Makonda is almost so damn right!

Status
Not open for further replies.
Amekuomba umwelezee hisia zake mkuu? Tangu lini kawa mtani wa wachagga? Ulimsikia pale madhabahuni alivyojilazimisha kuomba samahani ya kejeli?Hakuumaanisha na ndio maana alisema watu wamemtafakari vibaya. Hajaliona kosa, na ndiyo maana alionyesha kiburi mbele ya Askofu, Waziri mkuu na kadamnasi yote. Kujitambua kwa huyu chalii, it will take karne. Again, sham on him.
 
Tujitahidi sana kuhusu malezi ya watoto wetu. Hilo tatizo lake
 
Oleombha Kinehe Mayalla
Wèka na ile link ya Makonda ni mpakwa mafuta
 
Mnavyomkosoa mchukia kila siku ndivyo jinsi anavyozidi kuongeza bidiii..Marehemu ruge alisemaga Ukitaka kumpoteza mtu basi Usimuongeleeee wala kumpa Attention yako.

Unavyozidi muongelea mtu ni kama Unamfundisha,na kumfundisha/kumpa Elimu mtu unaemchukia ukitegemea siku moja atakua MJING huo ndio ujinga wenyewe.

Makonda (kama asemavyo pierre mzee wa liquid)
 
Mkolomije na Mchaga utani wapi na wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…