Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,040
Makontena hayo mawili yamekamatwa ktk bandari ya Zanzibar yakiwa na pembe za ndovu zilizokuwa zimefichwa ndani ya magunia ya dagaa. Shehena hiyo ya Dagaa imetokea Mwanza na imepakiliwa ktk boti ikitokea bandari ya Dar es Salaam. Polisi inawashikilia watu wawili ambao inasemekana mmoja wao ni nahodha wa boti hiyo.
Souce: ITV BREAKING NEWS.. Saa 10 jioni.
Souce: ITV BREAKING NEWS.. Saa 10 jioni.