Hivi na wale wanaotoa ushuhuda kuwa wamefanikiwa kupitia Forever kumbe ni danganya Toto!
Ingia uuze roho yakoMaana naona hapa chuoni watu wako moto na hii.
Isije ikawa ni changa la macho!
unachelewa kutajirika kijana, humu kuna failures wengi hutakaa upate ushauri wa maana.
Unamuuliza maskini mbinu za kutajirika?
unachelewa kutajirika kijana, humu kuna failures wengi hutakaa upate ushauri wa maana.
Unamuuliza maskini mbinu za kutajirika?
​acha dharau hata kama wewe unacho......
Hivi na wale wanaotoa ushuhuda kuwa wamefanikiwa kupitia Forever kumbe ni danganya Toto!
Acha kudanganya watu hapa, hii ni Pyramidi wale wa kwanza kabisa kuingia ndo wanapiga pesa, Halfu hii biashara inawalenda watu wa Maisha ya kati, ndo hao wanao weza kununua dawa ya meno kwa sh 12,000/ au 20,000/ kwa mtu wa kipato cha chini sio rahisi,Kwanza si rahisi kupata ushauri ulio bora kwa mtu yeyote asiye lijua jambo husika vizuri, biashara hii ni halisi na unaweza kutajirika sana ila kuna changamoto kadhaa na ukizimudu basi utafanikiwa sana. Kwa ufupi biashara hii ni tofauti na zile za kununua na kuuza, ni biashara ya kushirikisha na kuonyeshana sehemu ya kununua bidhaa kwa matumizi yetu majumbani na si kwa nia ya kuuza kwani bidhaa ni ghali kidogo , katika manunuzi ya wale uliowaonyesha wewe na wale walionyeshwa na wale uliowaonyesha wewe basi utapata commission kutoka manunuzi yao pamoja na manunuzi yako mwenyewe. Kazi ni kuwaelewesha watu wakuelewe na waendelee kununua bidhaa hizo na ukiweza kuunda team imara kipato cha 1ml mpaka 10mil kwa mwezi ni kipato cha kawaida sana. Kwa wale wataalamu wa hesabu ingieni kwenye mtandao wa kampuni na someni policy ya biashara mtaona commissions ziko wazi sana na zinaeleweka vizuri wala hakuna kificho chochote. Kiukweli ni biashara ngeni ukanda wetu kwani sisi tumezoea biashara za kununua na kuuza.
Kwanza si rahisi kupata ushauri ulio bora kwa mtu yeyote asiye lijua jambo husika vizuri, biashara hii ni halisi na unaweza kutajirika sana ila kuna changamoto kadhaa na ukizimudu basi utafanikiwa sana. Kwa ufupi biashara hii ni tofauti na zile za kununua na kuuza, ni biashara ya kushirikisha na kuonyeshana sehemu ya kununua bidhaa kwa matumizi yetu majumbani na si kwa nia ya kuuza kwani bidhaa ni ghali kidogo , katika manunuzi ya wale uliowaonyesha wewe na wale walionyeshwa na wale uliowaonyesha wewe basi utapata commission kutoka manunuzi yao pamoja na manunuzi yako mwenyewe. Kazi ni kuwaelewesha watu wakuelewe na waendelee kununua bidhaa hizo na ukiweza kuunda team imara kipato cha 1ml mpaka 10mil kwa mwezi ni kipato cha kawaida sana. Kwa wale wataalamu wa hesabu ingieni kwenye mtandao wa kampuni na someni policy ya biashara mtaona commissions ziko wazi sana na zinaeleweka vizuri wala hakuna kificho chochote. Kiukweli ni biashara ngeni ukanda wetu kwani sisi tumezoea biashara za kununua na kuuza.