Makongoro: Nasubiri kipyenga cha mwamuzi tu

Makongoro: Nasubiri kipyenga cha mwamuzi tu

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2010
Posts
17,026
Reaction score
20,511
Wanajamvi,

Mtakumbuka huko nyuma niliwajuza hali ya siasa ndani ya CCM na matarajio ya CCM kutegemea familia ya mwasisi wa taifa hili kushinda uchaguzi hapo Oktoba.

Makongoro kupitia gazeti la Mtanzania anasema sasa anasubiri tu kipyenga cha mwamuzi, na kwamba familia ya mwasisi huyo wamemeza siri kubwa kuhakikisha mtoto huyu wa Julius Kambarage Nyerere anafuata nyao za akina Uhuru Kenyata, Aman Karume, Kabila, nk.

Siasa za ufalme sasa zajichomoza wazi ndani ya CCM hii ni baada ya ubunge wa akina Ridhiwani, Mgimwa, Vita Kawawa, Husein Mwinyi kuukwaa
.
 
Duh! unaambiwa miaka yote ya uchaguzi kipindi kama hiki ccm huwa tayari inamjua mgombea wake lakini safari hii kimyaaaa !
 
Hata nchi mnazopigia mfano wa democracy kama US siasa za ufalme zipo.. What's so special in Tz?! Kama anauwezo ajitose tu. Ni haki ya kila mtanzania kugombea nafasi hiyo
 
Wanajamvi, Mtakumbuka huko nyuma niliwajuza hali ya siasa ndani ya ccm na matarajio ya ccm kutegemea familia ya mwasisi wa taifa hili kushinda uchaguzi hapo octoba, Makongoro kupitia gazeti la mtanzania anasema sasa anasubiri tu kipyenga cha mwamuzi, na kwamba familia ya mwasisi huyo wamemeza siri kubwa kuhakikisha mtoto huyu wa Julius Kambarage Nyerere anafuata nyao za akina Uhuru Kenyata, Aman Karume, Kabila, nk. Siasa za ufalme sasa zajichomoza wazi ndani ya ccm hii ni baada ya ubunge wa akina Ridhiwani, Mgimwa, Vita Kawawa, Husein Mwinyi kuukwaa
Wala usihofu km wangemchukua madaraka Labda kidogo ila Makongoro..watakaa sana.Tutamkabidhi Lissu na yule Nyerere mwingine...
 
I care less as long as he knows what the highest office requires and expectations/needs za wananchi. A million dollar question is: Can he fit the bill? au na yeye ni kuja kumantain status quo???

Hichi Ni Kiibrania Au Kiyunan
 
Wanajamvi,

Mtakumbuka huko nyuma niliwajuza hali ya siasa ndani ya ccm na matarajio ya ccm kutegemea familia ya mwasisi wa taifa hili kushinda uchaguzi hapo octoba,

Makongoro kupitia gazeti la mtanzania anasema sasa anasubiri tu kipyenga cha mwamuzi, na kwamba familia ya mwasisi huyo wamemeza siri kubwa kuhakikisha mtoto huyu wa Julius Kambarage Nyerere anafuata nyao za akina Uhuru Kenyata, Aman Karume, Kabila, nk.

Siasa za ufalme sasa zajichomoza wazi ndani ya ccm hii ni baada ya ubunge wa akina Ridhiwani, Mgimwa, Vita Kawawa, Husein Mwinyi kuukwaa
Hivi wewe Yericko ni wa ukoo upi? Ule wa Matombo Morogoro au? Halafu ninyi Chadema kweli siasa zimewashinda, sasa kila anaetajwa ndani ya CCM mnamponda mbaya, tuambieni sasa ninyi mnamtaka nani ndani ya ccm au hilo jukumu mnamtaka tuwape mtutaftie mgombea urais ndani ya ccm? Basi rudisheni kadi za Chadema tuwape za ccm mmependekeze mgombea urais kupitia chama cha Mapinduzi
 
mmmmhh???????? safari ya ccm mwaka huu ni majanga matupu
 
Hivi wewe Yericko ni wa ukoo upi? Ule wa Matombo Morogoro au? Halafu ninyi Chadema kweli siasa zimewashinda, sasa kila anaetajwa ndani ya CCM mnamponda mbaya, tuambieni sasa ninyi mnamtaka nani ndani ya ccm au hilo jukumu mnamtaka tuwape mtutaftie mgombea urais ndani ya ccm? Basi rudisheni kadi za Chadema tuwape za ccm mmependekeze mgombea urais kupitia chama cha Mapinduzi
kama viongozi wako wakuu wa chama mpaka sasa hawamjui mgombea wao, ndio wataka yeriko akutajie? wakati wewe mwenyewe upo upo tu. poleni magamba bado miezi 5, hamjaanza kura za maoni na bado hamjui nani anabeba bendera ya chama.
 
