Mmmmmmh!!!!wanawake kazi tunayo.....!!!!!
Hahaha....umechelewa
Mmmmmmh!!!!wanawake kazi tunayo.....!!!!!
he! kwani na wewe ni ke? basi leo nina bahati kama nini. chaguo langu yaani kazi ni kwangu. woow!. mia
Ni-pm email yako nikutumie malkia.Mweeee!!!!photo zenyewe sina hata mmoja maana kila nkihitaji nashangaa zinakuwa invisible so u cn imagine!!!btw ni_pm zako kwanza...!!!!!
Ni-pm email yako nikutumie malkia.
...Sio Chinese?.. Yaweza kuwa business zaidi maana kwa jinsi alivyo sikutegemea akavaa ya mtindo huo.....Aiseeee kitakuwa kitu cha Arusha hicho haaaaaah!!!!!
ID yako kwenye avatar ni ngumu sana kuitaja, anyway if won't mind karibu kwa lunch Falcon Restaurant plz.poa mkuu ntakupm.....!!!!!
ID yako kwenye avatar ni ngumu sana kuitaja, anyway if won't mind karibu kwa lunch Falcon Restaurant plz.
Ndani ya Bongo Lumumba street.Mbona iko poa unatamka kama ilivyoandikwa...!!!!thankss kwa lunch huko ulipopataja ndo wapi tena??i mean mji gani toa full addrss mkuu!!!!
Ndani ya Bongo Lumumba street.
Kumbe uko pande za wapi mrembo?Okey...!!!Kumbe...!!!!nlikua sjui si unajua tena sio memba wote wa jf tunaishi ndani ya Bongo...!!!!
View attachment 68402
YANI NILISHINDWA HATA KULA BURGER YANGU..! MUNGU BHANAaa! SASA HAYA NDO MASABURI ORIGINAL.
...Sio Chinese?.. Yaweza kuwa business zaidi maana kwa jinsi alivyo sikutegemea akavaa ya mtindo huo.....[/QUOTE
Duuuuh kama ni Mchina basi mchina nomaaaaa, na kama biashara basi ni Tanzanite tehe tehe tehe.
Kumbe uko pande za wapi mrembo?