Ama kweli neno msaliti fits many people, I thought u were part of the Nyerere family, kumbe wewe ni FAKE product.
Swadakta Mkuu mimi nilijua huyu jamaa kwa namna ambavyo anakazania kulitumia jina la ukoo wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere basi sie wengine MAGT humu ndani tukaenda kichwani huku tukiendelea kuunganisha dot kidogo kidogo labda zile hekaya za wahenga wetu kuwa kitanda akizai haramu/inazaniwa/uenda/labda/kwa watu wazima uwa inatokea/kiafrika ni jambo la kawaida/kwa watoka koo za kichifu wanajua kuna utapanyaji wa damu ata kwa mtapanyaji asivyotalajia binafsi/kwa asivyojua anakuta imetoke labda huyu ni sehemu hiyo ya utokeaji/na maswali mengine mengi ya kujiuliza na kujijibu binafsi kwingi sana kunakowapitia wanajf humu ndani kuhusiana na huyu jamaa na kama kawaida ya mambo ya koo za kichifu huwa hayana majibu kwa watu wengine ila kwa wenye viti wa koo husika.
Kuna picha yake moja watu walijaribu kulinganisha kutafuta vinasaba vya kimwili na kuona kama kweli ana vinasaba hivyo kwa muhusika na hata kwa mtoto wa muhusika huyo mwingine ukimkusanya na yeye kiasi fulani wana kimwonekano kinacho elekea manake mtu apotezi chake ata kucha, au unyayo sembuse paji la uso, midomo na pua ndio usiseme.
Sasa najiuliza inakuaje dogo anakuja kwa bro na kauli ya hivi.............Itabidi mkuu wa kaya kwa Mwalimu wamkarishe huyu dogo kama kweli anahusika manake vinginevyo kwa kauli za hivi huyu dogo ni tatizo kwake na anapaswa kufahamu mila za kwao kuwa MKUBWA anachaguliwa ajichagui..Sasa kauli zake za ajabu ajabu kama vile ajajua anatoka koo za machifu basi ajifunze koo za machifu uwa azichezewi anavyojaribu kutuonyesha humu ndani.
Basi vinginevyo yeye anayelazimisha matumizi ya jina hilo atakuwa CHIFU dom ishakataa kuwa si damu yao na kilichotekea ni kufanana kwa mapenzi ya Mungu, kama ambavyo waswahili useme Mwanaume asiye kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanamke, na ni marafiki wa kawaida na akawa na mimba akizaa mtoto basi mtoto yule kwa uumbaji wa ajabu wa Mungu, Mtoto anaweza kutoka anafanana na jamaa husika.Sasa kama hizo ni ngano za wahenga basi hadithi hizi zilikua na mifumo ya kustahi na kuhifadhi mambo mazito ya watu wazima.
Nikilejea kauli za Yericko, kama haku baatika kupewa fursa ya kuijua familia ya anakojitanabaisha nayo basi ni fursa ya kumuomba mkuu wa kaya hiyo [Msemaji Mkuu wa Ukoo] wampe mwongozo hasa linapokuja kwenye mambo mzito na makubwa ya kuelekea kuomba kupewa kiti cha kuitumia Nchi kama RAIS.
Kama ni wa damu na tayari anaonyesha kuoppose kama mtu ambae hayuko kwenye mahusiano ya kidamu,basi mtoaji ANAJITAFUTIA MATATIZO na ndio ishara ya WANAUCCM mara wanaona si mtu sahihi kwa familia tajwa.
Wazungu awakukosea kusema Ukarimu Uanzia Nyumbani [Charity begins At Home] sasa ukarimu wa huyu jamaa kwa familia anayojinasabisha nayo mpaka watu wanafikia kumuona kama kweli ni kiumbe wa mtu husika anatoa wapi povu kuonge maneno ya ajabu kumuhusu mwanafamilia mwingine.
Au ndio ile tukose......wakati issue hapa ni Mzaliwa aliyechaguliwa kwenye familia ...mie nilimchukulia mleta thread kama mambo ya Rais wa Ufaransa marehemu Francois Mitterand na binti yake Mazarine au kijana anae semekana wa kwake Mwanasiasa wa Sweden Hravn Forsne na kuwa kuna siku atajitambua na kubeba image ya kweli kweli na huko siku za mbele itamsaidia.
Yericko kama unavinasaba na Mwalimu au vinginevyo iwe vyovyote ama ulichaguliwa na Mwalimu kuwa mtoto wake wa kuhasi basi acha mchezo linapokuja swala la mambo ya VITI na liheshimu sana sana.Tena koma koma koma nakuomba kwa kuwa kama ujui habari za machifu tafuta chifu yoyote yule umuulize huo ni muziki mwingine hizo habari za Ujah men kwa pande hizo kaa mbali kabisa isije ikawa hadithi....paukwa pakawa..alitokea deshi deshi kapanda naniliii.
Lakini kama una tofauti zako na mtaka nafasi na unatumia lugha hiyo kujenga mazingira mabovu basi jua ni SIFURI na itakura kwako kwa kuwa Tanzania bado ina wazee na yakiwafikia na wakakuona wewe ni tatizo maweeeeeeeee......lugha ya Mtani wa mtu hiyo...ni .manche ga nyansa mie simo....
Usifuate uchifu wa kupeana kwenye viti vya siasa hiyo uwa ni maigizo uchifu uwa unaflow na damu baba.....waombe wakufundishe ujifunze tofauti zako na watu wa ndani ya nyumba zifute linapokuja jambo la kuongoza Taifa na hata maswala ya viti.