makongoro atakuwa rais bora SAA nyingine kuliko hats baba take lkn je,chama chake kitamteua?ana element za mageuzi Huyu Lumumba hawawezi kumpitisha
 
Nimeona Mtanzania la jumapili ya Leo, mimi nilikuwa wa kwanza kumbishia Yerico miezi mitatu iliyopita, Leo nakupa Salute mkuu we ni Noumer
 
Kabla ya kuzama na kufa kila jani CCM itashika ikitegemea kwamba hilo jani litaiokoa.
 
Ni haki yake kama raia wacha ajitose tu ingawa kiuhalisia ana nafasi finyu sana kuteuliwa na chame chake.

Mara nyingi Makongoro huwa haangaliwi vema ndani ya CCM kwa kuwa huwa hachukuliwi kuwa ni kada kindakindaki maana pia ameshiriki sana siasa za upinzani. Wapo wenye uwezo mkubwa kuliko yeye ndani ya CCM kama Steven Wasira lakini bado kwa historia kama hiyo ya Makongoro wanagharamika kutoigusa pepo ya Magogoni kwa tiketi ya CCM.

Halafu siku hizi wafuasi wa Nyerere(nasaba anayojivunia nayo Makongoro) si wengi ndani ya CCM na hata baadhi yao waliopo si influential tena katika maamuzi. Wazee wa unyerere wamepukutika sana na hata leo tu tumempoteza comrade Brig. General(rtd) Hashim Mbitta. Mwenyezi Mungu na amrehemu.
 
Wanajamvi,

Mtakumbuka huko nyuma niliwajuza hali ya siasa ndani ya ccm na matarajio ya ccm kutegemea familia ya mwasisi wa taifa hili kushinda uchaguzi hapo octoba,

Makongoro kupitia gazeti la mtanzania anasema sasa anasubiri tu kipyenga cha mwamuzi, na kwamba familia ya mwasisi huyo wamemeza siri kubwa kuhakikisha mtoto huyu wa Julius Kambarage Nyerere anafuata nyao za akina Uhuru Kenyata, Aman Karume, Kabila, nk.

Siasa za ufalme sasa zajichomoza wazi ndani ya ccm hii ni baada ya ubunge wa akina Ridhiwani, Mgimwa, Vita Kawawa, Husein Mwinyi kuukwaa
Yericko....

Kila Mtanzania mwenye sifa ana haki/uhuru wa kugombea nafasi yoyote ile bila kujali anatoka familia/ukoo/kabila/kanda/mkoa gani......

Binafsi sioni tatizo hapo mradi tu wahusika wanashiriki michakato ya Kidemokrasia (uchaguzi ndani ya vyama na baadae uchaguzi mkuu)...Ingekuwa hao akina Ridhwan, Makongoro et al wanarithishwa madaraka pasipo michakato ya uchaguzi hapo kungekuwa na tatizo....

Hata nchi ambazo tunazoona zimekomaa kidemokrasia (role models wetu) nazo zina huu mtindo unaouita wa 'kifalme'...Mfano mzuri ni Marekani ....George H.W. Bush -> George W. Bush ma sasa John Ellis 'Jeb' Bush....

Pia Bill Clinton na sasa Hilary R. Clinton....


Mifano ni mingi tu...Hata India anzia kwa Jawaharlal Nehru ->Indira Gandhi->Rajiv Gandhi na inaonekana Rahul Gandhi ambaye kwa sasa ni Makamu wa Rais wa INC atakuja kuwa PM wa India miaka ijayo....Achilia Mbali mama yake Sonia Gandhi ambaye ni Rais wa INC....

Pia Argentina imeongozwa na mtu na mkewe....Nestor Kirchner (mume) na Cristina Fernandes De Kirchner ambaye ni Rais wa sasa.....

Vilevile Thaksin na Yingluck Shinawatra ambao ni mtu na mdogo wake wamewahi kuwa PMs wa Thailand kwa nyakati tofauti.....

So hata hao akina Makongoro, Ridhwan, Vita, Hussein Mwinyi wana haki ya kikatiba ya kugombea uongozi wa nchi na ndani ya vyama vyao....Na hili halipo ndani ya CCM pekee....Hata ndani ya vyama vingine vya siasa Tanzania utakuta baba, mama na mtoto au kaka na dada wanashika nafasi ndani ya vyama au za uwakilishi...Mfano Philemon Ndesamburo na Lucy Owenya (binti yake) na Grace Sindato Kihwelu (Mkwewe) ama Tundu Lissu na Christina Lissu n.k....Hapa hakuna ufalme wa aina yoyote, ni kwamba hawa watu wametumia haki yao ya Kikatiba kugombea uongozi ndani ya vyama vyao na baadae kuchaguliwa na watanzania(wa maeneo wanakotoka) na kuwa wawakilishi wao bungeni.....

