Sifi Leo
Platinum Member
- Mar 30, 2012
- 5,940
- 10,820
Watu wa kanda ya ziwa mnisamehe hapa nawatoa WAHAYA kwa maana ukiongelea kanda ya ziwa Wahaya enzi hizo nao kiasili waliishi kama wachaga na walikuwa na maendeleo makubwa kupitia ushirika kama uliokuwepo enzi hizo Kilikanjaro.
Je, wanajamvi mmesoma I Can I Will I Must?Ukisoma kitabu hiki utagundua kuwa Nyerere alijenga chuki na Kilimanjaro na kagera kwa sababu matajiri.
Wakubwa walikuwa huko enzi hizo,watu hawa walijua thamani ya hela hata kbla ya uhuru, ndio maana nyerere chini ya kauli yake alipinga hawa jamaa kuwa watawala wa nchi hii.
Kimsingi hiyo kauli najua itakuja kufutwa kwani haina nguvu hata kidgo.
Je, kauli ya Makonda ni mzimu wa Nyerere dhidi ya ubaguzi wake dhidi ya wachaga?
Je, wanajamvi mmesoma I Can I Will I Must?Ukisoma kitabu hiki utagundua kuwa Nyerere alijenga chuki na Kilimanjaro na kagera kwa sababu matajiri.
Wakubwa walikuwa huko enzi hizo,watu hawa walijua thamani ya hela hata kbla ya uhuru, ndio maana nyerere chini ya kauli yake alipinga hawa jamaa kuwa watawala wa nchi hii.
Kimsingi hiyo kauli najua itakuja kufutwa kwani haina nguvu hata kidgo.
Je, kauli ya Makonda ni mzimu wa Nyerere dhidi ya ubaguzi wake dhidi ya wachaga?