Makapuku Forum

Yanga timu ya serikali wewe
FACT
Mkia 0:2 Yanga(Yanga anabebwa)
Mkia 0:1 Kosto(mwamuzi katuua)
Yanga 2:1 Ndanda(Yanga anabebwa)
Yanga 1 :1Al alhy(mtafungwa nyingi Misri goli lenyewe OG)
Al alhy 2:1 Yanga(mmebahatisha kufungwa chache)
Mkia 0:1 Toto (tumeonewa red card)
Kosto 1 :2Yanga (mmebebw)
Leteni picha muobenye bao LA Ngoma km offside na Tambwe kashika mpira.
Simba hamna timu kazi majungu tu
..............
S
 
Wamchanganiiiii mpyuuuu
 
wakuu mambo vipi...?mimi ni kijana najishughuliasha na mambo ya real estates tuna kampuni ya upimajibwa viwanja...tuna miradi mingi sana uko kigamboni na sehemu nyingine nyingi..lengo langu hapa nnatafuta mtu makini san anaeweza kufanya mambo ya marketing hata kama ajasomea koz siamini sana katika shule naamini katika kupata matokeo,nataka tufungue kampuni ya mauzo ya viwanja,viwanja vipo vingi sana nahitaji mtu awe result oriented na awe anajituma sana kutafuta masoko na awe amtu wa kufanya networking..kitakachopaikana ni chetu wote kutegemea na tutakavyo kubaliana..siangalii jinsia wala elimu nataka mtu hardworker..ni pm kana uko tayari.
 
Tatizo mikia porojo nyingi hawa
 
Asante Mkuu kwa taarifa yako, natumai kuna vijana wa kutosha watakaojitokeza then utafanya kama 'assesment' kwao.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…