Makongoro: Nasubiri kipyenga cha mwamuzi tu

Makongoro: Nasubiri kipyenga cha mwamuzi tu

Yericko alishakanwa na familia ya Nyerere,bado anajipendekeza tu, muda umefika sasa kwa wanafamilia kumchukulia hatua
 
Sasa Yericko,kama unafikiri"ccm haifai kuongoza nchi hata ikimsimamisha Yesu au Mtume Muhammad" hii posting umeiandika ya nini? Kwa unaona pale umemuudhi yule mwislamu kwa kusema Mtume Muhammad hana uwezo wa kuiongoza Tanzania.
 
Mimi naomba niseme kuwa mtoto wa nyoka ni nyoka hawezi kuwa kunguru, uongozi ni damu pamoja na kuwa unasomewa mtoto wa kiongozi kuwa kiongozi si ajabu kwani ni damu yao. George bush kuanzia babu yake na babu yake alikuwa rais america kwa hiyo kenyata,karume,kabila,ridhiwani, makongoro,madaraka si ajabu wao kuchukua uongozi katika nchi nilimsahau malima na kama mmesahau kuna mjukuu wa nyerere anaitwa julius kambarage nyerere ambaye alirithi ile fimbo ya babu yake ambaye kwa muda mrefu yuko kwenye maandalizi ya kuwa kiongozi atakuja kuwa rais wa nchi hii pia kwa umri wa ridhiwani kikwete atakuja kuwa rais wa nchi hii hakuna xha kushangaza hapi
 
Mkweli ktk yepi weye?Ktk kila kitu,vitu fulani au nini?Ukweli ni Absolute...ila usemaji wa hiyo KWELI ni very relative...hata kwa msemaji wake tuu ,kunaweza mchanganya.NDIO KWELI IPO KTK NENO LA MUNGU TUU.

Wewe potea, huna cha maana.
 
Shida ni jinsi CCM ilivyoona kuwa inaweza wa abuse km ilivyo abuse wanawake na kumweka makinda.Muda wote CCM ilikuwa akilumbana na kuikebehi hii familia vibaya.Kwa nini hawakufikiri kuhusu madaraka?

Team Tengeru, mtakoma mwaka huu, viva Makongoro
 
Pengine usubiri ufafanuzi wa nwenyekiji aka JK aka Mh. Rais..nasiki yeye ndie aya...touu..llah wenu.Na mwanafalsafa mkuu.

Makongoro kumbe sindano imeingia vizuri, Team Tengeru ni sheeeeeeeedaaaaaaaah!!!!!!!
 
Makongoro kumbe sindano imeingia vizuri, Team Tengeru ni sheeeeeeeedaaaaaaaah!!!!!!!
hata makinda na kinana si mlisema hivyo.Wakati tukiwaambia mnapoteza muda tuu na kuchezea hela za umma mnaziiba ili wakazitumie kwa kazi isiyowezekana mlibisha hivi hivi na mkashangilia ushindi..sasamnasemaje?
 
Nimesema imekuwa maarufu kama trademark . Kulinganisha kuna kupa taabu. Kuhusu Baba wa Taifa assumption yako ni very vague.Baba wa Taifa Nyerere atabaki kuwa yeye daima upende usipende.
 
USA ni baba wa demokrasia duniani,lakini tumeona watoto na ndugu wa karibu wa Marais waliopita wakigombea na kushinda nafasi mbali including the Presidency George W Bush,Teddy Kennedy,Mtoto wa Bush anagombania tena mwakani,Mama Clinton yumo kwenye list pia just to mention the few,hatuangalii kama ni mtoto wa Nyerere tutaangalia kama ana uwezo,akiwa nao tutampa nchi na kama hana hatapewa,Lakini tusimnyime haki ya kuwa kiongozi wa nchi hii kama atatuonyesha kweli ana uwezo eti kisa tu baba alikuwa Rais.
 
