Makongoro Nyerere jifunze kutoka kwa Chalamila, punguza Masihara

Mako ndo alivyo!! Ukitaka awe unavo taka atakuwa kichekesho zaidi.
Mizaha we ndo unaiona mizaha hivyo!! lkn siyo sisi wengine upo.

Km atatumbuliwa sababu ya haiba yake ambayo weye unaiona ni mizaha huyo ni sawa tu atafanya kazi nyingine!! Afanyeje sasa ajiue???

Nasema hivi Yeye ndo alivyo ki haiba km baba yake usimpangie!!mara ngapi jk kachekesha umma??
Acha udodoma huo wewe......
 
Ilikuwa ni nadra Nyerere kumaliza hotuba bila watu kucheka, haiba nyingine ni za kurithi....hata alivyokuwa anaomba kura bungeni kuteuliwa kuwa mbunge wa East Africa wabunge walikuwa wanaangua kicheko tangu anaanza kuongea na zile gestures kama baba yake...
 
Makongoro ndivyo alivyo, hata kwenye vijiwe yuko hivyo hivyo....hanaga mambo ya ukuda

Sijui nikuweke ndani, kufokea watu

Mpka sasa wafanyakazi huko manyara wanamkubali sana

Ova
Yule angekua mwalimu tena wa maths, wallah wanafunzi wangefaulu kuliko kawaida,
 
Ahahahahha nilikutana naye majuzi kati pande za O'bay sema kachoka aisee! Magu aliwagusa wengi sana aisee!
Hivi yuko wapi kwa sasa?? Ila yule binti yake mkubwa ana mashauzi sana yule dada km mdingi wake namtafuta kwa hamu....nikimpata!!!heee
 
Kilichomtoa Chala si kauli za utani bali uvunjaji wa sheria na msitake tuseme huenda na harufu ya rushwa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…