Escardo-bird
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 622
- 220
Waacheni watoto wadogo waje jf msiwazuie maana smartphones nao wanazo.
Ukimtoa Nahrene, wengine wote wamenizidi kwa umri hapa jamvini. Mbona sioni kutengwa?Cc
youngblood mimi mwenyewe.
Bitoz
Th Name
Jimena
ibra87
EMMYGUY
Nahrene
jonax
sumbai
damtanzania
Na makapuku wengine kibao njoeni huku.
Hata mimi nilisota sana humu, kama miaka miwili hivi ya mwanzoni, nilikuwa kapuku kweli kweli, naweza kuanzisha sredi ya maana isichangiwe kabisa.
Akiikopi mwenzio akaipost vile vile watu wanachangia kibao.
Kilichoniokoa nilikuwa nashinda sana jukwaa la ujasiriamali enzi hizo, hali ilikuja kugeuka polepole sana mkuu.
Ila wakongwe wa kuanzia miaka ya 2006 mpaka 2010, wengi wabaguzi sana.
Aiseee togolawenye coment za kipuuzi ni hao wanaojiita wakongwe wakati hawafanani na wanachokifanya. Tunachokifanya ni kusapotiana Sisi Wenye Huku tukiwa makini kwa kutokuvunja Sheria na Kanuni Za Jf..
Mjadala kama upi sasa mkuu..Huku ndiyo sehemu pekee ya kupunguzia stress na hakika najuta kuchelewa kupafahamu huku..Ila kama una mada yeyote weka mezani vile vile..nitafurahi sana hii nguvu kazi ya vijana wa JF mnaojiita makupuku,mje kuongeza nguvu ktk majukwaa ya kenya forums ili watanzania tuzidi kuwatoa kamasi wakenya ktk mijadala mbalimbali.
tatizo lenu wengi wenu huwa mnashinda MMU kutufuta kick kwa mademu.
hamuwezi kushiriki ktk mijadala mizito ambayo inahitaji kichwa smart kujenga na kupangua hoja.
CC Kimweri Geza Ulole MK254 MOTOCHINI et al
tatizo hawasomi alama za nyakati, hawajui kila kukicha mambo yanabadilika kulingana na mahitaji ya watu ....
Shemeji any news?Hujapitwa mkuu
uzi ameanzisha kama sehemu ya kupata maoni nduguu lizziebettieMbona alieanzisha huo anaonekana hajamaliza hata mwaka humu?
Okayuzi ameanzisha kama sehemu ya kupata maoni nduguu lizziebettie
sijaelewa haya mapicha mkuu .....
..............
Hamna jipya shemeji.Shemeji any news?
Safi kabisa unaelekea pazuri sasa kwa majina hayo lazima Jimena atabasamu kidogo na moyo utafunguka tu..With all due respect Mr. Please for the love of God and for the love of the earth....usimuite jimena ndege, please please.
Address her kama Duchess of JF, ukishindwa hivyo muite Sunrise. Please.
Her beauty is incomparable!!!
Dogo, umeamua kuniua blaza ako mchana kweupe namna hii?wenye coment za kipuuzi ni hao wanaojiita wakongwe wakati hawafanani na wanachokifanya. Tunachokifanya ni kusapotiana Sisi Wenye Huku tukiwa makini kwa kutokuvunja Sheria na Kanuni Za Jf..
Dah!Hamna jipya shemeji.
Wanaomba po kiaina!.
Sawa bwana mchungaji.Tulia tu ndugu yangu..