Kinachotokea Tanzania ni tofauti na kilichotokea Togo, DR Congo na kwingineko ambako watoto wa marais wamerithishwa madaraka ya wazazi wao mara baada ya baba zao kufariki....

Tuiache Demokrasia ichukue nafasi yake.

Bala.
 
Ama kweli neno msaliti fits many people, I thought u were part of the Nyerere family, kumbe wewe ni FAKE product.
 
Mleta mada acha kuwa mnafiki tafadhali...hii nchi twataka kuijenga....mbona chadema lisu na dadake,ndesa na bintiye,mkwe wa mwasisi mwenyekiti na wengineo wengi...tunachoangalia ni kama Makongoro anafaa.
Mabwana wakubwa USA mtu na mkewe wanataka kutawala...tupilia mbali the Bushis.
Tumia akili yako,wewe ni zaidi ya hvyo...naumia sana kuona unakuwa hovyo.
Huyo jamaa tukimpa ridhaa, nchi itanyooka...
Maana hatakuwa na makundi ambayo yatataka fadhila au ushikaji kama awamu iliyopita
 
Yericko.... Kila Mtanzania mwenye sifa ana haki/uhuru wa kugombea nafasi yoyote ile bila kujali anatoka familia/ukoo/kabila/kanda/mkoa gani...... Binafsi sioni tatizo hapo mradi tu wahusika wanashiriki michakato ya Kidemokrasia (uchaguzi ndani ya vyama na baadae uchaguzi mkuu)...Ingekuwa hao akina Ridhwan, Makongoro et al wanarithishwa madaraka pasipo michakato ya uchaguzi hapo kungekuwa na tatizo.... Hata nchi ambazo tunazoona zimekomaa kidemokrasia (role models wetu) nazo zina huu mtindo unaouita wa 'kifalme'...Mfano mzuri ni Marekani ....George H.W. Bush -> George W. Bush ma sasa John Ellis 'Jeb' Bush.... Pia Bill Clinton na sasa Hilary R. Clinton.... Mifano ni mingi tu...Hata India anzia kwa Jawaharlal Nehru ->Indira Gandhi->Rajiv Gandhi na inaonekana Rahul Gandhi ambaye kwa sasa ni Makamu wa Rais wa INC atakuja kuwa PM wa India miaka ijayo....Achilia Mbali mama yake Sonia Gandhi ambaye ni Rais wa INC.... Pia Argentina imeongozwa na mtu na mkewe....Nestor Kirchner (mume) na Cristina Fernandes De Kirchner ambaye ni Rais wa sasa..... Vilevile Thaksin na Yingluck Shinawatra ambao ni mtu na mdogo wake wamewahi kuwa PMs wa Thailand kwa nyakati tofauti..... So hata hao akina Makongoro, Ridhwan, Vita, Hussein Mwinyi wana haki ya kikatiba ya kugombea uongozi wa nchi na ndani ya vyama vyao....Na hili halipo ndani ya CCM pekee....Hata ndani ya vyama vingine vya siasa Tanzania utakuta baba, mama na mtoto au kaka na dada wanashika nafasi ndani ya vyama au za uwakilishi...Mfano Philemon Ndesamburo na Lucy Owenya (binti yake) na Grace Sindato Kihwelu (Mkwewe) ama Tundu Lissu na Christina Lissu n.k....Hapa hakuna ufalme wa aina yoyote, ni kwamba hawa watu wametumia haki yao ya Kikatiba kugombea uongozi ndani ya vyama vyao na baadae kuchaguliwa na watanzania(wa maeneo wanakotoka) na kuwa wawakilishi wao bungeni..... Kinachotokea Tanzania ni tofauti na kilichotokea Togo, DR Congo na kwingineko ambako watoto wa marais wamerithishwa madaraka ya wazazi wao mara baada ya baba zao kufariki.... Tuiache Demokrasia ichukue nafasi yake. Bala.
Shida ni jinsi CCM ilivyoona kuwa inaweza wa abuse km ilivyo abuse wanawake na kumweka makinda.Muda wote CCM ilikuwa akilumbana na kuikebehi hii familia vibaya.Kwa nini hawakufikiri kuhusu madaraka?
 
Back
Top Bottom