Makongamano, warsha, semina nk vimeongezeka kwa kasi awamu ya Rais Samia, vinaligharimu Taifa

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,445
7,816
Televisheni ya Taifa imekata matangazo ya Bunge la Bajeti na sasa wanarusha kongamano la viongozi wa dini kumuombea na kumpongeza Rais Samia kwa uongozi bora linalofanyika ukumbi wa mikutano wa Tughimbe mkoani Mbeya. Wapo viongozi wa dini, Serikali na waimbaji kutoka kona mbalimbali za nchi hiii. Pia TBC imepeleka timu yake kulirusha tukio husika live kutoka Mbeya.

Siku za karibuni hizi vitu zimeongezeka sana na haya ni yale machache yanayoonekana, makongamano haya achilia mbali posho tena na vile zitapanda, yatazidi kuongezeka.

Pia gharama za kukodi kumbi, kuziandaa, kutengeneza mabango, machapisho na gharama za kuyaleta magari ya viongozi wa Kiserikali kutoka mikoani huwa gharama hasa ukijumuisha na wahusika kujiwekea asilimia zao kwenye bei.

Serikali ikumbuke kuweka fedha nyingi zaidi kwenye bajeti ya maendeleo kuliko matumizi ya kila siku.

Viongozi wenyewe wa dini hawajaja na akili huru, wote wamekuja kuimba mapambio ya watawala.
 
Nyie si kila siku mnaponda watumishi wa Umma wana mishahara midogo sasa hamuoni nawao wanahitaji kusomesha watoto shule nzuri kama nyie. Acheni Njuweni na Bagamoyo pachangamke. mwamekumbukwa na wao this time baada ya msoto wa miaka 7
 
Matumizi ya serikali pia yanachochea mzunguko wa pesa na shughuli za kiuchumi, ukipeleka pesa nyingi kwenye miradi michache ya maendeleo kama alivyofanya magu unakuwa umezuia mzunguko wa pesa kwa mapana yake. Hili alilofanya mama la kuongeza maslahi ya watumishi kunaenda kuchochea mzunguko wa pesa na shughuli za kiuchumi nchi nzima. Vilevile serikali ijikite sana kuwasaidia wakulima, wafugaji na wavuvi hata kwa kuweka ruzuku tu kwenye pembejeo, madawa na zana mbalimbali wanazotumia ili waweze kuongeza uzalishaji wao na hivyo kujiongezea vipato na kusaidia kukuza shughuli za kiuchumi.​
 

Viongozi wa dini wanakwenda kukuombea Samia,ila hawajiulizi huwa anaswali wapi na lini au msikiti upi​

 
Vinalighalimuje Taifa?

Wale ambao hawakufanya makongamano walifanya kipi cha maana ikiwa hata ajira ziliwashinda,km 200 tuu za reli walifeli?
 
Televisheni ya Taifa imekata matangazo ya Bunge la Bajeti na sasa wanarusha kongamano la viongozi wa dini kumuombea na kumpongeza Rais Samia kwa uongozi bora linalofanyika ukumbi wa mikutano wa Tughimbe mkoani Mbeya. Wapo viongozi wa dini, Serikali na waimbaji kutoka kona mbalimbali za nchi hiii. Pia TBC imepeleka timu yake kulirusha tukio husika live kutoka Mbeya.

Siku za karibuni hizi vitu zimeongezeka sana na haya ni yale machache yanayoonekana, makongamano haya achilia mbali posho tena na vile zitapanda, yatazidi kuongezeka.

Pia gharama za kukodi kumbi, kuziandaa, kutengeneza mabango, machapisho na gharama za kuyaleta magari ya viongozi wa Kiserikali kutoka mikoani huwa gharama hasa ukijumuisha na wahusika kujiwekea asilimia zao kwenye bei.

Serikali ikumbuke kuweka fedha nyingi zaidi kwenye bajeti ya maendeleo kuliko matumizi ya kila siku.

Viongozi wenyewe wa dini hawajaja na akili huru, wote wamekuja kuimba mapambio ya watawala.
Usiwe mpumbavu
Hayo yote yanayofanyika pesa zake zipo kwenye bajeti ya wizara husika.
Semina na vyote ulivyotaja ni sehemu ya kazi pia
 
Televisheni ya Taifa imekata matangazo ya Bunge la Bajeti na sasa wanarusha kongamano la viongozi wa dini kumuombea na kumpongeza Rais Samia kwa uongozi bora linalofanyika ukumbi wa mikutano wa Tughimbe mkoani Mbeya. Wapo viongozi wa dini, Serikali na waimbaji kutoka kona mbalimbali za nchi hiii. Pia TBC imepeleka timu yake kulirusha tukio husika live kutoka Mbeya.

Siku za karibuni hizi vitu zimeongezeka sana na haya ni yale machache yanayoonekana, makongamano haya achilia mbali posho tena na vile zitapanda, yatazidi kuongezeka.

Pia gharama za kukodi kumbi, kuziandaa, kutengeneza mabango, machapisho na gharama za kuyaleta magari ya viongozi wa Kiserikali kutoka mikoani huwa gharama hasa ukijumuisha na wahusika kujiwekea asilimia zao kwenye bei.

Serikali ikumbuke kuweka fedha nyingi zaidi kwenye bajeti ya maendeleo kuliko matumizi ya kila siku.

Viongozi wenyewe wa dini hawajaja na akili huru, wote wamekuja kuimba mapambio ya watawala.
Chombo cha Ki- propaganda
 
Mojawapo ya faida za makongamano ni hizi hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220531-134244.png
    Screenshot_20220531-134244.png
    91.1 KB · Views: 6
Kwani dikteta alikua anasema pia aombewe na kuwakusanya watumishi njaa na mashekhe ubwabwa
images (70).jpeg
huu ujinga wa kusema waombee viongozi ulianza awamu ya 5 hata Mr Zero alienda kuombewa baada ya skendo ya vyeti bandia
images (95).jpeg
 
Back
Top Bottom