Makonda: Nauli za mabasi yaendayo haraka zitaanza kutozwa Mei 16

kirerenya

JF-Expert Member
Aug 27, 2013
1,696
2,251
20160511025340%2Bcopy.jpg


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari wakati alipotembelea kituo cha Mabasi yaendayo haraka cha Kamata Kariakoo leo, amesema kuwa kuanzia jumatatu Mei 16, 2016 ndio nauli za mabasi ya mwendo wa haraka zitaanza kutozwa.

Pia awaasa watumiaji wa barabara hasa watembea kwa miguu, baiskeli na maguta wasitumie barabara hizo ili kuepusha usumbufu kwa madereva wa mabasi ya mwendo wa haraka. Amesema ameamua kuongeza muda wa kuanza kutoza nauli hizo kwa watumiaji wa mabasi hayo kwa ajili ya kuelimisha wananchi namna ya kukata tiketi na jinsi ya kuzitumia wakati wanapoingia kwenye kituo kwa ajili ya kusubiri magari.



Chanzo: Michuzi

 
Yeye inamuhusu nini? Hiyo gharama ya ziada ya kuendesha majaribio ya bure ataifidia nani maana DART walisha calculate kibiashara siku hizo mbili.
Ina pengine ndio maana Leo kunekuwa na Shida kwani wamepunguza mabasi ili gharana ije kuwa sawa na ile waliyopiga awali jambo ambalo limeleta usumbufu.
Huyu kijana kihede chake kama hajidhibitiwi ataleta Shida Dar au watu watachoka kuheshimu hiyo title na kumpa makavu live
 
wala hiyo sio sababu,kuna jamaa mfanyakazi wa DART amesema bado mambo ayajakaa vizuri kati ya Jiji na UDA
 
Safi sana mkuu wa mkoa, mimi ukifanya jambo jema la kuwasaidia wanyonge nitaendelea kukuunga mkono pamoja na kwamba upo ccm
mbona gamba mwenzako tuu?
btw big up bro makonda sisi tunajali kupanda tu,suala la gharama kwa wamiliki halituhusu
 
Yeye inamuhusu nini? Hiyo gharama ya ziada ya kuendesha majaribio ya bure ataifidia nani maana DART walisha calculate kibiashara siku hizo mbili.
Ina pengine ndio maana Leo kunekuwa na Shida kwani wamepunguza mabasi ili gharana ije kuwa sawa na ile waliyopiga awali jambo ambalo limeleta usumbufu.
Huyu kijana kihede chake kama hajidhibitiwi ataleta Shida Dar au watu watachoka kuheshimu hiyo title na kumpa makavu live
Wacha ukilaza wako wewe
Sio kila jambo uonekane umechangia
 
Bei
Yeye inamuhusu nini? Hiyo gharama ya ziada ya kuendesha majaribio ya bure ataifidia nani maana DART walisha calculate kibiashara siku hizo mbili.
Ina pengine ndio maana Leo kunekuwa na Shida kwani wamepunguza mabasi ili gharana ije kuwa sawa na ile waliyopiga awali jambo ambalo limeleta usumbufu.
Huyu kijana kihede chake kama hajidhibitiwi ataleta Shida Dar au watu watachoka kuheshimu hiyo title na kumpa makavu live
Beibi
 
Wacha ukilaza wako wewe
Sio kila jambo uonekane umechangia
Ukilaza uko kwenye nini wewe mpenda bure? Hiyo ni kampuni ya biashara, inaposema imetoa siku mbili za majaribio ya bure wamesha calculate hiyo hasara Makonda ni nani kuja kuwaongezea muda? Ina sasa wamepunguza mabasi na kusababisha usumbufu kwa watu.
Au akili yako na yake ziko sawa kiasi huwezi kuona tofauti?
 
Yeye inamuhusu nini? Hiyo gharama ya ziada ya kuendesha majaribio ya bure ataifidia nani maana DART walisha calculate kibiashara siku hizo mbili.
Ina pengine ndio maana Leo kunekuwa na Shida kwani wamepunguza mabasi ili gharana ije kuwa sawa na ile waliyopiga awali jambo ambalo limeleta usumbufu.
Huyu kijana kihede chake kama hajidhibitiwi ataleta Shida Dar au watu watachoka kuheshimu hiyo title na kumpa makavu live

Ukilaza uko kwenye nini wewe mpenda bure? Hiyo ni kampuni ya biashara, inaposema imetoa siku mbili za majaribio ya bure wamesha calculate hiyo hasara Makonda ni nani kuja kuwaongezea muda? Ina sasa wamepunguza mabasi na kusababisha usumbufu kwa watu.
Au akili yako na yake ziko sawa kiasi huwezi kuona tofauti?

Mkuu mbona unaonekana ni mtu mwenye jazba...na chuki kali kwa ndugu Makonda.....mambo hayapo hivyo mkuu....si vyema kumchukia binadamu mwenzako kwa kiwango hicho hata kama kuna mambo mnadhindwa kuelewana....tujiunze kuvumiliana....hata kama tunatofautiana itikadi na maoni.....wanadamu hatuwezi kuwa na mawazo na fikra zinazofanana.....
 
Makonda katoa wapi hayo mamlaka ya nauli za DART? Ningemuelewa kama angekuwa anatoa taarifa kwa niaba ya uongozi wa DART lakini kujifanya yeye ndiye mamlaka na nauli ni dharau kwa watu wa Dar es Saalam.
 
Yeye inamuhusu nini? Hiyo gharama ya ziada ya kuendesha majaribio ya bure ataifidia nani maana DART walisha calculate kibiashara siku hizo mbili.
Ina pengine ndio maana Leo kunekuwa na Shida kwani wamepunguza mabasi ili gharana ije kuwa sawa na ile waliyopiga awali jambo ambalo limeleta usumbufu.
Huyu kijana kihede chake kama hajidhibitiwi ataleta Shida Dar au watu watachoka kuheshimu hiyo title na kumpa makavu live

ila shaka unaishi Morogoro
Sisi wa Kimara ni kicheko tu wiki nzima
 
Mkuu mbona unaonekana ni mtu mwenye jazba...na chuki kali kwa ndugu Makonda.....mambo hayapo hivyo mkuu....si vyema kumchukia binadamu mwenzako kwa kiwango hicho hata kama kuna mambo mnadhindwa kuelewana....tujiunze kuvumiliana....hata kama tunatofautiana itikadi na maoni.....wanadamu hatuwezi kuwa na mawazo na fikra zinazofanana.....
Simchukii Makonda nachukia usanii unaofanyika nje ya majumba ya Sana'a kwa gharama ya maisha ya wengine tuu. Usinielewe vibaya.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom