Makinda "tayari" bado werema, muungano ni dhaifu kuliko wakati wowote uliopita "tundu lissu"

Nimesoma maelezo ya Candid Scope inaonyesha mkuu wangu jogi umejaribu kuupotosha Umma hapa. Mbunge wa Wami alilitaka bunge lijadili swala la ajali na Makinda ndiye aliyekataa kujadili swala hilo na sii kwamba Hamad Rashid alitaka bunge liahirishwe..

Kwa hiyo ulituchanganya wengi kiasi kwamba nikaziweka lawama zangu kwa wabunge wa upinzani kumbe kilichotokea ni kinyume...

mkuu Mkandara, nitawaomba radhi wana jf ikiwa unaweza kutuwekea chanzo cha habari kisiwe Candid Scope kuthibisha tuhuma zako dhidi yangu,
Nasisitiza Makinda anachezeshwa muziki wa Tundu lissu juu ya udhaifu wa muungano wetu.
 
Last edited by a moderator:
Nimesoma maelezo ya Candid Scope inaonyesha mkuu wangu jogi umejaribu kuupotosha Umma hapa. Mbunge wa Wami alilitaka bunge lijadili swala la ajali na Makinda ndiye aliyekataa kujadili swala hilo na sii kwamba Hamad Rashid alitaka bunge liahirishwe..

Kwa hiyo ulituchanganya wengi kiasi kwamba nikaziweka lawama zangu kwa wabunge wa upinzani kumbe kilichotokea ni kinyume...

Hoja yake niliiona, lakini nilipata uvivu kidogo kwa jinsi alivyoiwasilisha. Ameongea mengi ambayo kwa haraka haraka sikumwelewa mada inaongelea nini. Kichwa cha Mwungano ni dhaifu hakileti uzito wa hoja ya dharura ya ajali ya Meli. Akina Tundu Lisu waliongelea katiba si msiba uliotokea jana.

Kuna jambo muhimu la wengi kujizoesha katika kujenga hoja ya mada tunayoleta ambayo inaleta mtiririko mzuri na wasomaji wengi wakaelewa. Lakini hili la kuchanganya mambo mbalimbali ambayo hayahusiani na tukio hufanya post ikose nguvu stahiki. Zaidi inapotokea habari kuandikwa kimipasho huwa inakosa watu makini kama Mkandala na wengine kuidadafula kwa vile imekosa maudhui ya wazi.
 
mkuu Mkandara, nitawaomba radhi wana jf ikiwa unaweza kutuwekea chanzo cha habari kisiwe Candid Scope kuthibisha tuhuma zako dhidi yangu,
Nasisitiza Makinda anachezeshwa muziki wa Tundu lissu juu ya udhaifu wa muungano wetu.
Kwa hiyo unapingana na Candid Scope anaposema kwamba wabunge walitaka bunge lizungumzie ajali ile na Makinda kakataa.. Wewe unasema Hamad Rashid alitaka bunge liahirishwe kwa sababu ya msiba na Makinda kakataa ndio ukweli sio?.. Haya wabunge wapo hapa JF watatueleza ukweli ni upi. Mimi msomaji tu..

Msome candid scope hapa:- Bofya
 
Kwa hiyo unapingana na Candid Scope anaposema kwamba wabunge walitaka bunge lizungumzie ajali ile na Makinda kakataa.. Wewe unasema Hamad Rashid alitaka bunge liahirishwe kwa sababu ya msiba na Makinda kakataa ndio ukweli sio?.. Haya wabunge wapo hapa JF watatueleza ukweli ni upi. Mimi msomaji tu..

Msome candid scope hapa:- Bofya
Mkandara tafadhaliGonga hapa Nalikuonya ushahidi wa candid scope usiutumie! Ukimaliza ushahidi mwingine gonga tena hapa huwa sikurupuki mkuu.
 
Last edited by a moderator:
please do me a fever niwekeeni
mmmhhh. Kingereza waachieni waingereza wenyewe

yaani apewe homa na siyo hisani???????!!!!! Hivi watu wakiandika kiswahili hatutawaelwa kuwa mmesoma? Ulimbukeni mwingine mi siupendi kabisa mbona mchina anaendelea bila kutukuza kiingereza?
 
Hoja yake niliiona, lakini nilipata uvivu kidogo kwa jinsi alivyoiwasilisha. Ameongea mengi ambayo kwa haraka haraka sikumwelewa mada inaongelea nini. Kichwa cha Mwungano ni dhaifu hakileti uzito wa hoja ya dharura ya ajali ya Meli. Akina Tundu Lisu waliongelea katiba si msiba uliotokea jana.

Kuna jambo muhimu la wengi kujizoesha katika kujenga hoja ya mada tunayoleta ambayo inaleta mtiririko mzuri na wasomaji wengi wakaelewa. Lakini hili la kuchanganya mambo mbalimbali ambayo hayahusiani na tukio hufanya post ikose nguvu stahiki. Zaidi inapotokea habari kuandikwa kimipasho huwa inakosa watu makini kama Mkandala na wengine kuidadafula kwa vile imekosa maudhui ya wazi.

Nikusaidie kuunganisha dots
tafsiri ya makinda kuwa ajali imetokea mbali na dodoma imemaanisha mbali ni nchi za nje zanzibar, hii ina maana ya moja kwa moja inayoonyesha alichokieleza Tundu lissu kuwa muungano wetu ni dhaifu sana siku hizi kuliko zamani, na udhaifu huo bahati mbaya umedhihirishwa na kiongozi wa muhimili kushindwa kuhuzunika pamoja na ndugu zetu wazanzibar. Umiza kichwa kidogo, hutatafuniwa kila kitu na uendelee kuitwa great thinker Candid Scope
 
Last edited by a moderator:
yaani apewe homa na siyo hisani???????!!!!! Hivi watu wakiandika kiswahili hatutawaelwa kuwa mmesoma? Ulimbukeni mwingine mi siupendi kabisa mbona mchina anaendelea bila kutukuza kiingereza?

sijapa edit ili upasome, nimeandika hivyo hivyo, e.g ndama mutoto ya ngombe!!!!!!
 
