hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,118
wewe umeshajipiga vya wapi "" tuanzie hapo kwanza mkuu""Ha ha haaaaaaaaa
Jipige na vibao vya usoni ulie
wewe umeshajipiga vya wapi "" tuanzie hapo kwanza mkuu""Ha ha haaaaaaaaa
Jipige na vibao vya usoni ulie
Piga kazi Vice President wetu. Mwaka 2020 huyu atagombea ubunge kwa Kitwanga pale. Na atashinda. Halafu atakuwa PM.
Mtaikumbuka hii post kama tunavyoikumbuka ile ya Pascal Mayalla kuhusu mgombea urais CCM 2015.
Ikiwa Mtumishi anakwamisha au anazungushaNa support Kauli yake.
Ipo sahihi kabisa.. usiitafsiri moja kwa moja.. hapo anachomaanisha ni kuwalenga watumishi ambao hawatimizi majukumu yao.
Kama hujawahi kukutana na hawa watumishi hasa hasa kwenye halmashauri zao basi usiombe ukutane na hawa Miungu watu kwenye hizi halmashauri. Ukiwa na shida.. utakoma kuringa
Arrogance imeshamuingia ........ Ana bahati Watanzania ni kama Mbwa koko wa katuni ya Kipanya.Watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dsm wanapitia kipindi kigumu sana.
Bashite hajui May Mosi ni siku ya kuzungumzia Masuala ya Wafanyakazi sio Wateja wa Wafanyakazi
yaani itakuwa bonge la collaboha ha
Makonda akiwa waziri mkuu, JPM raisi....itakuwa raha sana kuishi
kazi tu
AlisemajeNimekumbuka maneno ya Jen. Ulimwengu
Luna magonjwa mengi mkuuHivi umeona nembo kwamba wale ni TBC??
amishiwe moshi akafanye nn?hivi hajahamishiwa MOSHI?
Take my words the innocent dies very easily but the evil lives again and again....inauma bana! mtu anamka tandale kwa tumbo saa 11 anakabwa anachaniwa nguo, bado anakomaa anafka job kumsaidia mtanzania mwenzake wa hal ya chn! akiomba nyongeza walau atoke akapange hata kinondon imekuwa shda! huyu chocochannel dawa yake mungu anaichemsha! akiipua ataisoma namba
Mali alizojikusanyia toka kwa waarabu muda mfupi akiwa madarakani unamuita mzalendo?Nyerere angeshamtimua huyu kwa kupokea vijizawadiMakonda mzalendo sana,naisi kuna siku atapunguza mshahara wake awe sawa na walimu,na manesi na aachane na kutembelea magar mazur ili awe sawa na wananchi anaowaongoza ili wasje sema hajui anachokiongea ,,,makonda ni mzalendo sana na ni mchapa kazi kwel kwel !!