Makongoro: Nasubiri kipyenga cha mwamuzi tu

Makongoro: Nasubiri kipyenga cha mwamuzi tu

Kwani wewe unataka alale na mama yako ndo ujue alichokifanya!!!!
 
Hicho ndicho hata Mimi nilishawai kuuliza ameifanyia nn nchi hii mpaka apate baraka Za watanzania kumchagua kuwa kiongozi wao? Kama sifa ni ulevi aliokuwa anaufanya pale Arusha basi anastahili
Aliipigania tanzania ktk vita vya uganda akiwa na miaka 18.
Ndio alikuwa msemaji wetu CCM katika vikao vya ndani ambavyo alikuwa anamchana rais kuhusu mafisadi. Huo uzi upo humu ndani...tafuta tu.
Bifu zetu na majirani kaziweka sawa kimtindo...isitoshe jamaa anakubalika ndani na nje ya nchi.
 
SI LAZIMA CCM ITAWALE TENA!

Hata kama Makongoro anafaa, lakini si lazima ccm itoe rais.

sasa hivi haonekani afaaye labda tumrudishe Mkapa
 
Hata kama ni supu sidhani kama wananchi wanaihitaji.
 
Nimeona Mtanzania la jumapili ya Leo, mimi nilikuwa wa kwanza kumbishia Yerico miezi mitatu iliyopita, Leo nakupa Salute mkuu we ni Noumer
Nini kimekupa uhakika leo? kweli ni rahisi sana kuwadanganya BAVICHA!
 
Nini kimekupa uhakika leo? kweli ni rahisi sana kuwadanganya BAVICHA!

Mkuu wanadanganyana kupita mfano chochote wanachoambiana hawapimi wamekuwa kama nyani. Wanaigana anachofanya wa kwanza . Desperation imewaathiri.Hawana uwezo wa kufikiri.
 
Mda mwengne huwa ckuelewi Yericko kama hzo ni siasa za kifalme Hebu tuambie ktk chadema siasa hizo hazipo?...
Mbona kuna wabunge hadi wakwe,wake,ndugu au kwa cdm halali lkn kwa ccm haramu?..
Siupend huu mfumo lkn tuwe wakwel na tuupinge wote kama watanzania
 
Ako ka bwana mdogo nakajua hilo siyo jina lake kanatumia jina la nyerere kujipatia umaarufu na pia kuleta upinzani ktk familia ya mwalimu!!! Kanajidai kajitu ka iringa lakini kwao ni mara ka kurya!! Kati ya wapuuzi wachache wanaotumiwa na wasaka tonge!!!!!!

Kwa ccm hata asimamishwe Yesu au Mtume Mohamed hafai kutawala nchi hii
 
Ccm ni chama kikubwa kinachoongoza Africa.ccm ikianguka Africa imeanguka!!!!
 
Ccm ni chama kikubwa kinachoongoza Africa.ccm ikianguka Africa imeanguka!!!!

Una umri gani ndugu...?!
Usitukane, toa jibu la kweli... Ili niweze kukusemesha kwa level ya umri wako...
Samahani lakini...!
 
Tatizo unabisha for the sake of kubisha kuna majina yapo famous kiasi ambacho yanakuwa kama trademark .Ukitaja Mugabe watu wanaelewa una refer Rais wa Zibwabwe. Tanzania unapozungumzia Nyerere watu wanaelewa ni hayati Baba wa Taifa.Ukisema Karume likewise . Halafu unaniuliza nani kaniambia ni jina la Nyerere! ! Ni yupi huyo unaye m refer kama sio the obvious one.
Kwa taarifa yako Nyerere hakuwa hi kuwa maarufu kuliko ROnaldo De Lima,Ila kuna ronaldo mwingine kaja.Acha upuuzi wa kusema kwamba kuwa famous ndipo kunafanya kitu kiwe kama..hiyo kama haifanyi kiwe halisi...Trademark ni kitu ya kisheria na inakata mwingine asitumie.Km ilivyo kwa Ronaldo anaweza ibuka Nyerere mwingine nje ya kizazi cha huyu Nyerere na akapasua dunia kuliko Nyerere wa Burito na dunia ikamkubali kuliko.Sijui km hata hilo la Baba wa taifa litakuwa na umuhimu tena au litaongezeka thamani.
 
Hivi wewe Yericko ni wa ukoo upi? Ule wa Matombo Morogoro au? Halafu ninyi Chadema kweli siasa zimewashinda, sasa kila anaetajwa ndani ya CCM mnamponda mbaya, tuambieni sasa ninyi mnamtaka nani ndani ya ccm au hilo jukumu mnamtaka tuwape mtutaftie mgombea urais ndani ya ccm? Basi rudisheni kadi za Chadema tuwape za ccm mmependekeze mgombea urais kupitia chama cha Mapinduzi

Hata kama duniani kote haijawahitokea sio kila kitu lazima kianzie ulaya, kama CCM watatafakari kwa kina na busara basi hawatamsimamisha mgombea urais mwaka huu. Nani? Hakuna! Hakuna!
 
Mkweli ktk yepi weye?Ktk kila kitu,vitu fulani au nini?Ukweli ni Absolute...ila usemaji wa hiyo KWELI ni very relative...hata kwa msemaji wake tuu ,kunaweza mchanganya.NDIO KWELI IPO KTK NENO LA MUNGU TUU.
 
Back
Top Bottom