Tuandamane
JF-Expert Member
- Feb 2, 2008
- 1,221
- 57
Haka ka kipengele ndiko tatizo kwangu haswa! Na haya ndiyo yanayoleteleza mambo kuwa yalivyo sasa Tanzania.
Mungu inusuru nchi yetu mikononi mwa mafisadi!
Mkuu,,,
Kama umeangalia statistics za JF ziko hivi:
Huyu ndiye mwanachama mpya lakini kaja na nondo kweli. Tatizo anaonekana offline. We need him to clear some quiz... mwanahalisi, njoo online tafadhali!
Hapana mkuu... Kuanadamana tu, tutaandamana lakini huko wanakotaka twende hatutafika na tutawashinda kwa mwendo huu..... mkuu hawa watu nanataka tufike tusikokutaka na wataacha midomo wazi wakati wao ndo wanalianzisha
Hapana mkuu... Kuanadamana tu, tutaandamana lakini huko wanakotaka twende hatutafika na tutawashinda kwa mwendo huu.
United we stand!
sipendi na sitaki kabisa vurumai, ila ninawasiwasi wanalipeleka taifa pabaya sana kwa dharau zinazotokana na shibe za wizi,
mkuu have this picture,
makongoro anapigania uongo juu ya ndege mbovu anaambiwa anaongea upuuzi, halafu inaanza kazi watu wanapoteza maisha, watanzania wananyamaza
Kweli Mkuu Invisible
NIMEKUWA NIKIVUTANA SANA NA JAMAA ZANGU NA HATA HUYO CEO BW DAVID MATTAKA... NA KUWAAMBIA NENDENI NA WATAALAM MKAANGALIE ZILIPO UBORA WAKE... NIKAPIGIWA SIMU NA MMOJA WA MARUBANI AKIULIZA JAMAA ATATOA PERCENT NGAPI KWETU NA TUKO KUMI????
KWELI NILISHTUKA MAANA NILIHISI HATA KAMA TEN PERC WATU WATANO SI MBAYA NKWAAMBIA ATATOA MILLION 500... WAKADAI NI DOGO SANA... BAADA YA HAPO ,,, WAKAWA WANATUMA EMAIL... MWISHO NIKAWAJULISHA MWENYE NDEGE AMESEMA MWISHO SIKU FULANI KAMA IMESHINDIKANA BASI... HAWAKUWEZA KUWASILIANA MPAKA NILIPOPATA TAARIFA WAMEPATA NDEGE AIRBUS TOKA EL-SALVADOR....
PILI
1.NDEGE HII NI MBOVU NA MPAKA SASA IMESHATUMIA BILLION ZAIDI YA 5 NA HAJAIFIKA NA WALA KUANZA KAZI....KAMA HATAKI KUKUBALI NA HILI ASUBIRI HUKOHUKO BUNGENI NDANI YA SIKU TATU....
MATUMIZI YAKE NI KAMA IFUATAVYO
TOKA MWEZI WA KUMI ATCL WAMEANZA KULIPA NDEGE AMBAYO HAIPO NA WALA HAIJAFIKA DOLLAR 420. HII NI PAMOJA NA ADHABU YA KUTOCHUKUA MAPEMA DOLLAR 420,000 * OCT, NOV, DEC, JAN, FEB, MAR na APR.
KUNA KIBARAKA MMOJA WA MEMBER WA MANAGEMENT ALIPELEKWA KULE TOKA MWEZI WA KUMI HAKUNA KAZI YOYOTE ANAYOIFANYA YEYE ANALIPWA DOLLAR 300 KWA SIKU.
DOLLAR
300 * 31 OCT 9300
300 * 30 NOV 9000
300 * 31 DEC 9300
300 * 30 JAN 9000
300 * 28 FEB 7200
300 * 31 MAR 9300
300 * 30 APR 9000
HIZI ZOTE NI DOLLAR MARA 1300 ZA KITANZANIA EWE MTANZANIA UJAJENGA ZAHANATI KUNA RUBANI MWINGINE NAYE ALIKAA HUKO MIEZI 2 ANALIPWA DOLLAR 400 *60 24,000 USD.
KUNA RUBANI MWINGINE AMBAE MPAKA HIVI SA SA YUKO HUKO HAIJULIKANI ANASUBIRI NINI NATUMAINI MATAKKA ANAJUA UCHIFU HUU YEYE ANA MWEZI SASA BAADA YA KUONA WENZAKE WANAENDA HAWARUDI AKAONA NA YEYE AKAANGALIE NDEGE IKOJE NAE ANALIPWA DOLLR 300 *30 DOL 9000
JAMANI HAPO HATUJAWATUMIA PESA ZILIZOTUMWA KWA AJILI YA MATENGENEZO YA HIYO NDEGE ANAYOKATAA HUYO MHE NA KUAMUA KUWAITA WAMBEA NA KUMBE YEYE NI MBEA NA MNAFIKI.... MHE WAZIRI NASIKIA WEWE ULIKAA NA CEO MATAKA NA BAADA YA KUMBIWA KUNA WATU WANAMCHOKONOA UKAMWAMBIA AWAFUKUZIE MBALI... MIMI SIONI SWALA NI KUWAJIBIKA AU KUBADILI MAKOSA AU KUFUKUZA WATU?
Mwanahalisi,
Nina swali dogo la kijinga. Nijuavyo mimi Airbus
hutengenezwa Ufaransa. Kitu gani kilipelekea kuamuliwa ndege inunuliwe El-Salvador? Of all places?
Tupo macho Mkuu,JF ndo-kiwanja halisi cha mapambano na tutashinda tu!!..... watazamaji katika kiwanja cha mpira hivi lini tutasema inatosha.....lini tutaamua kusema sasa basi na kuorganize dhidi ya wachache wanaotugeuza kuwa shamba la mjomba! Amkeni wadanganyika tupiganie haki yetu.
..........wapeni nafasi Precision wasiokula hela ya Mtanzania watusafirishe