuta ukavisoma ?
Quran imetungwa na watu tu, tena ngumbaru kamaulivyosema wasiojua kusoma.

Ndiyo maana imejaa contradiction.

Hapa unaambiwa Allah ana rehema zote na ni Mungu wa haki.

Pale unaambiwa kuna watu Allah anawafunga mioyo, macho na masikio, wasimjue. Kisha anawahukumu kwa adhabu kubwa sana, kwa sababu hawakumjua.

Sasa mtu hujiulizi, huyu Allah mwenye rehema kubwa sana, mwenye upendo mkubwa sana, mwenye haki kuu, kwa nini anawafunga macho, masikio na mioyo viumbe wake?

Allah akiwafunga macho, masikio na mioyo viumbe hao, maana yake hata wajitahidi vipi kumjua Allah, hawatamjua.

Sasa anawafunga macho, masikio na mioyo, wasimjue. Halafu, wasipomjua, anawaadhibu kwa kutomjua.

Huyo Allah ni Mungu au kichaa?

Yupo kweli? Au hadithi za kutungwa na watu tu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom