Makonda: Nauli za mabasi yaendayo haraka zitaanza kutozwa Mei 16

Yeye inamuhusu nini? Hiyo gharama ya ziada ya kuendesha majaribio ya bure ataifidia nani maana DART walisha calculate kibiashara siku hizo mbili.
Ina pengine ndio maana Leo kunekuwa na Shida kwani wamepunguza mabasi ili gharana ije kuwa sawa na ile waliyopiga awali jambo ambalo limeleta usumbufu.
Huyu kijana kihede chake kama hajidhibitiwi ataleta Shida Dar au watu watachoka kuheshimu hiyo title na kumpa makavu live
Wewe una hisa DART? Unadhani kaenda hapokujiropokea tu kama ulivyofanya hapa JF?!?!?!
 
kuchanganya siasa ktk mambo ya msingi ya maendeleo ni shida,.huku ni kuingiliana ktk majukumu ya kazi,..yeye himuhusu kitu,.hizi sifa hizi tutakuja kuona mwisho wake,...
Yaani inashangaza sana kucomment kuwa hahusiki!! Wahta!!! jamani nadhani mnasahau wadhifa wake hivyo hahusiki vipi. Watu hawajaelewa mambo bado hayajakaa sawa. Jamani hivi hata kujua tu kuwa usalama nk wa wakazi wooooote wa Dar-es-salaama unamuhusu . sasa hili nail linahitaji PhD. Hebu achene kufikiri kwa jazba zisizo na tija! Go Makonda Go!
 
Back
Top Bottom