Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,698
- 11,297
Kuna video moja ndo hiyo hiyo kila mtu akitaka kukushawishi anakurushia ile video cjui ya jamaa anaitwa Enosy sasa huwa najiuliza hakuna wengine waliofanikiwa.
Neno nalo hayo unayosema yanafanana sana. Ila ishu ni kuwa wangapi unaowajua personaly, wamefanikiwa na hii ishu ?
Ukichunguza unaeza usikute. Mimi kuna watu nawafaham walikuwa wanapiga hizi netwrk business na walikuwa brain washed kinoma. Humweli kitu na atakupa nondo zote unazo taka. Kuna mmoja alikuwa foreva mwingine Oriflame.
Nikasema nawapa mwaka tu nione mtafanyaje.
Wamesanda game mbayaaa, wote wawili, wakaanza ponda hii kitu wenyewe.
Inawezekana ikawa ni biashara ya muujuza kuwa inawweza hsi work out kwangu ila kwako ikawa poa.
ALL THE BEST MKUUU, PIGA HIYO BUSINESS
Mkuu huitaji kuambiwa kama kitu fulani kinafaa ili wewe kujua kama kinafaa au hakifai...
Pia Mkuu sio kila kitu ni cha kila mtu fulani akiweza sio kwamba wewe utaweza au akishindwa sio kwamba wote tutashindwa cha maana ni kujiuliza is this for me... Kwa maelezo zaidi angalia hapa
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...8-matatizo-ya-network-marketing-tanzania.html
mi hii biashara kinachonikera ni kudanganya wateja. unauzia watu vitamin supplement kwa bei ya juu kwa sababu tu mteja hafahamu. hakuna tofauti na kina Ndodi au Mwaka.
Hiyo business ni shidaaaa! Kutokamo Inge work out kama wange base kununua na kuuza kama wewe na siyo network ya kusukuma watu wengine, na Kwa kipato cha kawaida huwezi kuuzia watu wengi cause product zao nizamatajiri tu, ukitaka supplement kanunue 21century, wana supplement zote kama za Forevor na bei ambayo ni affordable Kwa kila mtu.