MAKOFI KWAKE PLz

ID yako kwenye avatar ni ngumu sana kuitaja, anyway if won't mind karibu kwa lunch Falcon Restaurant plz.

Mbona iko poa unatamka kama ilivyoandikwa...!!!!thankss kwa lunch huko ulipopataja ndo wapi tena??i mean mji gani toa full addrss mkuu!!!!
 
Kumbe uko pande za wapi mrembo?

Mmmmh...!!!nko ktika moja wapo ya mikoa ya tanzania sjui ni kusini au kaskazini uku maana hata mie mwenyewe sipaelewi elewi ngoja niulize mtu hapa akiveryfy ntakujibu mkuu...!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom