mwalimu alikosa busara kumtembezea kichapo angempa ushauri nasaha.Nimejiweka kwenye nafasi ya mzazi wa huyo mtoto sasa ndio umepeleka kijana akasome anachoma moto bweni kama mshikaki. Ugumu wa malezi sio utani I see unaweza kujichukulia sheria mkononi tu