USA ni baba wa demokrasia duniani,lakini tumeona watoto na ndugu wa karibu wa Marais waliopita wakigombea na kushinda nafasi mbali mbali including the Presidency.George W Bush,Teddy Kennedy,Mtoto wa Bush anagombania tena mwakani,Mama Clinton yumo kwenye list pia just to mention the few,hatuangalii kama ni mtoto wa Nyerere tutaangalia kama ana uwezo,akiwa nao tutampa nchi na kama hana hatapewa,Lakini tusimnyime haki ya kuwa kiongozi wa nchi hii kama atatuonyesha kweli ana uwezo eti kisa tu baba alikuwa Rais.
 
Hivi wewe Yericko ni wa ukoo upi? Ule wa Matombo Morogoro au? Halafu ninyi Chadema kweli siasa zimewashinda, sasa kila anaetajwa ndani ya CCM mnamponda mbaya, tuambieni sasa ninyi mnamtaka nani ndani ya ccm au hilo jukumu mnamtaka tuwape mtutaftie mgombea urais ndani ya ccm? Basi rudisheni kadi za Chadema tuwape za ccm mmependekeze mgombea urais kupitia chama cha Mapinduzi

Chenge ndo jembe la ukweli! "Chagua Chenge na sema ndiyo kwa katiba ya Chenge"
 
=Yericko Nyerere Kwa ccm hata asimamishwe Yesu au Mtume Mohamed hafai kutawala nchi hii
"Kama yesu sawa lakin ucmtaje mtume wetu maaana hayupo ktk darja hill"..
 
Ccm hawana mgombea thabiti kama siyo lowasa wengine wote ukawa
watatangaza saa 4 asubuhi matokeo ya ushindi
 
Wanajamvi,

Mtakumbuka huko nyuma niliwajuza hali ya siasa ndani ya CCM na matarajio ya CCM kutegemea familia ya mwasisi wa taifa hili kushinda uchaguzi hapo Oktoba.

Makongoro kupitia gazeti la Mtanzania anasema sasa anasubiri tu kipyenga cha mwamuzi, na kwamba familia ya mwasisi huyo wamemeza siri kubwa kuhakikisha mtoto huyu wa Julius Kambarage Nyerere anafuata nyao za akina Uhuru Kenyata, Aman Karume, Kabila, nk.

Siasa za ufalme sasa zajichomoza wazi ndani ya CCM hii ni baada ya ubunge wa akina Ridhiwani, Mgimwa, Vita Kawawa, Husein Mwinyi kuukwaa
.

- Kama kawaida yako ya kutumwa na kuleta bila kutumia akili yako hata kidogo maana ungekuwa ungejua kwamba Mbowe ni mtoto wa Kigogo wa CCM na ni mkwe wa Muaisisi wa Chadema, ungejua kwamba Mbunge wa Chadema Lucy Owenya ni mtoto wa Mbunge wa Chadema Ndesamburo na Mbunge wa Chadema Grace ni mke wa mtoto wa Ndesamburo, ungejua kwamba Mbunge Lisu na dada yake na mzazi mwenza wake wote ni wabunge wa Chadema, poor you huwa unabeba tu maelezo bila kuchambua mwenyewe,

- CCM ni CCM haijawahi kumtegemea mtu yoyote ndio maana hata Mwalimu alimtaka Dr. Salim lakini ndoto yake haikuweza kutimia, sasa iwe leo hayupo sometimes akili ya kutu,mwa na yako kidogo mkuu!!

Le Mutuz
 
kama viongozi wako wakuu wa chama mpaka sasa hawamjui mgombea wao, ndio wataka yeriko akutajie? wakati wewe mwenyewe upo upo tu. poleni magamba bado miezi 5, hamjaanza kura za maoni na bado hamjui nani anabeba bendera ya chama.
Subir kwanza, hivi mgombea wa chadema/ukawa anaitwa nani?
 
Makongoro julius kambarage nyerere
 

Attachments

  • Screenshot_2015-04-28-14-58-22.png
    Screenshot_2015-04-28-14-58-22.png
    27 KB · Views: 166
Back
Top Bottom