Makonda is almost so damn right!

Makonda is almost so damn right!

Status
Not open for further replies.
Kama huwezi kumuwajibisha mtu aliyeshindwa uongozi kwa vile tu anakutafutia waganga basi utawajibika wewe .

Anamtafutia waganga kwani umesikia kuwa anaumwa?? Anamtafutia dawa ya kuwafanya nyiye mzidi kujingika. Ndo maana mnabaki; Apite huyo huyoooo. Miaka nenda miaka rudi. Wadhani mtu ka huyo ni wakutupa nje ati kisa kaboronga?? Anafanya ka maagizo ya gaguul. Tibua tuone ka kutatibulika. Kusipo tibulika basi dawa inafanya kazi.
 
Hivi tunawezaje kuviacha vichwa vyenye akili kama Membe, Lissu, Zitto, January na wengineo na kumruhusu Bashite kuwa mtukufu?
Acha mtukufu, huyu jamaa hafai hata kuwa house boy wangu! Aliyepo sasa hivi siwezi mruhusu avae hivi nyumbani sembuse huyu anayevaa kwenye msiba tena wa kitaifa?
Aliyemteua anafaa naye kuchunguzwa pia!
IMG-20190510-WA0018.jpeg
 
..it was a bad day kwa Makonda.

..uvaaji wake ulionyesha ukosefu wa adabu.

..jinsi alivyokwenda pale madhabahuni na kuanza kubishana na Askofu ni utovu mkubwa wa nidhamu.

..ni mtu wa ajabu anayeweza kuanzisha mabishano na kutunisha misuli ktk madhabahu ya kanisa.
 
Mwnaharakati ‘huru ‘ Musiba kawachota Wazito wa kufanya tafakuri Mujarab wanadhan hapo anamponda Makonda

Anachojaribu ni kuonesha kuwa yeye Hana upande yuko neutral ndio sababu hata ‘Makonda aliwahi kumkosoa dhidi ya freeman Mbowe’

Hakuna la zaid analofanya

Wadanganyane huko huko Lumumba. Sisi tushamshtukia huu mchezo wake. Hapo anajiona ametumia akiliiii .
 
Leo Mch. Gwajima kashafanya Maombi pale kanisani, tutegemeee Mambo mengi. Kama kipindi kile kwenda kuombeana
 
Huyu kijana mwenzetu kabebewa mbeleko la aina yake. Makosa anayoyafanya hadharani bila kukemewa, kuonywa na kuadabishwa Kama wanavyofanyiwa viongozi wengine kwake ni ndoto kwenye awamu hii hii inayosifiwa kwa kutenda haki. Makonda amefanya mengi ya kuudhi na kuvunja sheria.

Ni Makonda aliyevamia clouds, ni Makonda aliyetukana bunge, ni Makonda aliyetuhumu watu hadharani kwa dawa za kulevya na kuharibia watu haiba zao, ni Makonda anayebaguwa wachaga.

Hata hivyo ni muda mrefu watu wamesema hakuna hatua yoyote anayochukuliwa zaidi ya kupongezwa na kukingiwa kifua. Makonda huyu habadiliki na anarudia makosa Yale Yale.

Sasa anasemwa hadharani na katibu mkuu wake wa chama, na makanisani. Anasemwa na Kila kundi la jamii. Si wapinzani, si chama tawala, si maaskofu, si wanahabari, si wanajamii peke yao lkn anasemwa na Kila kundi.

Hilo taulo la kumbeba Makonda limechoka, limetoboka. Sasa ni wakati kumbadilishia mbeleko. Wakati ni Sasa kabla hajaendelea kulitia hasara taifa.


Huyu dogo ni janga la taifa na ipo siku atakujafanya jambo la kustahajabisha zaidi ya haya matukio anayofanya sasa huku akichekewa.
 
Habari wana jamii wenzangu
Leo siandiki sana nauliza tu

Suala la makontena ya ndugu bashite limeishia wapi?Maana haiwezekani mtu akwepe kodi ya zaidi ya bilioni moja

Liliishia wapi???kama lilifukiwa tuliamshe tena upya
 
Habari wana jamii wenzangu
Leo siandiki sana nauliza tu

Suala la makontena ya ndugu bashite limeishia wapi?Maana haiwezekani mtu akwepe kodi ya zaidi ya bilioni moja

Liliishia wapi???kama lilifukiwa tuliamshe tena upya
Mchezo wa Baba na Mwana. Hutapata majibu sahihi Mkuu.
 
Bongo balaa mara alitokea Dr.shika, mara babu sea katoka gerezani ilimradi tu Zengwe la makontena kuzimwa
 
Unauliza mduku was mbwa huku umeunyanyua mkia unadhani utapata jibu gani hapo? Sema tuliamshe tu uone utakapoishia mdudeee nyangalii
 
eti walikua wanashindana na walikotokea...wamebaki kimya wote
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom