Makonda: Siko tayari kumkatisha tamaa Rais Samia Suluhu kwa kunipa cheo cha RC

Possibly! Hawa ndio wale wanaomuona mfalme Zumarid kama Mungu wao. So, akiona sketi yoyote inakatiza mbele yake, anakuwa amemuona Mungu. Nchi hii ina mambo ya kijinga sana.
Kuna watu wanapenda madaraka bila kujali wataonekana vipi mbele ya jamii hivyo wapo tayari kufanya lolote hata kama jambo hilo litawaondolea utu wao!
Nina wasiwasi wapo watu ambao wapo tayari kufanyiwa hata vitendo visivyofaa ili mradi tu mtu ahakikishiwe kupewa madaraka fulani.
 
Hapana hapa unemchomekea bwana. Hapo alipofika kwa Mungu wangu kuna koma/pumziko ndio akamtaja Mh. Rais Dkt Samia

Asieh ningesema hili nalo ni ajabu jingine ingawa kama yeye akikiri kuwa huyo ni Mungu wake sisi wengine tutafanyaje sasa???
Ukimsikiliza vizuri, hilo pozi halimaanishi kitu kipya bali linamhusu Dakatari Samia Hassan ambaye yeye anamuona ni Mungu wake kisa tu amempa ulaji kama RC. Siku akimpa ubalozi au cheo kingine kikubwa, atamlamba miguu.
 
Ndio maana wanaume wanaotumikia uchawa wamejiingiza kwenye vitendo vya kishoga ilmradi wanapata pesa za kutosha bila kujali wanadhalilika kiasi gani. The same case applies to Bashite.
 
Msikilize vizuri mwanzo hadi mwisho ameunganisha maneno wewe mbuzi kama hujui kKiswahili rudi shuleni ukasome.
unatamani watu waelewe na kuamini upotoshaji wa maandishi yako, waache kuzingatia sauti na video ya muhusika amabyo umeiweka mwenyewe. hiyo haiwezekani hata uite watu majina gani
 
Wapi alitamka hayo maneno? Hayo maneno ameunganisha na yote yanamhusu Dr Suluhu Hassan. Acha kujitoa ufahamu na kupotosha watu. Kama hujui Kiswahili nenda shuleni ukasome.
Inaonyesha wewe kichwa haki ni kigumu sana kuelewa na una matatizo ya kusikia.hapo katika kuongea kwake kuna alama ya koma kabla ya kwenda sentesi ya pili kuwa hayupo tayari kumkatisha tamaa Mheshimiwa daktari Samia Suluhu Hasssan .nimegundua kuwa baadhi ya watanzania ukiwepo wewe mna umbumbumbu mkubwa sana tena sana. Kama kwenye video hiyo tu umeshindwa kuelewa vipi kwa mashaka makubwa yanayohitaji akili?

Wewe ni kipofu wa akili na macho.
 
unatamani watu waelewe na kuamini upotoshaji wa maandishi yako, waache kuzingatia sauti na video ya muhusika amabyo umeiweka mwenyewe. hiyo haiwezekani hata uite watu majina gani
Hilo ni nyumbu la CHADEMA.na nyumbu za CHADEMA hazinaga akili hata ya kuelewa. Ni vipofu wa akili na macho. Video ipo wazi tena kaweka mwenyewe ikiwa wazi kabisa namna Mwamba Mwenyewe Mheshimiwa Makonda akizungumza, halafu yeye kwa unyumbu wake anataka kuleta upotoshaji hapa. Kweli nyumbu ni nyumbu tu.
 
Sikiliza kwa makini usikurupuke. Mungu aliyekuwa amemlenga ni Daktari Samia Suluhu Hassan. Hebu msikilize vizuri. Hapo alikuwa anaweka msisitizo ndio maana akaongezea hayo maneno. Nenda shule ukasome upya mkuu.
Mimi nimeisikiliza na wala siyo nyumbu kama ulivyo wewe. Kweli nimeamini CHADEMA hamna akili kabisa.kama hata kwenye hiyo video umeshindwa kuielewa vipi kwa masula yanayohitaji akili . Ndio maana mna kuwaga mnaropoka vitu majukwaani kwa kuwa hata mnachozungumza huwa hamkielewi hata ninyi wenyewe.
 
Rais samia ni Mungu wa makonda
 
Kumchukia mtu kusikufanye umsingizie hata mambo ambayo hajayazungumza.
Hiyo video umeiskiliza? Unafahamu Kiswahili? Kama hujaisikiliza au kuielewa, kaa chink utulize tako uache kupotosha.
 
Wewe msukule kweli. Sasa suala la wewe kushindwa kutafsiri hotuba ya kiongozi wako CHADEMA inaingiaje? Au CHADEMA ndiyo iliyokuroga na kukutoa ufahamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…