Makonda: Nauli za mabasi yaendayo haraka zitaanza kutozwa Mei 16

Kicheko kwa vile hutalipa nauli? Wakati utakaa Massa mengi kusubiri hiyo bure kwani zaidi ya 50% ya mabasi yataondolewa kufidia gharama ya ziada!
Labda uwe ni wale ambao kwa vile ni bure unapanda kimara to Kivukoni for the sake ya kutembea tuu.

Toka asubuhi napiga tripu tu kimara- kivukoni, kivukoni- Morocco, Morocco - k/ koo, k/ koo - kimara tena naanza upya Kimara - kivukoni
Acha nile matunda ya kodi yangu mie
We susa tu kama wewe ndio unatulipia
 
Mkuu mbona unaonekana ni mtu mwenye jazba...na chuki kali kwa ndugu Makonda.....mambo hayapo hivyo mkuu....si vyema kumchukia binadamu mwenzako kwa kiwango hicho hata kama kuna mambo mnadhindwa kuelewana....tujiunze kuvumiliana....hata kama tunatofautiana itikadi na maoni.....wanadamu hatuwezi kuwa na mawazo na fikra zinazofanana.....
jazba iko wapi hapo,jamaa kauliza maswali ya msingi kabisa wanaishia kumtukana tuu...jibu wewe sasa nani atafidia hizo gharama au uanfikiri yanaendeshwa kwa hewa na wafanyakazi hawalipwi? Makonda ni zero kama idea zake za walimu kupanda basi bure
 
Cha muhimu mm choka mbaya nimesave buku 7 yangu ya nauli kwa wiki hii hayo mengine hayanihusu
Utalazimika tu yakuhusu kwani usafiri mwingine utakapoondolewa na kubaki na DART, ndipo utakapojua kuwa kumbe walikuwa hawakupakii bure, bali walikuwa wanakufundisha routes na namna ya kulipia usafiri
 
jazba iko wapi hapo,jamaa kauliza maswali ya msingi kabisa wanaishia kumtukana tuu...jibu wewe sasa nani atafidia hizo gharama au uanfikiri yanaendeshwa kwa hewa na wafanyakazi hawalipwi? Makonda ni zero kama idea zake za walimu kupanda basi bure

Bwana Koba
Inawezekana na naamini kabisa ndugu Chakaza ana hoja ya msingi na nzito katika andiko lake na ni mambo ya msingi ya kujiuliza kwa kila mwenye akili timamu na majibu yote hayo anayo huyo bwana mdogo aliyetangaza huo muendelezo wa bure....lakini hoja yake imezimwa na hilo neno "kihere here " alilolitumia hapo....na hapo kwa maoni ni kuwa kauli hiyo imejaa chuki na jazba.....

Si kwa ubaya....
 
Yeye inamuhusu nini? Hiyo gharama ya ziada ya kuendesha majaribio ya bure ataifidia nani maana DART walisha calculate kibiashara siku hizo mbili.
Ina pengine ndio maana Leo kunekuwa na Shida kwani wamepunguza mabasi ili gharana ije kuwa sawa na ile waliyopiga awali jambo ambalo limeleta usumbufu.
Huyu kijana kihede chake kama hajidhibitiwi ataleta Shida Dar au watu watachoka kuheshimu hiyo title na kumpa makavu live
Nakuona baby....
 
Ukilaza uko kwenye nini wewe mpenda bure? Hiyo ni kampuni ya biashara, inaposema imetoa siku mbili za majaribio ya bure wamesha calculate hiyo hasara Makonda ni nani kuja kuwaongezea muda? Ina sasa wamepunguza mabasi na kusababisha usumbufu kwa watu.
Au akili yako na yake ziko sawa kiasi huwezi kuona tofauti?
Baby
 
Makonda katoa wapi hayo mamlaka ya nauli za DART? Ningemuelewa kama angekuwa anatoa taarifa kwa niaba ya uongozi wa DART lakini kujifanya yeye ndiye mamlaka na nauli ni dharau kwa watu wa Dar es Saalam.
Nyie mababy mnamchukia sana makonda ila ndo mkuu wenu wa mkoa huyo
 
jazba iko wapi hapo,jamaa kauliza maswali ya msingi kabisa wanaishia kumtukana tuu...jibu wewe sasa nani atafidia hizo gharama au uanfikiri yanaendeshwa kwa hewa na wafanyakazi hawalipwi? Makonda ni zero kama idea zake za walimu kupanda basi bure
Baby mwingine huyu.... Nakuona sana
 
Mnaweza kushangaa kesho asbh hakuna basi hata moja njiani na daladala zetu Ndio zishaondolewa, maana hawajitambui

Aiseee! siku hizi taratibu za kupanga nauli zimeamia ofisi ya mkuu wa mkoa!
 
Watalaamu au menejimenti ya DART wangeweza tu kutwambia bado hawajaweka mambo sawa.Kumpatia mwanasiasa fursa ya kulisemea inaonekana as if yeye ndo kaamua,mambo ya kupenda sifa hata pasipoatahili
 
kuchanganya siasa ktk mambo ya msingi ya maendeleo ni shida,.huku ni kuingiliana ktk majukumu ya kazi,..yeye himuhusu kitu,.hizi sifa hizi tutakuja kuona mwisho wake,...
 
Hao Abiria wa Majaribio nasikia hawashuki ndani ya mabasi tokea Asubuhi hadi usiku... vipi wauza karanga na Omba omba wanaruhusiwa ndani ya mabasi ya mwendo wa Churaaaaa...
 
Back
Top Bottom