Huwa sheria siyo lazma kuifuata Mara nyingi kama kiongoz ana maneno ya busara yanaweza tumika badala ya sheria ,,maana kuwachapa vboko watu wanao dai kuongezwa mshahara ni utovu wa nidhamu na kukosa adabu kwa viongoz wako ,ni bora usubir wakuongeze wao ww ukiwa kmya nazan ni busara sana kukaa kmya mpka mwajir na viongoz wako watakapoona inafaa ww kuongezwa hako kamshahara.Kwani mikataba ya hao wafanyakazi inasemaje juu ya nyongeza ya mshahara? Je, wa kwake unasemaje?