Hizo ni formalities za kinidhamu tu.
Sasa kung-fu, karate, na kuvunja vibao na vitofali vya mchanga ndo vitawaondoa ISIS?
Drone kazi yake ni kushambulia targets za adui bila wewe ku suffer human casualties. Ndege zinazorushwa na marubani zinaweza kutunguliwa au zinaweza ku malfuntion na kudondoka kwenye eneo la adui. Sasa nani anataka kufa?
Vita vya miaka ijayo kwa kiasi kikubwa vitakuwa vinapiganwa na mashine tu. Hiyo yote lengo ni kupunguza human casualties.
Ni ground troops gani ambazo huwa zinapigana ngumi, mateke, na kabali vitani? Nani anaenda vitani kupigana kwa mikono? Utakuwa mjinga kweli ukienda kwenye uwanja wa mapambano ya kivita kwa mikono mitupu huku mwenzio akiwa na mi high powered rifles, humvees, mizinga, vifaru, pamoja na air support.