Joseph
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 3,518
- 1,086
Ha ha ha ha Kifarutz umenifurahisha sana,ulikuwa kwenye mbio za formula one nini au ilikuwa siku ya kwanza unakutana nae?Ila hongera kwa kufaidi na natumai unaendelea kutumika vizuri na maisha yanakwenda sawia.Sasa ukitaka ikamilike awe hana tumbo, mwenye nyama laini, cute na msafi. Hapo unaweza shindwa kuamka kesho yake. Kuna siku ilibidi jamaa aniletea red bull na coca mida ya saa 6 mchana baada ya kutumika vibaya usiku kucha