Makonda apiga simu Clouds Tv 360 kukemea ushoga

Makonda apiga simu Clouds Tv 360 kukemea ushoga

Tushasema mara kadhaa kuhusu wanaoangalia hio chanel, mnachokilalamikia ni nini hio tv inawahusu watu wenye hizo fani

Hao Clouds TV wakiachwa wawewanafanya mambo ya kumomonyoa maadili wataharibu nchi. Lazima wafuatiliwe, hatuwezi kufuga upuuzi wa namna hii unaachwa urushwe hewani. Lengo lao lilikuwa ni nini? Je! Ni kuhamasisha ushoga?
 
1467236531187.jpg
 
Kile hakikuwa kipindi cha kujenga na kuelimisha bali kilitumika kumtangaza yule filauni,kipindi kingekuwa na maudhui mazuri endapo yule bwana angekuwa ameamua kuachana na hayo mambo sasa anawapa darasa wengine waache,na siyo kuelezea sijui anataka afanyiwe upandikizaji wa mimba,MAONI naona hiki kituo kingejipambanua kama kimeanza kupigania haki za mapenzi ya jinsia moja,Serikali kemeeni hili na muwachukulie hatua.

Dunia ya sasa hivi utandawazi umeenea hivyo kitendo cha kurusha kipindi kama kile clip zinaenea mitaani na zitawaathiri watu wengi zaidi tofauti na mawazo ya muandaaji na mtangazaji
Unapoona uhuni na kukosa aibu ndiyo sifa ya kuwa mtangazaji ktk kituo, hapo ujue huna kituo. Clouds! unajikuta sasa eti wana TV station. Lazima kuna ulegevu ktk vyombo vinavyosimamia maadili ya vyombo vya habari. Kuna watu wanaweka interests zao kuwa ni sehemu ya maisha yetu.

Kama mtangazaji ni shoga lazima aelewe kwamba hafai kusambaza ushoga wake kwa umma. Au hakimu anapokuwa ni mwizi, afhamu hatakiwi kueneza wizi wake kwa umma.
 
Ndugu samahani , huyu uliyemposti hapo na makonda sio shoga , ni mwanaume wa shoka. Namfahamu vizuri. Nimesoma nae miaka mingi. Chuo na o level
chuo gani?
maana nani nimesoma Jaye chuo na kila MTU alimjua shoga
 
Back
Top Bottom