Tundu lisu a.k.a kitobo uwazi kishimo ni tatizo bungeni au amezidiwa na viroba
 
Nikusaidie kuunganisha dots
tafsiri ya makinda kuwa ajali imetokea mbali na dodoma imemaanisha mbali ni nchi za nje zanzibar, hii ina maana ya moja kwa moja inayoonyesha alichokieleza Tundu lissu kuwa muungano wetu ni dhaifu sana siku hizi kuliko zamani, na udhaifu huo bahati mbaya umedhihirishwa na kiongozi wa muhimili kushindwa kuhuzunika pamoja na ndugu zetu wazanzibar. Umiza kichwa kidogo, hutatafuniwa kila kitu na uendelee kuitwa great thinker Candid Scope
Jogi, kauli ya Makinda hakuna mtu naipongeza isipokuwa tunachosema ni kwamba wabunge wa Upinzani hawakutaka bunge livunjwe kwa sababu ya msiba ati hawawezi kuendelea na kazi yao isipokuwa ukweli ni kwamba Hamad Rashid aliomba mwongozo ili bunge lizungumzie ajali iliyotokea na jinsi gani wanaweza kuchangia. Kama hivi ndivyo basi tunampinga Makinda aliyekataa ombi hilo lakini kama wewe unasema Wabunge walitaka bunge livunjwe ili wapate kuhudhuria msiba wakati inatakiwa wao kuwepo bungeni wajadili mbinu za haraka kuwaokoa watu wale, kuomba hata misaada nchi za jirani kuokoa watu basi wabunge hawa walikuwa na makosa wao.

Kwa njia yoyote ile mimi nachopinga ni bunge kuahirishwa kwa sababu ya msiba wakati bado uokoaji unafanyika. Wabunge walitakiwa zaidi kuwepo ofisini mwao kujuzwa kila hatua inayofanyika na pengine kuchangia juhudi za kuokoa na sio kuvunja bunge halafu wasafiri kurudi Dar hadi Zanzibar masaa ili kwenda kupokea maiti na kutoa salaam za rambirambi kwa wafiwa. They can do that siku ya mazishi au baada ya rais kutangaza maombolezi maana hapa uokoaji umesha kwisha kilichobakia ni machungu tu. Katika hali iliyokuwepo kuvunja bunge haikuwa solution iwe kasema Makinda au Wabunge wa Upinzani..
 
Jogi, kauli ya Makinda hakuna mtu naipongeza isipokuwa tunachosema ni kwamba wabunge wa Upinzani hawakutaka bunge livunjwe kwa sababu ya msiba ati hawawezi kuendelea na kazi yao isipokuwa ukweli ni kwamba Hamad Rashid aliomba mwongozo ili bunge lizungumzie ajali iliyotokea na jinsi gani wanaweza kuchangia. Kama hivi ndivyo basi tunampinga Makinda aliyekataa ombi hilo lakini kama wewe unasema Wabunge walitaka bunge livunjwe ili wapate kuhudhuria msiba wakati inatakiwa wao kuwepo bungeni wajadili mbinu za haraka kuwaokoa watu wale, kuomba hata misaada nchi za jirani kuokoa watu basi wabunge hawa walikuwa na makosa wao.

Kwa njia yoyote ile mimi nachopinga ni bunge kuahirishwa kwa sababu ya msiba wakati bado uokoaji unafanyika. Wabunge walitakiwa zaidi kuwepo ofisini mwao kujuzwa kila hatua inayofanyika na pengine kuchangia juhudi za kuokoa na sio kuvunja bunge halafu wasafiri kurudi Dar hadi Zanzibar masaa ili kwenda kupokea maiti na kutoa salaam za rambirambi kwa wafiwa. They can do that siku ya mazishi au baada ya rais kutangaza maombolezi maana hapa uokoaji umesha kwisha kilichobakia ni machungu tu. Katika hali iliyokuwepo kuvunja bunge haikuwa solution iwe kasema Makinda au Wabunge wa Upinzani..

Mkuu Mkandara naamini unafahamu kuwa hatuna kikosi cha uokoaji chenye zana zinazoweza kutufanya tukae kusubiri kifanye uokoaji bila sisi wananchi kusaidia, naamini pia umeona wananchi walivyoshiriki zoezi zima la uokoaji na uopoaji wa wapendwa wetu! Kwa hiyo si kweli kwamba nia ya wabunge haikulenga kushiriki moja kwa moja kwenye zoezi, wabunge wanajua fika kuwa wao ni sehemu ya jamii, na busara inawaelekeza kujichanganya na jamii panapo shida au raha!! Na kwa kudhihirisha maneno yangu, bunge limesitishwa kwa muda kwa dhumuni ninalolisema.
Kwenye rangi nyekundu, hao wabunge wakae ofisini wamekuwa na uspesho gani!!!! Wananchi si watumwa wa wabunge
kikinuka nao wawepo mstari wa mbele kuonja ladha ya risasi, sio kuamuru vita pasi na kuijua, kwa mtizamo wako ndio maana hawajui ugumu wa maisha tunakumbana nao sisi tunaotegemea mshahara wa kima cha chini.
MAKINDA ANACHEZESHWA MUZIKI WA TUNDU LISSU,
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom